Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Admin
Admin
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka

Cloudy2

Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
6Wafuasi
8Maswali
Nyumbani / Cloudy2 / Majibu Bora
  • Kuhusu
  • Majibu
  • Maswali
  • Vidadisi
  • Majibu Bora
  1. Uliulizwa: 17/04/2020Katika: Siasa

    Je, maneno ya Rais wa Tanzania John Paul Magufuli yafaa?

    Cloudy2

    Cloudy2

    • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
    • 8 Maswali
    • 30 Majibu
    • 2 Majibu Bora
    • 92 Pointi
    Ona Wasifu
    Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
    alijibu 17/04/2020 saa 2:34 pm

    Naona mjadala kati manufaa ya kuendelea kawaida ama kuendelea mhofu inafaa.  Watu wengi wa Tanzania wanategemea kazi yao.  Umaskini upo mengi kwa Tanzania, hata kuliko Kenya.  Kwa hivyo si nchi hizo zisisahau changamoto zao zingine zilikuwepo kabla?  Hakuna nchi inayoathirika sana katika Afrika ya SSoma zaidi

    Naona mjadala kati manufaa ya kuendelea kawaida ama kuendelea mhofu inafaa.  Watu wengi wa Tanzania wanategemea kazi yao.  Umaskini upo mengi kwa Tanzania, hata kuliko Kenya.  Kwa hivyo si nchi hizo zisisahau changamoto zao zingine zilikuwepo kabla?  Hakuna nchi inayoathirika sana katika Afrika ya Sahara.  Kama mambo inaendelea hivyohivyo nchi zifunguke polepole na kitaratibu.  Inabaki kuwa mwangalifu sana hapo.  Hata Ulaya wamegundua baada ya muda ya kwamba idadi wanaokufa sio wengi kabisa walivyofikiria mwanzoni.  Pia hao wana watu wengi wazee.

    Lakini wacha nimalize vizuri – ya msingi ni kuwa Korona ni mambo mazito na hatari.  Inabidi tuungane mikono kuishinda.  Inabidi hatua nyingi ya serikali ili kupunguza vifo.  

    Angalia kidogo
    • 0
    • Shea
      Shea
      • Picha za
      • Twitter
      • WhatsApp
  2. Uliulizwa: 04/04/2020Katika: Afya

    Unawezaje kujikinga usiweze kuambukizwa Corona?

    Cloudy2

    Cloudy2

    • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
    • 8 Maswali
    • 30 Majibu
    • 2 Majibu Bora
    • 92 Pointi
    Ona Wasifu
    Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
    alijibu 04/04/2020 saa 2:51 pm
    Jibu hili limefanywa uhariri

    nawa mikono mara nyingi pamoja na sabuni. Sabuni inasaidia kutoa virusi. Nawa kwa makini ya muda ifikapo dakika moja usiguse uso. Jizoesha tabia ya kutogusa uso. Hiyo ni ngumu lakini hatua muhimu. unavyoweza epusha kukaribia watu sana. Kama unaweza jaribu kukaa mita mbili mbali na wengine Vaa barakoSoma zaidi

    1. nawa mikono mara nyingi pamoja na sabuni. Sabuni inasaidia kutoa virusi. Nawa kwa makini ya muda ifikapo dakika moja
    2. usiguse uso. Jizoesha tabia ya kutogusa uso. Hiyo ni ngumu lakini hatua muhimu.
    3. unavyoweza epusha kukaribia watu sana. Kama unaweza jaribu kukaa mita mbili mbali na wengine
    4. Vaa barakoa ama kitu kinachoweza kufunika mdomo yako. Sasa migumu kupata barakoa duniani kwa hivyo tumia kitambaa ama kitu nyumbani. Hatua hii inapunguza uwezo wako wa kuambukiza wengine
    5. kama unajisikia mgonjwa usiendee nje. Kaa nyumbani. Ukijisikia unaendelea na alama za corona, wasiliana na daktari ama mamlaka

    Nilisahau kitu ama?

    Angalia kidogo
    • 2
    • Shea
      Shea
      • Picha za
      • Twitter
      • WhatsApp

Mwambaaupande

Viongozi

CarolGK

CarolGK

  • 118 Pointi
Cloudy2

Cloudy2

  • 92 Pointi
ERIC

ERIC

  • 86 Pointi
MamaYako

MamaYako

  • 76 Pointi
Mkubwa

Mkubwa

  • 74 Pointi
Joylee

Joylee

  • 70 Pointi
Luyela

Luyela

  • 67 Pointi
Upendo

Upendo

  • 49 Pointi
Mzungu

Mzungu

  • 43 Pointi
ToujoursKwako

ToujoursKwako

  • 43 Pointi

Gundua

  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Kijachini

Hakimiliki 2019 Maswali.com

Mtandao wa kijamii

  • Kutuhusu
  • Sera ya Faragha
  • Masharti ya Utumiaji
  • Wasiliana Nasi

Lugha Saidizi

  • swKiswahili
  • en_USEnglish
  • fr_FRFrançais