Uchumi wa Afrika mashariki kwa jumla utadhoofika kufuatia hatua hii. Ni vyema wananchi pamoja na serikali kushirikiana katika kuijenga uchumi wetu hasa wakati huu wa virusi vya Corona.
Uchumi wa Afrika mashariki kwa jumla utadhoofika kufuatia hatua hii. Ni vyema wananchi pamoja na serikali kushirikiana katika kuijenga uchumi wetu hasa wakati huu wa virusi vya Corona.
Sekta ya mikutano na mikusanyiko na mahoteli yatakuwa matatani mwisho wa mwaka. Hiyo ndio prediction yangu. Lakini naona Afrika itarudi haraka zaidi baada ya athari zimekwisha duniani.
Sekta ya mikutano na mikusanyiko na mahoteli yatakuwa matatani mwisho wa mwaka. Hiyo ndio prediction yangu. Lakini naona Afrika itarudi haraka zaidi baada ya athari zimekwisha duniani.
Utalii ndo utakao hadhirika mno lakini hili ni swala la Afrika mzima na wala si la Afrika mashariki pekee kwani hili janga limehadhiri dunia mzima. Cha muhimu lakini ni uhai na uzima.
Utalii ndo utakao hadhirika mno lakini hili ni swala la Afrika mzima na wala si la Afrika mashariki pekee kwani hili janga limehadhiri dunia mzima. Cha muhimu lakini ni uhai na uzima.
Joylee
Uchumi wa Afrika mashariki kwa jumla utadhoofika kufuatia hatua hii. Ni vyema wananchi pamoja na serikali kushirikiana katika kuijenga uchumi wetu hasa wakati huu wa virusi vya Corona.
Uchumi wa Afrika mashariki kwa jumla utadhoofika kufuatia hatua hii. Ni vyema wananchi pamoja na serikali kushirikiana katika kuijenga uchumi wetu hasa wakati huu wa virusi vya Corona.
Angalia kidogoMzungu
Sekta ya mikutano na mikusanyiko na mahoteli yatakuwa matatani mwisho wa mwaka. Hiyo ndio prediction yangu. Lakini naona Afrika itarudi haraka zaidi baada ya athari zimekwisha duniani.
Sekta ya mikutano na mikusanyiko na mahoteli yatakuwa matatani mwisho wa mwaka. Hiyo ndio prediction yangu. Lakini naona Afrika itarudi haraka zaidi baada ya athari zimekwisha duniani.
Angalia kidogoUpendo
Waafrika wana baraka ya Mungu. Tuombe tupitishe janga hili
Waafrika wana baraka ya Mungu. Tuombe tupitishe janga hili
Angalia kidogoUpendo
Si tunaangazia athari za kiuchumi mno? Maisha ni ya muhimu
Si tunaangazia athari za kiuchumi mno? Maisha ni ya muhimu
Angalia kidogoCarolGK
Utalii ndo utakao hadhirika mno lakini hili ni swala la Afrika mzima na wala si la Afrika mashariki pekee kwani hili janga limehadhiri dunia mzima. Cha muhimu lakini ni uhai na uzima.
Utalii ndo utakao hadhirika mno lakini hili ni swala la Afrika mzima na wala si la Afrika mashariki pekee kwani hili janga limehadhiri dunia mzima. Cha muhimu lakini ni uhai na uzima.
Angalia kidogo