Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Cloudy2
Cloudy2
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6981
alijibu
Cloudy2
Cloudy2

Cloudy2

  • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
  • 8 Maswali
  • 30 Majibu
  • 2 Majibu Bora
  • 92 Pointi
Ona Wasifu
Cloudy2
Uliulizwa: 05/04/20202020-04-05T16:24:27-03:00 2020-04-05T16:24:27-03:00Katika: Kazi

Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki. Tunategemea utalii na exports. Sekta gani zingine zitaathirika?

Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
coronasektauchumiutalii
  • 2
  • 5
  • 489
  • 1
Jibu
Shea
  • Picha za

    5 Majibu

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Bora
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-09T12:08:00-03:00Alijibu 12:08 um

      Uchumi wa Afrika mashariki kwa jumla utadhoofika kufuatia hatua hii. Ni vyema wananchi pamoja na serikali kushirikiana katika kuijenga uchumi wetu hasa wakati huu wa virusi vya Corona.

      Uchumi wa Afrika mashariki kwa jumla utadhoofika kufuatia hatua hii. Ni vyema wananchi pamoja na serikali kushirikiana katika kuijenga uchumi wetu hasa wakati huu wa virusi vya Corona.

      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Mzungu

      Mzungu

      • Lugha ndio daraja
      • 1 Swali
      • 9 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 43 Pointi
      Ona Wasifu
      Mzungu Lugha ndio daraja
      2020-04-05T21:24:54-03:00Alijibu 9:24 um

      Sekta ya mikutano na mikusanyiko na mahoteli yatakuwa matatani mwisho wa mwaka. Hiyo ndio prediction yangu. Lakini naona Afrika itarudi haraka zaidi baada ya athari zimekwisha duniani.

      Sekta ya mikutano na mikusanyiko na mahoteli yatakuwa matatani mwisho wa mwaka. Hiyo ndio prediction yangu. Lakini naona Afrika itarudi haraka zaidi baada ya athari zimekwisha duniani.

      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
      • 1
      • Upendo

        Upendo

        • Upendo ni jina na imani wangu
        • 3 Maswali
        • 11 Majibu
        • 1 Jibu Bora
        • 49 Pointi
        Ona Wasifu
        Upendo Upendo ni jina na imani wangu
        2020-04-08T15:16:22-03:00Alijibu kwa 3:16 um

        Waafrika wana baraka ya Mungu. Tuombe tupitishe janga hili

        Waafrika wana baraka ya Mungu. Tuombe tupitishe janga hili

        Angalia kidogo
        • 1
        • Shiriki
          Shea
          • Picha za
          • Twitter
          • WhatsApp
    3. Upendo

      Upendo

      • Upendo ni jina na imani wangu
      • 3 Maswali
      • 11 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 49 Pointi
      Ona Wasifu
      Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-08T15:15:07-03:00Alijibu 3:15 um

      Si tunaangazia athari za kiuchumi mno? Maisha ni ya muhimu

      Si tunaangazia athari za kiuchumi mno? Maisha ni ya muhimu

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 118 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-14T07:23:58-03:00Alijibu 7:23 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Utalii ndo utakao hadhirika mno lakini hili ni swala la Afrika mzima na wala si la Afrika mashariki pekee kwani hili janga limehadhiri dunia mzima. Cha muhimu lakini ni uhai na uzima. 

      Utalii ndo utakao hadhirika mno lakini hili ni swala la Afrika mzima na wala si la Afrika mashariki pekee kwani hili janga limehadhiri dunia mzima. Cha muhimu lakini ni uhai na uzima. 

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

      Kwa kipindi hiki cha Corona, hali ya biashara sehemu nyingi imekua mbaya sana kulingani na sheria mbali mbali zilizowekwa ndani ya nchi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hali ya biashara itakuaje baada ya ugonjwa huu kuisha. Biashara gani zitakazo kua na nafasi

    • Unaogopa ebola ama corona zaidi?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Majibu: 5

      Unaogopa ebola ama corona zaidi?

      Sasa dunia pote panachukua hatua kupigana na virusi. Lakini huko congo na pengine Afrika tayari tunashughulikia maradhi kama ebola. Si waafrika wa Afrique de l'est wamezoea? Masaibu ya ebola imekuwapo Beni kwa muda. Sasa Corona inabisha

      • Tarehe: 31/03/2020
      • Majibu: 2

      Nchi gani kati ya Kenya na Tanzania itaibuka mshindi kwa ...

      Sasa watu wanajua Kenya iko mbele si ndio. Hata watanzania wanasema Nairobi ndio kama imeingia majuu. Lakini hali inaweza kubadilika. Sanasana katika huu muda ambao Magafuli anashindana na wenzake vikali. mfano ni ujanja wake wa kujipatia hiyo mkataba wa kuunganisha

    • Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 3

      Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? ...

      Tayari nimeanza kuwa na shida ya kubaki nyumbani. Nina faida ya kufanya kazi nyumbani lakini tayari magambano yanazidi na mke. Pia sijui muda gani kazi itabaki katika mazingira haya ya kutojua chochote. Naogopa kuwa uchumi utazorota muda

      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 4

      Je, mtu anaweza kupata corona kupitia ngono?

      Naona watu bado wana mahitaji yao ya kimwili, hasa katika muda huu wa kubaki nyumbani siku yote. Swali hili ni muhimu tujue namna tuendelee na usalama. Majibu ya serious tu naomba.

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      Sasa hivi rais wa marekani ametangaza kukatisha uhusiano na WHO.

    • Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?
      • Tarehe: 05/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?

      Nimewahi kusikia malaria yaua sana lakini sijui idadi kwa hasa.  Naona ni muhimu kujua mara ngapi Korona ni hatari zaidi kwa watu.  Baki salama na chukueni hatua za kujilinda.

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

      Watu wengi wanaongea juu ya miradi hiyo kubwa sana. Tofauti ni zipi?

      • Tarehe: 17/04/2020
      • Majibu: 4

      Huu wimbo inawakilisha waafrika wote hali ilivyo sasa?

      Naipenda wimbo huu sana.  Inabeba matumaini ya siku bora zijazo

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais