Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6981
alijibu
Cloudy2
Cloudy2
aliuliza 05/04/20202020-04-05T16:24:27-03:00 2020-04-05T16:24:27-03:00kwa Kazi

Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki. Tunategemea utalii na exports. Sekta gani zingine zitaathirika?

Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
coronasektauchumiutalii
  • 2
  • 5
  • 1
Jibu
Shea
  • Facebook

    5 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Mzungu Lugha ndio daraja
      2020-04-05T21:24:54-03:00Alijibu tarehe 05/04/2020 saa 9:24 um

      Sekta ya mikutano na mikusanyiko na mahoteli yatakuwa matatani mwisho wa mwaka. Hiyo ndio prediction yangu. Lakini naona Afrika itarudi haraka zaidi baada ya athari zimekwisha duniani.

      Sekta ya mikutano na mikusanyiko na mahoteli yatakuwa matatani mwisho wa mwaka. Hiyo ndio prediction yangu. Lakini naona Afrika itarudi haraka zaidi baada ya athari zimekwisha duniani.

      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
      • Jibu 1
      • Upendo Upendo ni jina na imani wangu
        2020-04-08T15:16:22-03:00Alijibu kwa tarehe 08/04/2020 saa 3:16 um

        Waafrika wana baraka ya Mungu. Tuombe tupitishe janga hili

        Waafrika wana baraka ya Mungu. Tuombe tupitishe janga hili

        Angalia kidogo
        • 1
        • Shiriki
          Shea
          • Facebook
          • Twitter
          • WhatsApp
    2. Bora
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-09T12:08:00-03:00Alijibu tarehe 09/04/2020 saa 12:08 um

      Uchumi wa Afrika mashariki kwa jumla utadhoofika kufuatia hatua hii. Ni vyema wananchi pamoja na serikali kushirikiana katika kuijenga uchumi wetu hasa wakati huu wa virusi vya Corona.

      Uchumi wa Afrika mashariki kwa jumla utadhoofika kufuatia hatua hii. Ni vyema wananchi pamoja na serikali kushirikiana katika kuijenga uchumi wetu hasa wakati huu wa virusi vya Corona.

      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-08T15:15:07-03:00Alijibu tarehe 08/04/2020 saa 3:15 um

      Si tunaangazia athari za kiuchumi mno? Maisha ni ya muhimu

      Si tunaangazia athari za kiuchumi mno? Maisha ni ya muhimu

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-14T07:23:58-03:00Alijibu tarehe 14/06/2020 saa 7:23 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Utalii ndo utakao hadhirika mno lakini hili ni swala la Afrika mzima na wala si la Afrika mashariki pekee kwani hili janga limehadhiri dunia mzima. Cha muhimu lakini ni uhai na uzima. 

      Utalii ndo utakao hadhirika mno lakini hili ni swala la Afrika mzima na wala si la Afrika mashariki pekee kwani hili janga limehadhiri dunia mzima. Cha muhimu lakini ni uhai na uzima. 

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

    • Unaogopa ebola ama corona zaidi?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Majibu: 5

      Unaogopa ebola ama corona zaidi?

      • Tarehe: 31/03/2020
      • Majibu: 2

      Nchi gani kati ya Kenya na Tanzania itaibuka mshindi kwa ...

    • Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 3

      Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? ...

      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 4

      Je, mtu anaweza kupata corona kupitia ngono?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Ndii hii ni zulia?
      • Tarehe: 12/09/2021
      • Jibu: 1

      Ndii hii ni zulia?

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

    • Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?
      • Tarehe: 05/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais