Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

Mkubwa
Mkubwa
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Cloudy2 alichagua jibu lako kama jibu boratarehe 08/02/2021 saa 6:20 mu
      • NiyimpaRichard alikufuatatarehe 07/02/2021 saa 11:02 mu
      • NiyimpaRichard alikufuatatarehe 07/02/2021 saa 11:02 mu
      • NiyimpaRichard alikufuatatarehe 07/02/2021 saa 11:02 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka

Muda wa kushinda umekwisha
Bado unaweza kutoa jibu!

Nishindaje?
Nyumbani / Maswali / Swali 8027
alijibu
Mkubwa
Mkubwa

Mkubwa

  • Dunia inaisha Mungu atabaki
  • 8 Maswali
  • 15 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 79 Pointi
Ona Wasifu
Mkubwa
aliuliza 06/06/20202020-06-06T04:08:48-03:00 2020-06-06T04:08:48-03:00kwa Matuzo, Siasa

Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?

Athari ya maandamano Marekani ni kubwa duniani. Naona watu wa Afrika Mashariki wana shauri za kivyake. Ni vipi?

Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?
  • 1
  • 3
  • 882
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Zamani
    • Mapya
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      Bora
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-08T01:56:02-03:00Alijibu tarehe 08/06/2020 saa 1:56 mu

      Waendelee kuandamana kabisa hadi waafrika wapate haki zao uzunguni. Kwani hata hao wazungu wanapokuja Afrika hatuwabagui. Mbona nasi watubague makwao?

      Waendelee kuandamana kabisa hadi waafrika wapate haki zao uzunguni. Kwani hata hao wazungu wanapokuja Afrika hatuwabagui. Mbona nasi watubague makwao?

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Oracle

      Oracle

      • Mwanajamii
      • 3 Maswali
      • 10 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 36 Pointi
      Ona Wasifu
      Oracle Mwanajamii
      2020-07-26T22:42:07-03:00Alijibu tarehe 26/07/2020 saa 10:42 um

      Funzo kubwa ninalolipata kutokana na kifo cha George Floyd ni mamlaka kuheshimu haki za raia na raia kudai na kupigania haki zao. Ni majukumu kwa pande zote mbili.

      Funzo kubwa ninalolipata kutokana na kifo cha George Floyd ni mamlaka kuheshimu haki za raia na raia kudai na kupigania haki zao. Ni majukumu kwa pande zote mbili.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. MamaYako

      MamaYako

      • Sio mama mboga
      • 4 Maswali
      • 17 Majibu
      • 3 Majibu Bora
      • 85 Pointi
      Ona Wasifu
      MamaYako Sio mama mboga
      2020-06-07T00:58:40-03:00Alijibu tarehe 07/06/2020 saa 12:58 mu

      Pata namna ya kujitegemea ili uwe na uhuru wa ukweli

      Pata namna ya kujitegemea ili uwe na uhuru wa ukweli

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 27/12/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni wanasiasa wa Tanzania wangapi walidai Asylum baada ya ...

      • Tarehe: 22/11/2020
      • Jibu: 1

      Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za Watanzania katika ...

      Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za wananchi wa Tanzania katika kipindi cha pili cha Rais John nmagufuli? Je, uhuru utaheshimiwa au utazidi kuminywa?

      • Tarehe: 29/07/2020
      • Majibu: 0

      Je, kuna athari gani kwa nchi za Afrika kutokana na ...

      Migogoro isiyokwisha kati ya mataifa makubwa ya China na Marekani imepelekea kutokea kwa mgogoro mkubwa wa kidiplomasia kati ya nchi hizo. Hivi karibuni Marekani ilifunga ubalozi wa China huko Houston, Texas, na China ikalipa kisasi kwa kufunga ubalozi wa Marekani

      • Tarehe: 19/06/2020
      • Jibu: 1

      BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi?

      Unaweza kunitajia nchi ambazo watu wake wanasikiliza BBC idhaa ya Kiswahili?. Na wanasikiliza kupitia vituo gani vya redio katika nchi zao, au wanatumia njia gani nyingine?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      Sasa kuna habari nyingi toka marekani juu ya ubaguzi dhidi weusi. Ningependa kuuliza kama mtu yeyote ana stori ya kubaguliwa Afrika Mashariki?

      • Tarehe: 28/04/2020
      • Majibu: 2

      Hawa wa GSU walitumia nguvu vibaya Likoni Mombasa wakitekeleza sheria ...

      • Tarehe: 20/04/2020
      • Majibu: 3

      Walibora, shujaa wa Kiswahili, aliuawa Kenya?

      Inaonekana Walibora aliuawa? Nini ilitokea? Mbona mtu angalitaka kumuua mtaalam kama huyo? Mbona yeye hakuokolewa?

    • Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?
      • Tarehe: 09/04/2020
      • Jibu: 1

      Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?

      Nashangaa vile viongozi kadhaa duniani wana laumu mkuu wa afya duniani Tedros Adhanon? Alifanya kazi vizuri si ndio? Yeye anawakilisha juhudi ya juu dhidi janga.

    • Tukiangalia nyuma baada ya kuachana Diamond na Tanasha, mnaona Tanasha alikuwa mtu wa dhati kwa uhusiano wao.
      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 4

      Tukiangalia nyuma baada ya kuachana Diamond na Tanasha, mnaona Tanasha ...

      Mimi naona watu wanasikia huruma kwa Diamond lakini mbona tumesahau jinsi Tanasha alikuwa mpole sio kama wengine katika maisha ya nyota. Yeye alimheshimu Diamond sana hata wakati yeye alikuwa mbaya akimdanganya. #TeamTanasha

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais