Athari ya maandamano Marekani ni kubwa duniani. Naona watu wa Afrika Mashariki wana shauri za kivyake. Ni vipi?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.
Muda wa kushinda umekwisha
Bado unaweza kutoa jibu!
Waendelee kuandamana kabisa hadi waafrika wapate haki zao uzunguni. Kwani hata hao wazungu wanapokuja Afrika hatuwabagui. Mbona nasi watubague makwao?
Waendelee kuandamana kabisa hadi waafrika wapate haki zao uzunguni. Kwani hata hao wazungu wanapokuja Afrika hatuwabagui. Mbona nasi watubague makwao?
Angalia kidogoPata namna ya kujitegemea ili uwe na uhuru wa ukweli
Pata namna ya kujitegemea ili uwe na uhuru wa ukweli
Angalia kidogoFunzo kubwa ninalolipata kutokana na kifo cha George Floyd ni mamlaka kuheshimu haki za raia na raia kudai na kupigania haki zao. Ni majukumu kwa pande zote mbili.
Funzo kubwa ninalolipata kutokana na kifo cha George Floyd ni mamlaka kuheshimu haki za raia na raia kudai na kupigania haki zao. Ni majukumu kwa pande zote mbili.
Angalia kidogo