Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7447
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 17/04/20202020-04-17T14:40:53-03:00 2020-04-17T14:40:53-03:00kwa Muziki

wanamuziki kuimba nyimbo zisizozingatia heshima kwa jamii.

Wanamuziki hasa wakati huu wametia bidii kutoa nyimbo mpya kwa jamii. Ilhali kuna wasanii ambao wamechukua fursa hii kuchapisha nyimbo zinazochangia ongezeko la uozo wa jamii. Nyimbo zinazohusu mambo mbaya au habari isiyokua na manufaa kwa jamii, hasa watoto waliochini wa umri wa miaka kumi na nane. Hivi basi, msimamizi na sekta ya maigizo nchini Kenya ameweza kutoa onyo kwa wanamuziki kwa jina Mejja na Femi One baada ya kutoa wimbo wao mpya wa Utawezana. Wimbo huu unaleta habari potovu kwa jamii. Je, unaonelea hatua hii ni sawa au la? 

  • 1
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC Naweza
      2020-04-17T15:03:58-03:00Alijibu tarehe 17/04/2020 saa 3:03 um

      Nyimbo zina manufaa mingi sana kwa jamii, ikiwemo kufurahisha, kuelimisha, kuburudisha, kumbukumbu na pia ni kiyoo cha jamii. Wimbo mmoja unaweza kitialia maanani manufaa yote au angalau maana moja. Ni Kweli wimbo unaeza kuwa unapotosha jamii hasa watoto, lakini tangu mwanzo nyimbo kama hizo zimeishSoma zaidi

      Nyimbo zina manufaa mingi sana kwa jamii, ikiwemo kufurahisha, kuelimisha, kuburudisha, kumbukumbu na pia ni kiyoo cha jamii.

      Wimbo mmoja unaweza kitialia maanani manufaa yote au angalau maana moja.

      Ni Kweli wimbo unaeza kuwa unapotosha jamii hasa watoto, lakini tangu mwanzo nyimbo kama hizo zimeishi kuwa.

      Tofauti ya nyimbo za kisasa na za kitambo ni kuwa wakati unabadilika na hakuna anayeweza zuia manadiliko.

      Wimbo wa Meja na Femi unaonyesha bayana sayana kuwa vitendo za ngono zimeongezeka kwa kiwango cha juu Sana.

      Itatengemea na unachozigatia ukisikiza au kutazama wimbo huu. Kwa maoni yangu wimbo huu una manufaa na bado ukona hitilafu.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-24T05:39:46-03:00Alijibu tarehe 24/06/2020 saa 5:39 mu

      Nadhani toni ya genge imekuwa ndio mtindo wa kawaida leo nchini Kenya. Mejja na Femi One walifanya tu wimbo huo ili kutoshea katika kizazi kipya na kujaribu kubaki sahihi katika sekta hii inayokuwa kwa haraka katika ushindani. Kinachopaswa kupigwa marufuku ni aina yote ya toni ya genge. Beats ni nzuSoma zaidi

      Nadhani toni ya genge imekuwa ndio mtindo wa kawaida leo nchini Kenya. Mejja na Femi One walifanya tu wimbo huo ili kutoshea katika kizazi kipya na kujaribu kubaki sahihi katika sekta hii inayokuwa kwa haraka katika ushindani.

      Kinachopaswa kupigwa marufuku ni aina yote ya toni ya genge. Beats ni nzuri lakini muziki huu hauna yaliyomo. Ikiwa utaangalia au kusikiliza muziki huu ni ponografia safi.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-18T07:01:59-03:00Alijibu tarehe 18/04/2020 saa 7:01 mu

      Waimbaji wana haja ya kuzidi kila mara ndio wawe na mafans zaidi mapaka wakasema mambo maajabu.  Lakini mara kwa mara maajabu inabidi kwa jamii kwa mfano muziki za kupinga udhuluma kama zile za kiafrika Marekani ama reggae huko Jamaica.  Kwa hivyo naona ni ngumu sana kuamua music gani inasaidia amaSoma zaidi

      Waimbaji wana haja ya kuzidi kila mara ndio wawe na mafans zaidi mapaka wakasema mambo maajabu.  Lakini mara kwa mara maajabu inabidi kwa jamii kwa mfano muziki za kupinga udhuluma kama zile za kiafrika Marekani ama reggae huko Jamaica.  Kwa hivyo naona ni ngumu sana kuamua music gani inasaidia ama la.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 14/05/2021
      • Majibu: 0

      Jina la baba yake na zuchu msanii wa kizazi kipya ...

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 2

      Je, unapenda muziki wa aina gani?

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mwanamuziki yupi bora zaidi nchini Kenya?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      • Tarehe: 30/04/2020
      • Majibu: 2

      Kanyewest amekuwa Billionaire?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais