Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JilogishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya rununu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Upendo
Upendo
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • The administrator approved your answer.17/01/2021 saa 6:32 um
      • Admin alijibu swali lako.15/01/2021 saa 3:23 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.14/01/2021 saa 6:17 um
      • Cloudy2 alipiga kura kwa swali lako.13/01/2021 saa 12:42 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.12/01/2021 saa 11:50 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6767
Inashughulikiwa
Upendo
Upendo

Upendo

  • Upendo ni jina na imani wangu
  • 3 Maswali
  • 11 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 49 Pointi
Ona Wasifu
Upendo
Asked: 30/03/20202020-03-30T15:07:31-03:00 2020-03-30T15:07:31-03:00 Sheria

Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?

Tayari nimeanza kuwa na shida ya kubaki nyumbani. Nina faida ya kufanya kazi nyumbani lakini tayari magambano yanazidi na mke. Pia sijui muda gani kazi itabaki katika mazingira haya ya kutojua chochote. Naogopa kuwa uchumi utazorota muda si muda. Tuombe Mungu apitishe janga la Corona.

Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
coronajangamwisho
  • 2
  • 3
  • 489
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    3 Majibu

    • Imepigiwa kura
    • Majibu Mapya
    • Kongwe zaidi
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 117 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-14T07:20:00-03:00 14/06/2020 saa 7:20 mu

      Kabla huu mwaka huu kuisha Corona itakuwa imeisha. Kuna fununu China washavumbua chanjo. Na ukifuatilia mataifa mengi maambukizi yameenda chini sana. Pia hakuna mlipuko wa pili wa virusi vya corona kwa hivyo ni dalili nzuri kuwa itaisha upesi

      Kabla huu mwaka huu kuisha Corona itakuwa imeisha. Kuna fununu China washavumbua chanjo. Na ukifuatilia mataifa mengi maambukizi yameenda chini sana. Pia hakuna mlipuko wa pili wa virusi vya corona kwa hivyo ni dalili nzuri kuwa itaisha upesi

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-10T13:58:20-03:00 10/04/2020 saa 1:58 um

      Kwa maoni yangu naona kwamba mambo yataweza kurudi sawa baada ya mwaka moja. Virusi vya Corona vimesambaa katika maeneo mingi sana duniani na hata apa nchini Kenya.

      Kwa maoni yangu naona kwamba mambo yataweza kurudi sawa baada ya mwaka moja. Virusi vya Corona vimesambaa katika maeneo mingi sana duniani na hata apa nchini Kenya.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Mzungu

      Mzungu

      • Lugha ndio daraja
      • 1 Swali
      • 9 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 43 Pointi
      Ona Wasifu
      Mzungu Lugha ndio daraja
      2020-04-05T16:33:05-03:00 05/04/2020 saa 4:33 um
      Jibu hili lilihaririwa.

      Naona watalaam wengi wanasema miezi lakini hakuna mtu ambaye anajua kabisa. Pia inabidi kuzingatia nchi zingine ziko zote kwa njia mbalimbali yaani Marekani iko mbele na Kenya. Mstadi kwetu mmarekani, Tony Fauci, anaona tutafikia vifo laki moja ama mbili. Mwisho utategemea masuluhisho tutakayo gunduSoma Zaidi

      Naona watalaam wengi wanasema miezi lakini hakuna mtu ambaye anajua kabisa. Pia inabidi kuzingatia nchi zingine ziko zote kwa njia mbalimbali yaani Marekani iko mbele na Kenya. Mstadi kwetu mmarekani, Tony Fauci, anaona tutafikia vifo laki moja ama mbili.
      Mwisho utategemea masuluhisho tutakayo gundua yakiwemo tiba, dawa, na chanjo. Tuombe Mungu atuwezeshe.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    You must login to add an answer.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki. Tunategemea utalii na exports. Sekta gani zingine zitaathirika?

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

      Kwa kipindi hiki cha Corona, hali ya biashara sehemu nyingi imekua mbaya sana kulingani na sheria mbali mbali zilizowekwa ndani ya nchi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hali ya biashara itakuaje baada ya ugonjwa huu kuisha. Biashara gani zitakazo kua na nafasi

    • Unaogopa ebola ama corona zaidi?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Majibu: 5

      Unaogopa ebola ama corona zaidi?

      Sasa dunia pote panachukua hatua kupigana na virusi. Lakini huko congo na pengine Afrika tayari tunashughulikia maradhi kama ebola. Si waafrika wa Afrique de l'est wamezoea? Masaibu ya ebola imekuwapo Beni kwa muda. Sasa Corona inabisha

    • Kanisa ina jukumu gani wakati huo gumu wa kutokea janga la Corona?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Majibu: 2

      Kanisa ina jukumu gani wakati huo gumu wa kutokea janga ...

      Inaonekana watu wana mafeelings mbalimbali kwa kanisa siku hizi. Serikali inasema tusiwe na mikusanyiko ya watu ikiwemo kanisa. Lakini ni muhimu sana watu wawe pamoja na mungu wakati wa changamoto. Watu wanawezaje kuwa mja mungu wakiomba wakati

    • Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?
      • Tarehe: 31/03/2020
      • Majibu: 2

      Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?

      Sasa inaonekana hata Burundi iko na visa vya maambukizi ya corona. Ndio walikuwa wanasema labda neema ya mungu ililinda nchi yake. Hongera kwake kwa kuepusha corona mpaka sasa. Nchi ya burundi iko kwa hali maskini zaidi ya

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 05/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, nijuaje kama mwanamume ni mtu mkweli katika uhusiano?

      Wanaume wanadanganya sana katika uhusiano kuliko wanawake. Tabia gani mwanzoni zinaashiria mtu ni mbaya ama mdanganyifu?

      • Tarehe: 30/03/2020
      • Jibu: 1

      Wafrika ni watu wachangamfu - tutaendelea hivyo kabisa baada ya ...

      Inasemekana watu wa Afrika wako watu wema na wachangamfu sana. Ukienda ugenini utaona wengine wa dunia hana hii moyo ya kupendana. Najiuliza kama hii virusi kutoka nje itabadilisha tabia yetu baada ya vurugu iinayotokea duniani kote. Labda

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais