Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6889
alijibu
Joylee
Joylee
aliuliza 04/04/20202020-04-04T13:51:37-03:00 2020-04-04T13:51:37-03:00kwa Afya

Unawezaje kujikinga usiweze kuambukizwa Corona?

Unawezaje kujikinga usiweze kuambukizwa Corona?

kingatahatharividhibiti vya corona
  • 3
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Bora
      Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-04T14:51:41-03:00Alijibu tarehe 04/04/2020 saa 2:51 um
      Jibu hili lilibadilishwa.

      nawa mikono mara nyingi pamoja na sabuni. Sabuni inasaidia kutoa virusi. Nawa kwa makini ya muda ifikapo dakika moja usiguse uso. Jizoesha tabia ya kutogusa uso. Hiyo ni ngumu lakini hatua muhimu. unavyoweza epusha kukaribia watu sana. Kama unaweza jaribu kukaa mita mbili mbali na wengine Vaa barakoSoma zaidi

      1. nawa mikono mara nyingi pamoja na sabuni. Sabuni inasaidia kutoa virusi. Nawa kwa makini ya muda ifikapo dakika moja
      2. usiguse uso. Jizoesha tabia ya kutogusa uso. Hiyo ni ngumu lakini hatua muhimu.
      3. unavyoweza epusha kukaribia watu sana. Kama unaweza jaribu kukaa mita mbili mbali na wengine
      4. Vaa barakoa ama kitu kinachoweza kufunika mdomo yako. Sasa migumu kupata barakoa duniani kwa hivyo tumia kitambaa ama kitu nyumbani. Hatua hii inapunguza uwezo wako wa kuambukiza wengine
      5. kama unajisikia mgonjwa usiendee nje. Kaa nyumbani. Ukijisikia unaendelea na alama za corona, wasiliana na daktari ama mamlaka

      Nilisahau kitu ama?

      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-04T13:53:37-03:00Alijibu tarehe 04/04/2020 saa 1:53 um

      Hakikisha umeosha mikono kwa makini kila wakati unaposalimia mtu yeyote.

      Hakikisha umeosha mikono kwa makini kila wakati unaposalimia mtu yeyote.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-14T04:16:47-03:00Alijibu tarehe 14/06/2020 saa 4:16 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      1) Usisalimie watu kwa mkono wako 2) Nawa mikono kwa umakini kila baada ya dakika chache au tumia vitakaza mikono 3) Vaa barakoa kila unapokwenda nje 4) Zuia kuwa kwenye mikusanyiko 5) Kaa umbali wa mita mbili au zaidi unapotangamana na yeyote 6) Kama huna mahali pa lazima pa kwenda, kaa nyumbani 7)Soma zaidi

      1) Usisalimie watu kwa mkono wako 2) Nawa mikono kwa umakini kila baada ya dakika chache au tumia vitakaza mikono 3) Vaa barakoa kila unapokwenda nje 4) Zuia kuwa kwenye mikusanyiko 5) Kaa umbali wa mita mbili au zaidi unapotangamana na yeyote 6) Kama huna mahali pa lazima pa kwenda, kaa nyumbani 7) Usiguze uso wako 8) Funika chafya zako na vikohozi vyako kwa kutumia kitambaa au tisuu. Usipige chafya kwenye hewa 9) Takaza maeneo yote ya nyumba yako kwa kutumia sabuni na maji 10) Ukijisikia mgonjwa na mwenye dalili za homa kaa kwenye nyumba yako alafu wasiliana na wahudumu wa afya              

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 0

      Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi?

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais