nawa mikono mara nyingi pamoja na sabuni. Sabuni inasaidia kutoa virusi. Nawa kwa makini ya muda ifikapo dakika moja usiguse uso. Jizoesha tabia ya kutogusa uso. Hiyo ni ngumu lakini hatua muhimu. unavyoweza epusha kukaribia watu sana. Kama unaweza jaribu kukaa mita mbili mbali na wengine Vaa barakoSoma zaidi
nawa mikono mara nyingi pamoja na sabuni. Sabuni inasaidia kutoa virusi. Nawa kwa makini ya muda ifikapo dakika moja
usiguse uso. Jizoesha tabia ya kutogusa uso. Hiyo ni ngumu lakini hatua muhimu.
unavyoweza epusha kukaribia watu sana. Kama unaweza jaribu kukaa mita mbili mbali na wengine
Vaa barakoa ama kitu kinachoweza kufunika mdomo yako. Sasa migumu kupata barakoa duniani kwa hivyo tumia kitambaa ama kitu nyumbani. Hatua hii inapunguza uwezo wako wa kuambukiza wengine
kama unajisikia mgonjwa usiendee nje. Kaa nyumbani. Ukijisikia unaendelea na alama za corona, wasiliana na daktari ama mamlaka
1) Usisalimie watu kwa mkono wako 2) Nawa mikono kwa umakini kila baada ya dakika chache au tumia vitakaza mikono 3) Vaa barakoa kila unapokwenda nje 4) Zuia kuwa kwenye mikusanyiko 5) Kaa umbali wa mita mbili au zaidi unapotangamana na yeyote 6) Kama huna mahali pa lazima pa kwenda, kaa nyumbani 7)Soma zaidi
1) Usisalimie watu kwa mkono wako 2) Nawa mikono kwa umakini kila baada ya dakika chache au tumia vitakaza mikono 3) Vaa barakoa kila unapokwenda nje 4) Zuia kuwa kwenye mikusanyiko 5) Kaa umbali wa mita mbili au zaidi unapotangamana na yeyote 6) Kama huna mahali pa lazima pa kwenda, kaa nyumbani 7) Usiguze uso wako 8) Funika chafya zako na vikohozi vyako kwa kutumia kitambaa au tisuu. Usipige chafya kwenye hewa 9) Takaza maeneo yote ya nyumba yako kwa kutumia sabuni na maji 10) Ukijisikia mgonjwa na mwenye dalili za homa kaa kwenye nyumba yako alafu wasiliana na wahudumu wa afya
nawa mikono mara nyingi pamoja na sabuni. Sabuni inasaidia kutoa virusi. Nawa kwa makini ya muda ifikapo dakika moja usiguse uso. Jizoesha tabia ya kutogusa uso. Hiyo ni ngumu lakini hatua muhimu. unavyoweza epusha kukaribia watu sana. Kama unaweza jaribu kukaa mita mbili mbali na wengine Vaa barakoSoma zaidi
Nilisahau kitu ama?
Angalia kidogoHakikisha umeosha mikono kwa makini kila wakati unaposalimia mtu yeyote.
Hakikisha umeosha mikono kwa makini kila wakati unaposalimia mtu yeyote.
Angalia kidogo1) Usisalimie watu kwa mkono wako 2) Nawa mikono kwa umakini kila baada ya dakika chache au tumia vitakaza mikono 3) Vaa barakoa kila unapokwenda nje 4) Zuia kuwa kwenye mikusanyiko 5) Kaa umbali wa mita mbili au zaidi unapotangamana na yeyote 6) Kama huna mahali pa lazima pa kwenda, kaa nyumbani 7)Soma zaidi
1) Usisalimie watu kwa mkono wako 2) Nawa mikono kwa umakini kila baada ya dakika chache au tumia vitakaza mikono 3) Vaa barakoa kila unapokwenda nje 4) Zuia kuwa kwenye mikusanyiko 5) Kaa umbali wa mita mbili au zaidi unapotangamana na yeyote 6) Kama huna mahali pa lazima pa kwenda, kaa nyumbani 7) Usiguze uso wako 8) Funika chafya zako na vikohozi vyako kwa kutumia kitambaa au tisuu. Usipige chafya kwenye hewa 9) Takaza maeneo yote ya nyumba yako kwa kutumia sabuni na maji 10) Ukijisikia mgonjwa na mwenye dalili za homa kaa kwenye nyumba yako alafu wasiliana na wahudumu wa afya
Angalia kidogo