Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

MamaYako
MamaYako
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7839
alijibu
MamaYako
MamaYako

MamaYako

  • Sio mama mboga
  • 4 Maswali
  • 17 Majibu
  • 3 Majibu Bora
  • 85 Pointi
Ona Wasifu
MamaYako
aliuliza 30/04/20202020-04-30T17:12:38-03:00 2020-04-30T17:12:38-03:00kwa Lugha

Unasemaje “habari yako” kwa kifaransa?

Watu wanasalimu namna gani kwa kifaransa nchini Kongo? Nauliza namna ilio kawaida kati marafiki na sio ile sahihi sana.

  • 1
  • 3
  • 425
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      Bora
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-20T10:28:07-03:00Alijibu tarehe 20/06/2020 saa 10:28 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Namna za kawaida za kusalimiana kifaransa ni nyingi mno. Lakini nitataja mbili za kirafiki zinazotumika sana na majibu yao: 1) Comment Ca Va _  Ca Va bien et toi(nzuri) /Ca Va mai(mbaya).  2) Comment Vas tu _ Je Vais bien, et toi/Comme Ci Comme Ca.

      Namna za kawaida za kusalimiana kifaransa ni nyingi mno. Lakini nitataja mbili za kirafiki zinazotumika sana na majibu yao:

      1) Comment Ca Va _  Ca Va bien et toi(nzuri) /Ca Va mai(mbaya). 

      2) Comment Vas tu _ Je Vais bien, et toi/Comme Ci Comme Ca.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ToujoursKwako

      ToujoursKwako

      • J'en ai marre
      • 2 Maswali
      • 5 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 48 Pointi
      Ona Wasifu
      ToujoursKwako J'en ai marre
      2020-04-30T17:58:17-03:00Alijibu tarehe 30/04/2020 saa 5:58 um

      Wata wanasemaga "ça va" kwa kifaransa kumaanisha "habari yako".  "Ça va" inatamka kama "saa vaa" kwa utamshi ya kiswahili. Unaweza kuuliza kuhusu chochote na usemi wa "ça va".  Mifano ndio hii: "ça va rafiki wako?" ama "ça va siku yako" ama "ça va kazi yako?".  Mbali na hayo pia  "ça va" peke yake iSoma zaidi

      Wata wanasemaga “ça va” kwa kifaransa kumaanisha “habari yako”.  “Ça va” inatamka kama “saa vaa” kwa utamshi ya kiswahili.

      Unaweza kuuliza kuhusu chochote na usemi wa “ça va”.  Mifano ndio hii: “ça va rafiki wako?” ama “ça va siku yako” ama “ça va kazi yako?”.  Mbali na hayo pia  “ça va” peke yake inaweza kumaanisha “uko sawa?” ama “niko sawa”.

      Kwa hivyo ni kawaida kusikiliza mapeano ya salimu zinazoanza “ça va” zinazokwisha tena na “ça va”.

      Haya hiyo ni somo kubwa wa kifaransa sasa unaweza kufanya mazungumzo mazima na wengi.

      Chungu vizuri lakini usitumie “ça va” na wafaransa wenyewe usiowajua tayari maanake inabidi kutumia salimu sahihi ya kuheshimu kama “comment allez vous” ama kwa utamshi kwa kiswahili “komo alee vuu”.  

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
      • Jibu 1
      • Cloudy2

        Cloudy2

        • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
        • 8 Maswali
        • 30 Majibu
        • 3 Majibu Bora
        • 97 Pointi
        Ona Wasifu
        Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
        2020-05-09T04:28:38-03:00Alijibu kwa tarehe 09/05/2020 saa 4:28 mu

        Kwa hivyo "ça va siku yako" inafaa?

        Kwa hivyo “ça va siku yako” inafaa?

        Angalia kidogo
        • 0
        • Shiriki
          Shea
          • Facebook
          • Twitter
          • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 30/12/2020
      • Jibu: 1

      Taja inchi tatu zinazo ongea Kiswahili viruzi zaidi barani Africa.

      • Tarehe: 10/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, wazijua lugha ngapi?

      Kuna umuhimu wote kuzijua lugha nyingi?

      • Tarehe: 03/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, swali kuhusu dira.

      Je, kwa nini twasema "kusini mwa" ama "kaskazini mwa" ilhali hatuongei kuhusu undani wa kitu kama vile chumbani mwa ama tumbona mwa na kadhalika?

      • Tarehe: 12/05/2020
      • Majibu: 3

      Maana ya "hudhurio"

      Je, naweza kutumia neno "hudhurio" kumaanisha "attendance"?

      • Tarehe: 20/04/2020
      • Majibu: 3

      Ni kitabu gani cha Tamthilia ulipenda kusoma ukiwa shuke ya ...

      Tukiwa shule ya upili, kila mmoja aliweza kusoma vitabi kadha vya tamthilia. Ni kitabu ulipendelea sana kusoma ukiwa katika shule ya upili? Mbona ulikipenda kitabu hicho?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 27/12/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni wanasiasa wa Tanzania wangapi walidai Asylum baada ya ...

    • Kanisa ina jukumu gani wakati huo gumu wa kutokea janga la Corona?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Majibu: 2

      Kanisa ina jukumu gani wakati huo gumu wa kutokea janga ...

      Inaonekana watu wana mafeelings mbalimbali kwa kanisa siku hizi. Serikali inasema tusiwe na mikusanyiko ya watu ikiwemo kanisa. Lakini ni muhimu sana watu wawe pamoja na mungu wakati wa changamoto. Watu wanawezaje kuwa mja mungu wakiomba wakati

    • Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?
      • Tarehe: 31/03/2020
      • Majibu: 2

      Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?

      Sasa inaonekana hata Burundi iko na visa vya maambukizi ya corona. Ndio walikuwa wanasema labda neema ya mungu ililinda nchi yake. Hongera kwake kwa kuepusha corona mpaka sasa. Nchi ya burundi iko kwa hali maskini zaidi ya

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais