Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka

Muda wa kushinda umekwisha
Bado unaweza kutoa jibu!

Nishindaje?
Nyumbani / Maswali / Swali 6822
alijibu
ToujoursKwako
Kura
ToujoursKwako
aliuliza 02/04/20202020-04-02T05:42:02-03:00 2020-04-02T05:42:02-03:00kwa Kongo, Matuzo

Unaogopa ebola ama corona zaidi?

Matokeo ya Kura

Tafadhali ingia kupiga kura na uone matokeo.

Shiriki kwenye kura ya maoni, Chagua Jibu lako.

Sasa dunia pote panachukua hatua kupigana na virusi. Lakini huko congo na pengine Afrika tayari tunashughulikia maradhi kama ebola. Si waafrika wa Afrique de l’est wamezoea? Masaibu ya ebola imekuwapo Beni kwa muda. Sasa Corona inabisha mlango. Mimi nataka kujua – unaogopa ebola ama corona zaidi? Ebola ina taux de mortality (idadi waliokufa) zaidi lakini Corona ina taux de transmission (idadi walioambukiza) zaidi.

Unaogopa ebola ama corona zaidi?
benicongocoronaebola
  • 4
  • 5
  • 1
Jibu
Shea
  • Facebook

    5 Majibu

    • Kura
    • Zamani
    • Mapya
    1. Bora
      Luyela KIJANA SHUPAVU
      2020-04-03T17:43:05-03:00Alijibu tarehe 03/04/2020 saa 5:43 um

      Corona ni hatari zaidi kwa maana inaambukizwa kwa urahisi zaidi hivo kufanya athari zake kua kubwa zaidi

      Corona ni hatari zaidi kwa maana inaambukizwa kwa urahisi zaidi hivo kufanya athari zake kua kubwa zaidi

      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
      • Jibu 1
      • Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
        2020-04-05T16:26:18-03:00Alijibu kwa tarehe 05/04/2020 saa 4:26 um

        Kwa hivyo corona itakuwa athari kubwa zaidi kwa ujumla lakini kama mtu binafsi ebola ni hatari zaidi

        Kwa hivyo corona itakuwa athari kubwa zaidi kwa ujumla lakini kama mtu binafsi ebola ni hatari zaidi

        Angalia kidogo
        • 0
        • Shiriki
          Shea
          • Facebook
          • Twitter
          • WhatsApp
    2. Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-07T20:52:29-03:00Alijibu tarehe 07/04/2020 saa 8:52 um

      www.who.org inasema corona hatari zaidi kwa binadamu zote... Bila shaka ebola ni mbaya zaidi kwa mtu mwenyewe binafsi Sawa

      http://www.who.org inasema corona hatari zaidi kwa binadamu zote… Bila shaka ebola ni mbaya zaidi kwa mtu mwenyewe binafsi

      Sawa

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-26T13:39:59-03:00Alijibu tarehe 26/04/2020 saa 1:39 um

      Korona ni hatari kwa kuwa ukishikwa nayo unafariki na muda mfupi sana. Ebola unaweza ukaithibiti na isizidi makali.

      Korona ni hatari kwa kuwa ukishikwa nayo unafariki na muda mfupi sana. Ebola unaweza ukaithibiti na isizidi makali.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-11T02:45:13-03:00Alijibu tarehe 11/06/2020 saa 2:45 mu

      Corona kwa sababu imesambaa haraka sana katika mataifa yote. Ebola angalau imeweza kudhibitiwa katika mataifa machache

      Corona kwa sababu imesambaa haraka sana katika mataifa yote. Ebola angalau imeweza kudhibitiwa katika mataifa machache

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

    • Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 3

      Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? ...

      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 4

      Je, mtu anaweza kupata corona kupitia ngono?

    • Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana na ugonjwa wa Corona?
      • Tarehe: 29/03/2020
      • Majibu: 2

      Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 05/09/2021
      • Majibu: 0

      Siasa ya kenya ni mkali - Mkakati ya Mt. Kenya ...

      • Tarehe: 10/06/2021
      • Majibu: 0

      Jino pa Lumumba ni ya ukweli? Kwani lilichukuliwa mwanzoni?

      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 2

      Majuzi madaktari ya Ufaransa wakasema wangeweza kupimisha dawa za kutibu ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais