Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

ToujoursKwako
ToujoursKwako
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka

Muda wa kushinda umekwisha
Bado unaweza kutoa jibu!

Nishindaje?
Nyumbani / Maswali / Swali 6822
alijibu
ToujoursKwako
ToujoursKwako

ToujoursKwako

  • J'en ai marre
  • 2 Maswali
  • 5 Majibu
  • 0 Majibu Bora
  • 48 Pointi
Ona Wasifu
Kura
ToujoursKwako
aliuliza 02/04/20202020-04-02T05:42:02-03:00 2020-04-02T05:42:02-03:00kwa Afya, Matuzo

Unaogopa ebola ama corona zaidi?

Matokeo ya Kura

Tafadhali ingia kupiga kura na uone matokeo.

Shiriki kwenye kura ya maoni, Chagua Jibu lako.

Sasa dunia pote panachukua hatua kupigana na virusi. Lakini huko congo na pengine Afrika tayari tunashughulikia maradhi kama ebola. Si waafrika wa Afrique de l’est wamezoea? Masaibu ya ebola imekuwapo Beni kwa muda. Sasa Corona inabisha mlango. Mimi nataka kujua – unaogopa ebola ama corona zaidi? Ebola ina taux de mortality (idadi waliokufa) zaidi lakini Corona ina taux de transmission (idadi walioambukiza) zaidi.

Unaogopa ebola ama corona zaidi?
benicongocoronaebola
  • 4
  • 5
  • 649
  • 1
Jibu
Shea
  • Facebook

    5 Majibu

    • Kura
    • Zamani
    • Mapya
    1. Luyela

      Luyela

      • KIJANA SHUPAVU
      • 5 Maswali
      • 7 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 67 Pointi
      Ona Wasifu
      Bora
      Luyela KIJANA SHUPAVU
      2020-04-03T17:43:05-03:00Alijibu tarehe 03/04/2020 saa 5:43 um

      Corona ni hatari zaidi kwa maana inaambukizwa kwa urahisi zaidi hivo kufanya athari zake kua kubwa zaidi

      Corona ni hatari zaidi kwa maana inaambukizwa kwa urahisi zaidi hivo kufanya athari zake kua kubwa zaidi

      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
      • Jibu 1
      • Cloudy2

        Cloudy2

        • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
        • 8 Maswali
        • 30 Majibu
        • 3 Majibu Bora
        • 97 Pointi
        Ona Wasifu
        Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
        2020-04-05T16:26:18-03:00Alijibu kwa tarehe 05/04/2020 saa 4:26 um

        Kwa hivyo corona itakuwa athari kubwa zaidi kwa ujumla lakini kama mtu binafsi ebola ni hatari zaidi

        Kwa hivyo corona itakuwa athari kubwa zaidi kwa ujumla lakini kama mtu binafsi ebola ni hatari zaidi

        Angalia kidogo
        • 0
        • Shiriki
          Shea
          • Facebook
          • Twitter
          • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-11T02:45:13-03:00Alijibu tarehe 11/06/2020 saa 2:45 mu

      Corona kwa sababu imesambaa haraka sana katika mataifa yote. Ebola angalau imeweza kudhibitiwa katika mataifa machache

      Corona kwa sababu imesambaa haraka sana katika mataifa yote. Ebola angalau imeweza kudhibitiwa katika mataifa machache

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 75 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-26T13:39:59-03:00Alijibu tarehe 26/04/2020 saa 1:39 um

      Korona ni hatari kwa kuwa ukishikwa nayo unafariki na muda mfupi sana. Ebola unaweza ukaithibiti na isizidi makali.

      Korona ni hatari kwa kuwa ukishikwa nayo unafariki na muda mfupi sana. Ebola unaweza ukaithibiti na isizidi makali.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. Cloudy2

      Cloudy2

      • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      • 8 Maswali
      • 30 Majibu
      • 3 Majibu Bora
      • 97 Pointi
      Ona Wasifu
      Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-07T20:52:29-03:00Alijibu tarehe 07/04/2020 saa 8:52 um

      www.who.org inasema corona hatari zaidi kwa binadamu zote... Bila shaka ebola ni mbaya zaidi kwa mtu mwenyewe binafsi Sawa

      http://www.who.org inasema corona hatari zaidi kwa binadamu zote… Bila shaka ebola ni mbaya zaidi kwa mtu mwenyewe binafsi

      Sawa

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki. Tunategemea utalii na exports. Sekta gani zingine zitaathirika?

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

      Kwa kipindi hiki cha Corona, hali ya biashara sehemu nyingi imekua mbaya sana kulingani na sheria mbali mbali zilizowekwa ndani ya nchi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hali ya biashara itakuaje baada ya ugonjwa huu kuisha. Biashara gani zitakazo kua na nafasi

    • Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 3

      Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? ...

      Tayari nimeanza kuwa na shida ya kubaki nyumbani. Nina faida ya kufanya kazi nyumbani lakini tayari magambano yanazidi na mke. Pia sijui muda gani kazi itabaki katika mazingira haya ya kutojua chochote. Naogopa kuwa uchumi utazorota muda

      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 4

      Je, mtu anaweza kupata corona kupitia ngono?

      Naona watu bado wana mahitaji yao ya kimwili, hasa katika muda huu wa kubaki nyumbani siku yote. Swali hili ni muhimu tujue namna tuendelee na usalama. Majibu ya serious tu naomba.

    • Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana na ugonjwa wa Corona?
      • Tarehe: 29/03/2020
      • Majibu: 2

      Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana ...

      Leo tunakaribia mwezi wa aprili na mimi najiuliza nchi gani itafanikiwa zaidi kupambana na Corona? Leo nilisikia Rwanda chakula kitapelekewa wananchi wao. Tanzania ilianza mapema kutoa marafuku. Nchi zingine ikoje?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 2

      Majuzi madaktari ya Ufaransa wakasema wangeweza kupimisha dawa za kutibu ...

      Majuzi madaktari ya Ufaransa wakasema wangeweza kupimisha dawa za kutibu Corona kwetu bara la Afrique. Najiuliza mbona ubaguzi inaendelea hivyo lakini najivunia sana vile wanaspoti wetu wanalinda sifa ya waafrika. Mbona hao walitamka kwanza dhidi ya ubaguzi? https://en.as.com/en/2020/04/03/football/1585915688_864933.html

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais