Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7986
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 23/05/20202020-05-23T01:50:25-03:00 2020-05-23T01:50:25-03:00kwa Afya

Unahisi vipi kufuatia ongezeko ya idadi kubwa ya watu waliogua Korona?

Hivi majuzi serikali imetia bidii katika kuwapima wananchi virusi vya Korona. Hatua hii imefuatia watu wengi kupatikana na ugonjwa huu. Je, nini kinaweza kuwa chanzo na ongezeko ya idadi ya watu walio na Korona?

  • 0
  • 2
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC Naweza
      2020-05-23T22:50:40-03:00Alijibu tarehe 23/05/2020 saa 10:50 um

      Idadi ya watu walio na Korona inaongezeka kila uchao. Ugonjwa wa Korona unaogezeka kwa haraka Sana kutokana na idadi kubwa ya watu kutotilia maanani sheria zilizowekwa ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huu. Kutokana na hali ya umasikini katika nchi mingi. Ni ngumu sana serikali kuamrisha watu wakae nyumSoma zaidi

      Idadi ya watu walio na Korona inaongezeka kila uchao. Ugonjwa wa Korona unaogezeka kwa haraka Sana kutokana na idadi kubwa ya watu kutotilia maanani sheria zilizowekwa ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huu.

      Kutokana na hali ya umasikini katika nchi mingi. Ni ngumu sana serikali kuamrisha watu wakae nyumbani kwani watu wengemea pesa wanaopata kila siku kupata chakula chao cha kila siku.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-16T03:28:12-03:00Alijibu tarehe 16/06/2020 saa 3:28 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Chanzo kubwa cha ongezeko la idadi ya watu walio na Corona ni idadi ya watu wanaopimwa pia. Idadi ya watu waliopimwa ikiongezeka lazima kesi nazo ziongezeke. Kitu kingine nacho ni upuuzaji wa raia kuhusu janga hili. Watu wakifuata masharti ndivyo gonjwa hili litakavyoisha haraka.

      Chanzo kubwa cha ongezeko la idadi ya watu walio na Corona ni idadi ya watu wanaopimwa pia. Idadi ya watu waliopimwa ikiongezeka lazima kesi nazo ziongezeke.

      Kitu kingine nacho ni upuuzaji wa raia kuhusu janga hili. Watu wakifuata masharti ndivyo gonjwa hili litakavyoisha haraka.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 0

      Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi?

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais