Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JilogishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya rununu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • The administrator approved your answer.17/01/2021 saa 6:32 um
      • Admin alijibu swali lako.15/01/2021 saa 3:23 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.14/01/2021 saa 6:17 um
      • Cloudy2 alipiga kura kwa swali lako.13/01/2021 saa 12:42 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.12/01/2021 saa 11:50 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7689
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 70 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
Asked: 26/04/20202020-04-26T13:28:19-03:00 2020-04-26T13:28:19-03:00 Muziki

Unahisi kutokana na majibizano na uadui kati ya Kaligraph na Bahati?

Baada ya Kaligraph kutoa mziki wake mpya uliovuma kwote Afrika Mashariki. Kwenye mziki unamskia Kaligraph akisema kuwa “Bahati amekua mtoto wa Diana.” Maneno haya yamezua mijadala nyingi ya jinsi Bahati amelemewa na ndoa yake na Diana. Unahisi vipi kutokana na jambo hili?

  • 0
  • 2
  • 357
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    2 Majibu

    • Imepigiwa kura
    • Majibu Mapya
    • Kongwe zaidi
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 117 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-24T05:12:52-03:00 24/06/2020 saa 5:12 mu

      Sidhani kuna ugomvi wowote Kati ya Kaligraph Jones na Kevin Bahati. Kaligraph alitaja Bahati kama mmoja wa watu mashuhuri ambao wamepata uonevu kutoka kwa mashabiki kwanza akisema kuwa, "Kuwa celebrity ni gharama juu wakishakujua ni lawama. Bahati akianza alikuwa mtoto wa mama sahii Twitter amegeuziSoma Zaidi

      Sidhani kuna ugomvi wowote Kati ya Kaligraph Jones na Kevin Bahati. Kaligraph alitaja Bahati kama mmoja wa watu mashuhuri ambao wamepata uonevu kutoka kwa mashabiki kwanza akisema kuwa, “Kuwa celebrity ni gharama juu wakishakujua ni lawama. Bahati akianza alikuwa mtoto wa mama sahii Twitter amegeuziwa kuwa mtoto wa Diana. Hakuna siri ni kulenga tu”, anasema Kaligraph katika wimbo wake.

      See less
      • 1
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-27T17:55:25-03:00 27/04/2020 saa 5:55 um

      Ukisikiza maneno haya ni kweli kuwa yanakera mno lakini ukweli ni kuwa yakona maana fiche. Mara mingi watu huwa wanataka wasanii wasihishi kama watu wa kawaida. Wasanii ni watu kama wewe na Mimi na wanafaa kuishi kama watu. Mara kwa mara utawasikia watu wakiwakemea wasanii kwa kutenda Jambo Fulani aSoma Zaidi

      Ukisikiza maneno haya ni kweli kuwa yanakera mno lakini ukweli ni kuwa yakona maana fiche.

      Mara mingi watu huwa wanataka wasanii wasihishi kama watu wa kawaida.

      Wasanii ni watu kama wewe na Mimi na wanafaa kuishi kama watu.

      Mara kwa mara utawasikia watu wakiwakemea wasanii kwa kutenda Jambo Fulani ambalo ni la kawaida kwa maisha ya binadamu.

      Wimbo wa Khaligraph-na Masauti unazungumzia jinsi wasanii na watu kijumla wanafaa kuishi hata wakikemewa.

      Sioni ubaya wowote na hili.

      Asante Sana

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    You must login to add an answer.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, unapenda muziki wa aina gani?

      Je ni bongo? Genge tone, Kapuka, Hip-hop, Rnb, reggae, nyimbo za injili ama ni gani?

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mwanamuziki yupi bora zaidi nchini Kenya?

      Taja maelezo

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

      • Tarehe: 30/04/2020
      • Majibu: 2

      Kanyewest amekuwa Billionaire?

      Je, ni kweli kwamba Kanyeweza mume wa Beyonce ameweza kuwekwa kwenye orodha ya wanamuziki billionaire duniani?

      • Tarehe: 17/04/2020
      • Majibu: 3

      wanamuziki kuimba nyimbo zisizozingatia heshima kwa jamii.

      Wanamuziki hasa wakati huu wametia bidii kutoa nyimbo mpya kwa jamii. Ilhali kuna wasanii ambao wamechukua fursa hii kuchapisha nyimbo zinazochangia ongezeko la uozo wa jamii. Nyimbo zinazohusu mambo mbaya au habari isiyokua na manufaa kwa jamii, hasa watoto waliochini

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais