Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7689
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 26/04/20202020-04-26T13:28:19-03:00 2020-04-26T13:28:19-03:00kwa Muziki

Unahisi kutokana na majibizano na uadui kati ya Kaligraph na Bahati?

Baada ya Kaligraph kutoa mziki wake mpya uliovuma kwote Afrika Mashariki. Kwenye mziki unamskia Kaligraph akisema kuwa “Bahati amekua mtoto wa Diana.” Maneno haya yamezua mijadala nyingi ya jinsi Bahati amelemewa na ndoa yake na Diana. Unahisi vipi kutokana na jambo hili?

  • 0
  • 2
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-24T05:12:52-03:00Alijibu tarehe 24/06/2020 saa 5:12 mu

      Sidhani kuna ugomvi wowote Kati ya Kaligraph Jones na Kevin Bahati. Kaligraph alitaja Bahati kama mmoja wa watu mashuhuri ambao wamepata uonevu kutoka kwa mashabiki kwanza akisema kuwa, "Kuwa celebrity ni gharama juu wakishakujua ni lawama. Bahati akianza alikuwa mtoto wa mama sahii Twitter amegeuziSoma zaidi

      Sidhani kuna ugomvi wowote Kati ya Kaligraph Jones na Kevin Bahati. Kaligraph alitaja Bahati kama mmoja wa watu mashuhuri ambao wamepata uonevu kutoka kwa mashabiki kwanza akisema kuwa, “Kuwa celebrity ni gharama juu wakishakujua ni lawama. Bahati akianza alikuwa mtoto wa mama sahii Twitter amegeuziwa kuwa mtoto wa Diana. Hakuna siri ni kulenga tu”, anasema Kaligraph katika wimbo wake.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ERIC Naweza
      2020-04-27T17:55:25-03:00Alijibu tarehe 27/04/2020 saa 5:55 um

      Ukisikiza maneno haya ni kweli kuwa yanakera mno lakini ukweli ni kuwa yakona maana fiche. Mara mingi watu huwa wanataka wasanii wasihishi kama watu wa kawaida. Wasanii ni watu kama wewe na Mimi na wanafaa kuishi kama watu. Mara kwa mara utawasikia watu wakiwakemea wasanii kwa kutenda Jambo Fulani aSoma zaidi

      Ukisikiza maneno haya ni kweli kuwa yanakera mno lakini ukweli ni kuwa yakona maana fiche.

      Mara mingi watu huwa wanataka wasanii wasihishi kama watu wa kawaida.

      Wasanii ni watu kama wewe na Mimi na wanafaa kuishi kama watu.

      Mara kwa mara utawasikia watu wakiwakemea wasanii kwa kutenda Jambo Fulani ambalo ni la kawaida kwa maisha ya binadamu.

      Wimbo wa Khaligraph-na Masauti unazungumzia jinsi wasanii na watu kijumla wanafaa kuishi hata wakikemewa.

      Sioni ubaya wowote na hili.

      Asante Sana

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 14/05/2021
      • Majibu: 0

      Jina la baba yake na zuchu msanii wa kizazi kipya ...

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 2

      Je, unapenda muziki wa aina gani?

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mwanamuziki yupi bora zaidi nchini Kenya?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      • Tarehe: 30/04/2020
      • Majibu: 2

      Kanyewest amekuwa Billionaire?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais