Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

ERIC
ERIC
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7683
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC

ERIC

  • Naweza
  • 39 Maswali
  • 42 Majibu
  • 0 Majibu Bora
  • 86 Pointi
Ona Wasifu
ERIC
Uliulizwa: 23/04/20202020-04-23T17:01:17-03:00 2020-04-23T17:01:17-03:00Katika: Afya

Ugonjwa wa Korona unaweza kuisha lini?

Dunia yote imepata hasara kubwa kutokana na ugonjwa wa Korona. Ni hamu ya kina mtu ugonjwa wa Korona huweze kuisha.
Maobi ya kila mtu ni mungu asaidie wanasayansi kupata dawa.
Je kwa maoni yako ugonjwa huu unaweza kuisha lini?

  • 1
  • 3
  • 433
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    Majibu3

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. Cloudy2

      Cloudy2

      • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      • 8 Maswali
      • 30 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 92 Pointi
      Ona Wasifu
      Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-25T04:53:10-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Hatua ya kupimapima zimeanza lakini itakuwa muda mpaka tuwe na vaccine ifikapo mwaka 1... Kwa hivyo naona mwanzoni mwa mwaka ujao.

      Hatua ya kupimapima zimeanza lakini itakuwa muda mpaka tuwe na vaccine ifikapo mwaka 1… Kwa hivyo naona mwanzoni mwa mwaka ujao.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-24T16:30:47-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Sasa hivi kumetangzwa kuwa kuna vaksini imzinduliwa na bado iko maabarana shule kikuu cha Oxford kufanyiwa utafiti. Habari hii njema imewapa wengi afueni kitokana na janga hili. Naonelewa ugonjwa huu unaeza endelea kuzidi kwa mwaka huu wote hadi kufikia mwaka ujao. Ilhali itategemea juhudi za serikaSoma zaidi

      Sasa hivi kumetangzwa kuwa kuna vaksini imzinduliwa na bado iko maabarana shule kikuu cha Oxford kufanyiwa utafiti. Habari hii njema imewapa wengi afueni kitokana na janga hili. Naonelewa ugonjwa huu unaeza endelea kuzidi kwa mwaka huu wote hadi kufikia mwaka ujao. Ilhali itategemea juhudi za serikali katika kubambana na virusi hivi hatari vya Corona.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. MamaYako

      MamaYako

      • Sio mama mboga
      • 4 Maswali
      • 17 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 76 Pointi
      Ona Wasifu
      MamaYako Sio mama mboga
      2020-04-30T17:38:35-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Korona itaisha kwa kiasi kidogo kila siku sio eti kama itaisha ghafla bali kila siku hatari itapungua kidogo mpaka watu wanajisikia wapo salama wakitoka.  Hatua ya serikali yataisha baada ya miezi kadhaa kwa maoni yangu.

      Korona itaisha kwa kiasi kidogo kila siku sio eti kama itaisha ghafla bali kila siku hatari itapungua kidogo mpaka watu wanajisikia wapo salama wakitoka.  Hatua ya serikali yataisha baada ya miezi kadhaa kwa maoni yangu.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      Hasa wakati huu wa janga la corona tunahimizwa sana tule vyakula ambavyo vinaongeza kinga mwilini.

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      Mimi naamini ni Cancer

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      Sasa hivi rais wa marekani ametangaza kukatisha uhusiano na WHO.

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Unahisi vipi kufuatia ongezeko ya idadi kubwa ya watu waliogua ...

      Hivi majuzi serikali imetia bidii katika kuwapima wananchi virusi vya Korona. Hatua hii imefuatia watu wengi kupatikana na ugonjwa huu. Je, nini kinaweza kuwa chanzo na ongezeko ya idadi ya watu walio na Korona?

      • Tarehe: 19/05/2020
      • Jibu: 1

      Wagonjwa wa Korona nchini Tanzania ni wagapi kijumla?

      Serikali ya Tanzania ilitangaza kwa haitahesabu idadi ya wagonjwa wa Korona pindi tu walifikisha idadi ya watu 509 na vifo 21. Je wagonjwa wa Korona nchini Tanzania wamefika wagapi Hadi leo?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida. Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi? Je, kwa maoni yako

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

      Kenya na Tanzania ni nchi jirani ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila ugomvi. Juzi kumekuwa na tatizo fulani kuhusu mpaka wa nchi inzi mbili kutokana na ugonjwa hatari wa Korona. Rais wa Kenya aliamurisha kuwa raia wa Tanzania hawataruhusiwa kuingia

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais