Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JilogishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya rununu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Mkubwa
Mkubwa
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • The administrator approved your answer.17/01/2021 saa 6:32 um
      • Admin alijibu swali lako.15/01/2021 saa 3:23 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.14/01/2021 saa 6:17 um
      • Cloudy2 alipiga kura kwa swali lako.13/01/2021 saa 12:42 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.12/01/2021 saa 11:50 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
  • Kuna Mshindi!

Nyumbani / Maswali / Swali 6880
alijibu
Mkubwa
Mkubwa

Mkubwa

  • Dunia inaisha Mungu atabaki
  • 8 Maswali
  • 15 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 72 Pointi
Ona Wasifu
Mkubwa
Asked: 03/04/20202020-04-03T08:03:41-03:00 2020-04-03T08:03:41-03:00 Mahusiano, Matuzo

Tukiangalia nyuma baada ya kuachana Diamond na Tanasha, mnaona Tanasha alikuwa mtu wa dhati kwa uhusiano wao.

Mimi naona watu wanasikia huruma kwa Diamond lakini mbona tumesahau jinsi Tanasha alikuwa mpole sio kama wengine katika maisha ya nyota. Yeye alimheshimu Diamond sana hata wakati yeye alikuwa mbaya akimdanganya. #TeamTanasha

Tukiangalia nyuma baada ya kuachana Diamond na Tanasha, mnaona Tanasha alikuwa mtu wa dhati kwa uhusiano wao.
diamondtanashauhusiano
  • 1
  • 4
  • 716
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    4 Majibu

    • Imepigiwa kura
    • Kongwe zaidi
    • Majibu Mapya
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 117 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-07-01T02:06:38-03:00 01/07/2020 saa 2:06 mu
      Jibu hili lilihaririwa.

      Tanasha alimpenda Diamond kwa dhati na alimheshimu kuliko wanawake wote Diamond aliowahi kuwa nao. Tanasha alijizatiti kwenye mahusiano hayo yaliyokuwa na changamoto tele na ata kuwa mtulivu na mwaminifu kabisa ata iwapo hakupata zawadi kubwa kubwa za majumba na magari kama wapenzi wa awali wa diamoSoma Zaidi

      Tanasha alimpenda Diamond kwa dhati na alimheshimu kuliko wanawake wote Diamond aliowahi kuwa nao. Tanasha alijizatiti kwenye mahusiano hayo yaliyokuwa na changamoto tele na ata kuwa mtulivu na mwaminifu kabisa ata iwapo hakupata zawadi kubwa kubwa za majumba na magari kama wapenzi wa awali wa diamond. Alichokipata tu kutoka kwa diamond ni simu ya aina ya iPhone kumaanisha alimpenda diamond kikweli na wala si sababu ya pesa. Ijapokuwa alivamiwa na watanzania sana na kulinganishwa sana mwonekano wake na ule wa Zari, alivumilia tu na kujipa moyo na hakuonekana mwenye kujibizana na watu ila aliitunza ndoa yake.

      Ata hivyo, asante ya punda ni mateke. Yaliyotarajiwa yalifanyika. Kama kawaida, Diamond alimlipa mwanadada wetu mwaminifu Tanasha, kwa kumdanganya na kujihusisha na mahusiano ya nje ya ndoa na mwanadada aliyekuwa akikata mauno kwenye wimbo wake wa Jeje. Diamond ni kijana mwenye tamaa sana na anapenda kujihusisha kingono na wasichana na wanawake wa hulka zote kwani anajiringia kuwa mwenye pesa na umaarufu.

      Barua aliyoiandika Tanasha kwenye mitandao ya kijamii ilitokana na machungu na alikuwa akijieleza mbona akamuacha Diamond na wala sioni matusi yoyote hapo. Hii ni sababu hapo awali hatukuzoea kumuona Tanasha akiyaanika madhaifu ya mahusiano yao kwenye mitandao ya kijamii kama wapenzi wake wa awali Diamond. Naona kuwa Tanasha alifanya jambo la busara sana kumuacha Diamond, kwani angekufa kutokana na msongo wa mawazo. Diamond hafai mwanadada bora kama Tanasha Donna.

      Mwanamme asiyejua dhamana ya uaminifu katika mahusiano hamfai mwanamke yoyote mwema. Tanasha kumuacha Diamond inaonyesha wazi kuwa anajipenda, anajidhamini na anajiheshimu kuliko kuvumilia kutumika kama kikoroboi cha taa, usiku anamuwasha kisha mchana anamzima. Wanawake wote wanafaa wajifunze kutokana na tukio hili na wajiheshimu na wala wasikubali kudharauliwa na mwanamme yeyote sababu ya cheo chake.

      Tanasha anafaa ajiokote, arudie shughuli zake za kawaida na amlee mtoto wake na amsahau Diamond kabisa.

      Hongera sana Tanasha, mama Naseeb Junior. Tunakupenda sana na tunakutazamia sana. Endelea kupeperusha  bendera ya Kenya juu zaidi na utapata mwanamme atayekupenda kikweli. Pia wewe ni mwanamke hodari ambaye anaweza jikimu kivyake kwani kuishi bila mme si ulemavu.

      #Timu Tanasha damu!

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-19T03:21:19-03:00 19/04/2020 saa 3:21 mu

      Ni wazi kwamba Tanasha alikua amejizatiti katika uhusiano wake na Diamond. Ila kutokana na histori ya Diamond kuwa na wanawake wengi, watu webgi walitarajia watawachana siku moja. Diamond sio mpenzi wa mmoja ila, ana tamaa ya wanawake wengi. Ni vyema Tanasha kujipa moyo na kuendelea maishani pasipoSoma Zaidi

      Ni wazi kwamba Tanasha alikua amejizatiti katika uhusiano wake na Diamond. Ila kutokana na histori ya Diamond kuwa na wanawake wengi, watu webgi walitarajia watawachana siku moja. Diamond sio mpenzi wa mmoja ila, ana tamaa ya wanawake wengi. Ni vyema Tanasha kujipa moyo na kuendelea maishani pasipo Daimond. Namtakia Tanasha kila la heri maishani mwake.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-03T17:23:30-03:00 03/04/2020 saa 5:23 um

      Iwapo Tanasha alikuwa mwenye mapezi ya dhati vasi bona akatusi Diamond kwenye mitandao ya kijamii? Maoni yangu ni kwamba Kati ya Tanasha na Diamond hakuna aliyekuwa na mapezi ya dhati.

      Iwapo Tanasha alikuwa mwenye mapezi ya dhati vasi bona akatusi Diamond kwenye mitandao ya kijamii? Maoni yangu ni kwamba Kati ya Tanasha na Diamond hakuna aliyekuwa na mapezi ya dhati.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
      • 1
      • MamaYako

        MamaYako

        • Sio mama mboga
        • 4 Maswali
        • 17 Majibu
        • 2 Majibu Bora
        • 72 Pointi
        Ona Wasifu
        Bora
        MamaYako Sio mama mboga
        2020-04-03T18:51:09-03:00 03/04/2020 saa 6:51 um

        Kweli Tanasha anamtusi Diamond? Si ni yeye naye ameanza fujo hiyo? Yeye hawezi kukaa na dem moja. Basi ni sawa ndio tabia ya wanaume lakini angalau akiri hivyo wazi.

        Kweli Tanasha anamtusi Diamond? Si ni yeye naye ameanza fujo hiyo? Yeye hawezi kukaa na dem moja. Basi ni sawa ndio tabia ya wanaume lakini angalau akiri hivyo wazi.

        See less
        • 0
        • Shea
          Shea
          • Picha za
          • Twitter
          • WhatsApp

    You must login to add an answer.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 29/03/2020
      • Majibu: 5

      Rayvanny anaunga mkono na serikali ya Tanzania katika ngoma yake ...

      Nimefurahi kuona Rayvanny akitoa ngoma ya kuelimisha juu ya ugonjwa hasa kipande kile cha video kinachoonesha raisi wa Tanzania akieleza uzito wa corona. Mimi nataka kujua kama hii ndio wazo lake ama alishirikiana na mamlaka ya nchi? Iwapo hivyo mbona

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?
      • Tarehe: 06/06/2020
      • Majibu: 3

      Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo ...

      Athari ya maandamano Marekani ni kubwa duniani. Naona watu wa Afrika Mashariki wana shauri za kivyake. Ni vipi?

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      Sasa kuna habari nyingi toka marekani juu ya ubaguzi dhidi weusi. Ningependa kuuliza kama mtu yeyote ana stori ya kubaguliwa Afrika Mashariki?

      • Tarehe: 28/04/2020
      • Majibu: 2

      Hawa wa GSU walitumia nguvu vibaya Likoni Mombasa wakitekeleza sheria ...

      Angalia hii twitter ambayo inaonesha askari wa GSU wakitawanya watu na gesi ya machozi. Huenda hii ikawa kawaida ndani ya Afrika? Mungu atusaidie

      • Tarehe: 20/04/2020
      • Majibu: 3

      Walibora, shujaa wa Kiswahili, aliuawa Kenya?

      Inaonekana Walibora aliuawa? Nini ilitokea? Mbona mtu angalitaka kumuua mtaalam kama huyo? Mbona yeye hakuokolewa?

    • Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?
      • Tarehe: 09/04/2020
      • Jibu: 1

      Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?

      Nashangaa vile viongozi kadhaa duniani wana laumu mkuu wa afya duniani Tedros Adhanon? Alifanya kazi vizuri si ndio? Yeye anawakilisha juhudi ya juu dhidi janga.

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais