Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7990
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 25/05/20202020-05-25T18:43:31-03:00 2020-05-25T18:43:31-03:00kwa Safari

Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida.
Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania.
Je hili ni Jambo la busara?

  • 0
  • 2
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-05-26T07:06:12-03:00Alijibu tarehe 26/05/2020 saa 7:06 mu

      Ijapo kuwa Rais Magufuli wa Tanzania ameweza kutia bidii katika kidhibiti Korona. Hii sionl hatua njema. Hii inaweza changia sana  katika kuongeza idadi ya watu walioadhirika na virusi vya Korona. Ni vyema Rais wa Tanzania kuweza kuchukua hatua kabambe katika kubaliana na virusi hivi vya Korona. IliSoma zaidi

      Ijapo kuwa Rais Magufuli wa Tanzania ameweza kutia bidii katika kidhibiti Korona. Hii sionl hatua njema. Hii inaweza changia sana  katika kuongeza idadi ya watu walioadhirika na virusi vya Korona. Ni vyema Rais wa Tanzania kuweza kuchukua hatua kabambe katika kubaliana na virusi hivi vya Korona. Ili kuwalinda watanzania na waishi maisha bora.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-15T03:18:28-03:00Alijibu tarehe 15/06/2020 saa 3:18 mu

      Sidhani hilo ni jambo la busara hata kidogo. Hii ni kuweka nchi ya Tanzania katika hatari ukizingatia hizi nchi za watalii nyingi ndo zina Covid kwa hivyo idadi ya maambukizi nchini Tanzania itaongezeka.

      Sidhani hilo ni jambo la busara hata kidogo. Hii ni kuweka nchi ya Tanzania katika hatari ukizingatia hizi nchi za watalii nyingi ndo zina Covid kwa hivyo idadi ya maambukizi nchini Tanzania itaongezeka.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 3

      Je, maishani mwako ungependa kutembelea nchi gani?

      • Tarehe: 11/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, ni nchi gani ungependa kutembea Afrika?

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

      • Tarehe: 13/04/2020
      • Majibu: 3

      ni vyema kusafiri kutoka mjini kwende mashambani kwa wazazi?

      • Tarehe: 11/04/2020
      • Majibu: 4

      Ni maeneo gani ulitarajia kusafiri?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

      • Tarehe: 20/05/2020
      • Majibu: 2

      Uliwahi anzisha bihashara gani?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais