Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7153
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 10/04/20202020-04-10T13:53:05-03:00 2020-04-10T13:53:05-03:00

Sheria ya kuvalia maski.

Je ni vyema serikali ya Kenya kuiweka sheria kwamba kila mwananchi anapaswa kutembea akiwa amevalia maski kila wakati? Toa maoni yako

  • 1
  • 4
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    4 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-27T05:50:41-03:00Alijibu tarehe 27/06/2020 saa 5:50 mu

      Ndio inafaa, lakini hofu yangu ni kuwa hatutumii barakoa zinahitajika kuzuia maambukizi kwa sababu ya bei zao ghali. Hata hivyo, inafaa tuendelee kuvaa hizo tu za vitambaa ili kufuata sheria huku tukitumaini hatutapata maambukizi.

      Ndio inafaa, lakini hofu yangu ni kuwa hatutumii barakoa zinahitajika kuzuia maambukizi kwa sababu ya bei zao ghali. Hata hivyo, inafaa tuendelee kuvaa hizo tu za vitambaa ili kufuata sheria huku tukitumaini hatutapata maambukizi.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. MamaYako Sio mama mboga
      2020-04-10T18:03:58-03:00Alijibu tarehe 10/04/2020 saa 6:03 um

      Ni vyema ikiwa wanasema kwa wananchi maski ama barakoa ni nini hasa. Hakuna anayeweza kugharamia barakoa zilizo pendekezwa basi si tuvalie maski zilizotengenezwa kwa vitambaa tuliyo nazo tayari. Yaani naona watu wengi wana uwezo wa kupata scarf ama kitu kama hiki. Ama ni namna gani?

      Ni vyema ikiwa wanasema kwa wananchi maski ama barakoa ni nini hasa. Hakuna anayeweza kugharamia barakoa zilizo pendekezwa basi si tuvalie maski zilizotengenezwa kwa vitambaa tuliyo nazo tayari. Yaani naona watu wengi wana uwezo wa kupata scarf ama kitu kama hiki. Ama ni namna gani?

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-10T21:39:51-03:00Alijibu tarehe 10/04/2020 saa 9:39 um

      Hakuna ukubali kabisa juu ya mask sana. Watu wa Asia huwa wanavaa. Watu wa Ulaya hawavai. Sababu ya mask ni ya kukinga jirani sio wewe.

      Hakuna ukubali kabisa juu ya mask sana. Watu wa Asia huwa wanavaa. Watu wa Ulaya hawavai. Sababu ya mask ni ya kukinga jirani sio wewe.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. ERIC Naweza
      2020-04-11T17:23:41-03:00Alijibu tarehe 11/04/2020 saa 5:23 um

      Si Wakenya tu ila Nchi zote duniani zinafaa kuzingatia Sheria hili. Iwapo Raia wote watavaa Maski, ugonjwa wa Korona hautazidi kuenea.

      Si Wakenya tu ila Nchi zote duniani zinafaa kuzingatia Sheria hili. Iwapo Raia wote watavaa Maski, ugonjwa wa Korona hautazidi kuenea.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais