Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

Mkubwa
Mkubwa
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6825
Inashughulikiwa
Mkubwa
Mkubwa

Mkubwa

  • Dunia inaisha Mungu atabaki
  • 8 Maswali
  • 15 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 79 Pointi
Ona Wasifu
Mkubwa
aliuliza 02/04/20202020-04-02T08:01:30-03:00 2020-04-02T08:01:30-03:00kwa Siasa

Rwanda itapelekea chakula raia zao kweli?

Amini usiamini Rwanda imetangaza itapelekwa chakula kwa wanaohitaji. Nauliza kama ni ukweli na pia kama ni cha kiasi ya kutosha ama ni mambo ya kushikilia vichwa vya habari tu? Napongeza juhudi hiyo.

Rwanda itapelekea chakula raia zao kweli?
chakulakoronarwandaserikali
  • 1
  • 3
  • 410
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-02T11:25:13-03:00Alijibu tarehe 02/04/2020 saa 11:25 mu

      Kwa maoni yangu sidhani Rwada ina uwezo wa kuwapa raia wake chakula cha kutosha. Rwada no mojawapo wa nchi ambazo bado hazijajiendeleza kiuchumi, wanafaa kuomba msaada kutoka kwa Benki la dunia ili kutekeleza jukumu hili.

      Kwa maoni yangu sidhani Rwada ina uwezo wa kuwapa raia wake chakula cha kutosha. Rwada no mojawapo wa nchi ambazo bado hazijajiendeleza kiuchumi, wanafaa kuomba msaada kutoka kwa Benki la dunia ili kutekeleza jukumu hili.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
      • Jibu 1
      • Mzungu

        Mzungu

        • Lugha ndio daraja
        • 1 Swali
        • 9 Majibu
        • 0 Majibu Bora
        • 43 Pointi
        Ona Wasifu
        Mzungu Lugha ndio daraja
        2020-04-05T16:36:40-03:00Alijibu kwa tarehe 05/04/2020 saa 4:36 um

        Nilisoma ndio benki ya dunia inasaidia mradi huo pia si ilikuwa watu si wengi? Kama 20,000 ama kitu kama hivyo?

        Nilisoma ndio benki ya dunia inasaidia mradi huo pia si ilikuwa watu si wengi? Kama 20,000 ama kitu kama hivyo?

        Angalia kidogo
        • 0
        • Shiriki
          Shea
          • Facebook
          • Twitter
          • WhatsApp
    2. Nilote4life

      Nilote4life

      • Naamini kwa uwezo wa utu
      • 2 Maswali
      • 12 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 37 Pointi
      Ona Wasifu
      Nilote4life Naamini kwa uwezo wa utu
      2020-04-02T16:11:50-03:00Alijibu tarehe 02/04/2020 saa 4:11 um

      Nashuku hatua hizo kidogo lakini wacha tuone vile itatokea. Bora viongozi wajaribu 🤷

      Nashuku hatua hizo kidogo lakini wacha tuone vile itatokea. Bora viongozi wajaribu 🤷

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?
      • Tarehe: 31/03/2020
      • Majibu: 2

      Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?

      Sasa inaonekana hata Burundi iko na visa vya maambukizi ya corona. Ndio walikuwa wanasema labda neema ya mungu ililinda nchi yake. Hongera kwake kwa kuepusha corona mpaka sasa. Nchi ya burundi iko kwa hali maskini zaidi ya

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?
      • Tarehe: 06/06/2020
      • Majibu: 3

      Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo ...

      Athari ya maandamano Marekani ni kubwa duniani. Naona watu wa Afrika Mashariki wana shauri za kivyake. Ni vipi?

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      Sasa kuna habari nyingi toka marekani juu ya ubaguzi dhidi weusi. Ningependa kuuliza kama mtu yeyote ana stori ya kubaguliwa Afrika Mashariki?

      • Tarehe: 28/04/2020
      • Majibu: 2

      Hawa wa GSU walitumia nguvu vibaya Likoni Mombasa wakitekeleza sheria ...

      • Tarehe: 20/04/2020
      • Majibu: 3

      Walibora, shujaa wa Kiswahili, aliuawa Kenya?

      Inaonekana Walibora aliuawa? Nini ilitokea? Mbona mtu angalitaka kumuua mtaalam kama huyo? Mbona yeye hakuokolewa?

    • Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?
      • Tarehe: 09/04/2020
      • Jibu: 1

      Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?

      Nashangaa vile viongozi kadhaa duniani wana laumu mkuu wa afya duniani Tedros Adhanon? Alifanya kazi vizuri si ndio? Yeye anawakilisha juhudi ya juu dhidi janga.

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais