Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6729
Inashughulikiwa
Cloudy2
Cloudy2
aliuliza 29/03/20202020-03-29T02:57:32-03:00 2020-03-29T02:57:32-03:00kwa Muziki

Rayvanny anaunga mkono na serikali ya Tanzania katika ngoma yake mpya ya Corona?

Nimefurahi kuona Rayvanny akitoa ngoma ya kuelimisha juu ya ugonjwa hasa kipande kile cha video kinachoonesha raisi wa Tanzania akieleza uzito wa corona. Mimi nataka kujua kama hii ndio wazo lake ama alishirikiana na mamlaka ya nchi? Iwapo hivyo mbona msanii mwengine hakuchaguliwa kama Diamond?

diamondmuzikirayvannysanaatanzania
  • 4
  • 5
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    5 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. MamaYako Sio mama mboga
      2020-04-03T18:54:33-03:00Alijibu tarehe 03/04/2020 saa 6:54 um

      Ndio hii ni kipenzi changu. Bobi Wine <3

      Ndio hii ni kipenzi changu. Bobi Wine <3

      Angalia kidogo
      • 3
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
      • Jibu 1
      • Mzungu Lugha ndio daraja
        2020-04-05T21:34:31-03:00Alijibu kwa tarehe 05/04/2020 saa 9:34 um

        Nina tumaini bobi wine atafaulu katika kazi yake ya kuwania urais. Wimbo ni nzuri pia.

        Nina tumaini bobi wine atafaulu katika kazi yake ya kuwania urais. Wimbo ni nzuri pia.

        Angalia kidogo
        • 1
        • Shiriki
          Shea
          • Facebook
          • Twitter
          • WhatsApp
    2. Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
      2020-03-30T22:02:57-03:00Alijibu tarehe 30/03/2020 saa 10:02 um

      Kwa vile kuna sauti ya raisi naona ndio ni mradi wa pamoja na serikali. Nchi nyingi wanatumia wasanii wao kusambaza tahadhari ya Corona. Hii ndio kingine cha africa.

      Kwa vile kuna sauti ya raisi naona ndio ni mradi wa pamoja na serikali. Nchi nyingi wanatumia wasanii wao kusambaza tahadhari ya Corona. Hii ndio kingine cha africa.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Mzungu Lugha ndio daraja
      2020-04-05T21:28:31-03:00Alijibu tarehe 05/04/2020 saa 9:28 um

      Kuna hii ingine nilikutana nayo majuzi. Hiyo ni religious zaidi. Naona tusipoteze uamini na Mungu

      Kuna hii ingine nilikutana nayo majuzi. Hiyo ni religious zaidi. Naona tusipoteze uamini na Mungu

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-17T05:24:22-03:00Alijibu tarehe 17/06/2020 saa 5:24 mu

      Nadhani wasanii wengi sana Tanzania wanataka kujipendekeza kwa rais wao maghufuli. Hii ni kwa sababu si Rayvanny pekee ameonekana akitumia mbinu hii lakini pia Diamond na Harmonize hapo awali. Nadhani ni mbinu tu ya kujipendekeza kwa serikali ili waweze kuuza sera zao na kupata miradi kutoka kwa serSoma zaidi

      Nadhani wasanii wengi sana Tanzania wanataka kujipendekeza kwa rais wao maghufuli. Hii ni kwa sababu si Rayvanny pekee ameonekana akitumia mbinu hii lakini pia Diamond na Harmonize hapo awali. Nadhani ni mbinu tu ya kujipendekeza kwa serikali ili waweze kuuza sera zao na kupata miradi kutoka kwa serikali.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Tukiangalia nyuma baada ya kuachana Diamond na Tanasha, mnaona Tanasha alikuwa mtu wa dhati kwa uhusiano wao.
      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 5

      Tukiangalia nyuma baada ya kuachana Diamond na Tanasha, mnaona Tanasha ...

    • Hongera kwa tovuti. Mimi nauliza – Kiswahili ni lugha rasmi katika nchi ngapi?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Jibu: 1

      Hongera kwa tovuti. Mimi nauliza - Kiswahili ni lugha rasmi ...

      • Tarehe: 31/03/2020
      • Majibu: 2

      Nchi gani kati ya Kenya na Tanzania itaibuka mshindi kwa ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Ndii hii ni zulia?
      • Tarehe: 12/09/2021
      • Jibu: 1

      Ndii hii ni zulia?

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

    • Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?
      • Tarehe: 05/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais