Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7151
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 10/04/20202020-04-10T07:03:11-03:00 2020-04-10T07:03:11-03:00kwa Kenya

Rais wa marekani mara kwa mara anaonyesha utovu wa nidhamu

Mara kwa mara Rais wa marekani Donald Trump huonyesa utovu wa nidhamu kwa Marais wengine. Juzi aliweza kuwatusi Raia wa Uchina kwa kuleta ugonjwa wa korona, na kuipa jina “China Virus” Baada ya nchi yake kuanza kuadhirika alienda kuomba usaidizi kutoka kwa Rais wa Uchina.
Je Rais wa China anafaa kuwashauri Wamarekani dhidi ya kukambiliana na janga Hili?

  • 2
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. MamaYako Sio mama mboga
      2020-04-10T14:18:30-03:00Alijibu tarehe 10/04/2020 saa 2:18 um
      Jibu hili lilibadilishwa.

      China ifanye yote iwezekanavyo kusaidia maana ndio china ilihusika na uenezi wa virusi isipokuwa wazi kwa mawasiliano mwanzoni. Marekani iache lugha ya kibaguzi ndio rais wao agundue ya kwamba maradhi sio kosa la nchi ni kitu kinachowezekana nchi yoyote. Eti dunia angesema nini virusi ingetokea nigeSoma zaidi

      China ifanye yote iwezekanavyo kusaidia maana ndio china ilihusika na uenezi wa virusi isipokuwa wazi kwa mawasiliano mwanzoni. Marekani iache lugha ya kibaguzi ndio rais wao agundue ya kwamba maradhi sio kosa la nchi ni kitu kinachowezekana nchi yoyote. Eti dunia angesema nini virusi ingetokea nigeria? Dunia inabidi wajibu wa kimataifa tukipigana na magonjwa kama hii lakini hasa mara tukikabili changamoto zingine zijazo. Sisi ni watu mamoja. Haya siasa ya kulaumiana inachokesha.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-11T14:01:52-03:00Alijibu tarehe 11/04/2020 saa 2:01 um

      Trump aliweza kuongea kwa utovu wa nithamu katika mkutano wake na wanahabari huku akisema na kurudia kuita Virusi vya Corona kuwa ni Virusi vya China. Hata baada ya kuelezwa asirudie tendo hilo, alirudia tena akisisitiza kwamba Corona ni Virusi vya China.

      Trump aliweza kuongea kwa utovu wa nithamu katika mkutano wake na wanahabari huku akisema na kurudia kuita Virusi vya Corona kuwa ni Virusi vya China. Hata baada ya kuelezwa asirudie tendo hilo, alirudia tena akisisitiza kwamba Corona ni Virusi vya China.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-30T03:25:57-03:00Alijibu tarehe 30/06/2020 saa 3:25 mu

      Rais wa Marekani ni mtovu wa nidhamu sana lakini katika jambo hili la corona amekuwa mkweli kabisa kwani Corona ni virusi vya uchina. Uchina wenyewe wameonekana wakiwadhulumu na kuwabagua watu weusi wa kuwasingizia kuwaambukiza ugonjwa wa Corona ijawapo ulichipuka kwao. Wachina ni watu wabaguzi sanaSoma zaidi

      Rais wa Marekani ni mtovu wa nidhamu sana lakini katika jambo hili la corona amekuwa mkweli kabisa kwani Corona ni virusi vya uchina.

      Uchina wenyewe wameonekana wakiwadhulumu na kuwabagua watu weusi wa kuwasingizia kuwaambukiza ugonjwa wa Corona ijawapo ulichipuka kwao.

      Wachina ni watu wabaguzi sana kwa hivyo sioni ubaya wowote pia wao wakibaguliwa na waamerika.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 07/06/2021
      • Jibu: 1

      TB Joshua alitabiri kifo chake? Alitabiri mengi huyo muhubiri mkristo ...

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, una maoni gani kuhusu uhusiano kati ya Rais Uhuru ...

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Jibu: 1

      Hatua na serikali kuhakikisha kila mwananchi akona maski yake binafsi?

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais