Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7019
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 06/04/20202020-04-06T14:18:23-03:00 2020-04-06T14:18:23-03:00kwa Kenya

Rais wa kenya ametangaza kuwa hakuna atakaye ruhusiwa kutoka au kuingia mji mkuu wa Kenya-Nairobi. Manufaa ni gani?

Rais wa kenya ametangaza kuwa hakuna atakaye ruhusiwa kutoka au kuingia au kutoka mji mkuu wa kenya-Nairobi kutoka tarehe 6/4/2020 saa 1 jioni. Je tendo hili lina manufaa kwa nchi?

  • 0
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-27T05:59:09-03:00Alijibu tarehe 27/06/2020 saa 5:59 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Hiyo sheria ni jambo la busara kabisa. Hii itazuia watu walioambukizwa bila ujuzi wao kutembea vijijini kutoka Nairobi na kuambukiza walio vijijini. Watu wengi walio vijijini ni watu wenye umri wa makamo na hii inawaweka kwenye hatari zaidi. Corona ikienea vijijini itakuwa ngumu sana kuidhibiti kuliSoma zaidi

      Hiyo sheria ni jambo la busara kabisa. Hii itazuia watu walioambukizwa bila ujuzi wao kutembea vijijini kutoka Nairobi na kuambukiza walio vijijini. Watu wengi walio vijijini ni watu wenye umri wa makamo na hii inawaweka kwenye hatari zaidi. Corona ikienea vijijini itakuwa ngumu sana kuidhibiti kuliko ilivyo mjini Nairobi na italeta ata hasara zaidi kwenye serikali za majimbo. Kwa hivyo naona ni jambo la busara sana, majiji ya Nairobi na Mombasa yakiendelea kufungwa mpaka Corona itakapoisha, itakapothibitiwa kabisa ama angalau chanjo itakapovumbuliwa. 

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-08T04:58:23-03:00Alijibu tarehe 08/04/2020 saa 4:58 mu

      Manufaa ni kama sehemu moja inaathirika sana zile zingine hazitaathirika sana. Naona sheria hii itakuwa ngumu sana kwa waliotaka kuonana na familia zao. Lakini nilisoma wajanja washapata namna ya kuepuka lockdown hiyo jamaani

      Manufaa ni kama sehemu moja inaathirika sana zile zingine hazitaathirika sana. Naona sheria hii itakuwa ngumu sana kwa waliotaka kuonana na familia zao. Lakini nilisoma wajanja washapata namna ya kuepuka lockdown hiyo jamaani

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-08T13:24:04-03:00Alijibu tarehe 08/04/2020 saa 1:24 um

      hii itasaidia sana kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona. Walioathirika mjini Nairobi waweze kukatwa kusafiri kwingine kufuatia sheria hii. Sehemu ambazo hazijaathirika na Corona zitakaa bila hofu ya kupata virusi hivi.

      hii itasaidia sana kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona. Walioathirika mjini Nairobi waweze kukatwa kusafiri kwingine kufuatia sheria hii. Sehemu ambazo hazijaathirika na Corona zitakaa bila hofu ya kupata virusi hivi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 07/06/2021
      • Jibu: 1

      TB Joshua alitabiri kifo chake? Alitabiri mengi huyo muhubiri mkristo ...

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, una maoni gani kuhusu uhusiano kati ya Rais Uhuru ...

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Jibu: 1

      Hatua na serikali kuhakikisha kila mwananchi akona maski yake binafsi?

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais