Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JilogishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya rununu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

ERIC
ERIC
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • The administrator approved your answer.17/01/2021 saa 6:32 um
      • Admin alijibu swali lako.15/01/2021 saa 3:23 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.14/01/2021 saa 6:17 um
      • Cloudy2 alipiga kura kwa swali lako.13/01/2021 saa 12:42 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.12/01/2021 saa 11:50 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7019
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC

ERIC

  • Naweza
  • 39 Maswali
  • 42 Majibu
  • 0 Majibu Bora
  • 86 Pointi
Ona Wasifu
ERIC
Asked: 06/04/20202020-04-06T14:18:23-03:00 2020-04-06T14:18:23-03:00 Sheria

Rais wa kenya ametangaza kuwa hakuna atakaye ruhusiwa kutoka au kuingia mji mkuu wa Kenya-Nairobi. Manufaa ni gani?

Rais wa kenya ametangaza kuwa hakuna atakaye ruhusiwa kutoka au kuingia au kutoka mji mkuu wa kenya-Nairobi kutoka tarehe 6/4/2020 saa 1 jioni. Je tendo hili lina manufaa kwa nchi?

  • 0
  • 3
  • 711
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    3 Majibu

    • Imepigiwa kura
    • Majibu Mapya
    • Kongwe zaidi
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 117 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-27T05:59:09-03:00 27/06/2020 saa 5:59 mu
      Jibu hili lilihaririwa.

      Hiyo sheria ni jambo la busara kabisa. Hii itazuia watu walioambukizwa bila ujuzi wao kutembea vijijini kutoka Nairobi na kuambukiza walio vijijini. Watu wengi walio vijijini ni watu wenye umri wa makamo na hii inawaweka kwenye hatari zaidi. Corona ikienea vijijini itakuwa ngumu sana kuidhibiti kuliSoma Zaidi

      Hiyo sheria ni jambo la busara kabisa. Hii itazuia watu walioambukizwa bila ujuzi wao kutembea vijijini kutoka Nairobi na kuambukiza walio vijijini. Watu wengi walio vijijini ni watu wenye umri wa makamo na hii inawaweka kwenye hatari zaidi. Corona ikienea vijijini itakuwa ngumu sana kuidhibiti kuliko ilivyo mjini Nairobi na italeta ata hasara zaidi kwenye serikali za majimbo. Kwa hivyo naona ni jambo la busara sana, majiji ya Nairobi na Mombasa yakiendelea kufungwa mpaka Corona itakapoisha, itakapothibitiwa kabisa ama angalau chanjo itakapovumbuliwa. 

      See less
      • 1
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-08T13:24:04-03:00 08/04/2020 saa 1:24 um

      hii itasaidia sana kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona. Walioathirika mjini Nairobi waweze kukatwa kusafiri kwingine kufuatia sheria hii. Sehemu ambazo hazijaathirika na Corona zitakaa bila hofu ya kupata virusi hivi.

      hii itasaidia sana kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona. Walioathirika mjini Nairobi waweze kukatwa kusafiri kwingine kufuatia sheria hii. Sehemu ambazo hazijaathirika na Corona zitakaa bila hofu ya kupata virusi hivi.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Upendo

      Upendo

      • Upendo ni jina na imani wangu
      • 3 Maswali
      • 11 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 49 Pointi
      Ona Wasifu
      Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-08T04:58:23-03:00 08/04/2020 saa 4:58 mu

      Manufaa ni kama sehemu moja inaathirika sana zile zingine hazitaathirika sana. Naona sheria hii itakuwa ngumu sana kwa waliotaka kuonana na familia zao. Lakini nilisoma wajanja washapata namna ya kuepuka lockdown hiyo jamaani

      Manufaa ni kama sehemu moja inaathirika sana zile zingine hazitaathirika sana. Naona sheria hii itakuwa ngumu sana kwa waliotaka kuonana na familia zao. Lakini nilisoma wajanja washapata namna ya kuepuka lockdown hiyo jamaani

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    You must login to add an answer.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida. Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi? Je, kwa maoni yako

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Jibu: 1

      Hatua na serikali kuhakikisha kila mwananchi akona maski yake binafsi?

      Je,unafikiri kwamba serikali imeweza kusaidia wananchi katika kuwa na maski kila wakati. Ni hatua ipi ambayo serikali inapaswa kuchukua ili kuhakikisha kwamba kila mkenya ana maski yake?

      • Tarehe: 07/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Serikali ya Kenya kuweka Lockdown Eastleigh, je inafaa?

      Serikali imeweza kubaini njia tofauti katika kukabiliana na virusi vya Korona. Eastleaigh ikiwa mojawapo ya eneo zilizo kabiliwa na idadi kubwa ya watu walio na Korona. Je hatua hii inastahili au la?

      • Tarehe: 26/04/2020
      • Majibu: 3

      Ni hatua njema serikali ya Kenya imechukua kuongea muda wa ...

      Wakenya wengi walitarajia kwamba, ule muda uliowekwa na serikali ya siku ishirini na moja ya kafiu zikiweza kuisha, kafiu itaondelewa rasmi. Hii ni ndoto kwa wengi sasa ivi kwakuwa serikali ilionelea kuongeza muda wa kafiu na siku zingine ishirini na

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida. Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi? Je, kwa maoni yako

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

      Kenya na Tanzania ni nchi jirani ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila ugomvi. Juzi kumekuwa na tatizo fulani kuhusu mpaka wa nchi inzi mbili kutokana na ugonjwa hatari wa Korona. Rais wa Kenya aliamurisha kuwa raia wa Tanzania hawataruhusiwa kuingia

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais