Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7490
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 19/04/20202020-04-19T03:12:45-03:00 2020-04-19T03:12:45-03:00kwa Afya

Njia bora ya kukabiliana njaa

Kulingana na maoni yako, Serikali inapaswa kutumia njia gani ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaoteseka kwa kukosa cha kukula?

  • 0
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC Naweza
      2020-04-19T04:00:09-03:00Alijibu tarehe 19/04/2020 saa 4:00 mu

      Ugonjwa wa Korona umesababisha shida si haba duniani. Kampuni mingi zimeweza kufungwa na zilizobaki zimepunguza idadi ya wafanyi kazi. Watu wengi wamekubwa na dhiki mingi kufuatilia kufutwa kwao kazini. Familia mingi zimekosa la kufanya kwani walipotengemea kutoa pesa za maisha yao ya kila siku pameSoma zaidi

      Ugonjwa wa Korona umesababisha shida si haba duniani.

      Kampuni mingi zimeweza kufungwa na zilizobaki zimepunguza idadi ya wafanyi kazi.

      Watu wengi wamekubwa na dhiki mingi kufuatilia kufutwa kwao kazini.

      Familia mingi zimekosa la kufanya kwani walipotengemea kutoa pesa za maisha yao ya kila siku pamefugwa.

      Serikali inapaswa kuingilia na kuwapa Raia wake chakula. Kuna nafaka mingi zilizohifadhiwa za kutumiwa wakati kama huu kwa hivyo serikali inapaswa kuzitoa na kuwapa Raia wanaoteseka.

      Asante Sana.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
      2020-04-19T16:06:59-03:00Alijibu tarehe 19/04/2020 saa 4:06 um

      Angalau serikali la Kenya iwe na mchakato wa kutoa chakula kwa walio chini sana maishani.  hela ilizotumika Gari moja la mwanasiasa inaweza kulisha wengi.   Lakini nauliza ikiwa programu kama hii tayari ipo Kenya ama hakuna hata chochote?

      Angalau serikali la Kenya iwe na mchakato wa kutoa chakula kwa walio chini sana maishani.  hela ilizotumika Gari moja la mwanasiasa inaweza kulisha wengi.

       

      Lakini nauliza ikiwa programu kama hii tayari ipo Kenya ama hakuna hata chochote?

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-08-05T11:40:20-03:00Alijibu tarehe 05/08/2020 saa 11:40 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Serikali inafaa kuondoa kodi kwa bidhaa zote za chakula na kuamuru bei ya chakula ipunguzwe kwa nusu ya bei. Hivyo hivyo wazilipe kampuni zinazotengeneza chakula hicho ili wasiende hasara.

      Serikali inafaa kuondoa kodi kwa bidhaa zote za chakula na kuamuru bei ya chakula ipunguzwe kwa nusu ya bei. Hivyo hivyo wazilipe kampuni zinazotengeneza chakula hicho ili wasiende hasara.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 0

      Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi?

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais