Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JilogishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya rununu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Admin alijibu swali lako.15/01/2021 saa 3:23 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.14/01/2021 saa 6:17 um
      • Cloudy2 alipiga kura kwa swali lako.13/01/2021 saa 12:42 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.12/01/2021 saa 11:50 um
      • Cloudy2 alifuata swali lako.12/01/2021 saa 9:23 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7915
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 70 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
Asked: 05/05/20202020-05-05T16:26:23-03:00 2020-05-05T16:26:23-03:00 Afya

Nini kinachochangia katika ongezeko ya idadi ya watu walio na Korona?

Hivi majuzi serikali ya Kenya imeweza kiweka mokakati maalum katika kipambana na korona. Ilhali serikali imeweza kipima watu katika makaunti, na idadi ya watu walio na Korona inaongezeka maradufu. Toa maoni yako?

  • 0
  • 2
  • 259
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    2 Majibu

    • Imepigiwa kura
    • Majibu Mapya
    • Kongwe zaidi
    1. JacklineWambui

      JacklineWambui

      • 0 Maswali
      • 3 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 35 Pointi
      Ona Wasifu
      JacklineWambui
      2020-06-07T06:25:39-03:00 07/06/2020 saa 6:25 mu

      Watu kuto fuata sheria au kutotilia maanani mikakati iliyowekwa na serikali ili kuzuia Korona

      Watu kuto fuata sheria au kutotilia maanani mikakati iliyowekwa na serikali ili kuzuia Korona

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-05-20T15:34:03-03:00 20/05/2020 saa 3:34 um

      Ugonjwa wa Korona umeenea kote duniani kutokana na watu kutotilia maanani sheria ambazo zimeekwa ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huu. Watu wengi hawatilii maanani njia mwafaka ambazo zimeekwa kuzuia kuenea kwa virusi vya Korona. Iwapo watu watatilia sheria zilizozilizotegwa kukuzuia kuenea kwa ugonjwaSoma Zaidi

      Ugonjwa wa Korona umeenea kote duniani kutokana na watu kutotilia maanani sheria ambazo zimeekwa ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huu. Watu wengi hawatilii maanani njia mwafaka ambazo zimeekwa kuzuia kuenea kwa virusi vya Korona.

      Iwapo watu watatilia sheria zilizozilizotegwa kukuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Korona, kuenea kwa ugonjwa wa Korona kutapungua.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Maoni
    Ghairi kujibu

    You must login to add a new comment.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Facebook
    Google
    Twitter

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      Hasa wakati huu wa janga la corona tunahimizwa sana tule vyakula ambavyo vinaongeza kinga mwilini.

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      Mimi naamini ni Cancer

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      Sasa hivi rais wa marekani ametangaza kukatisha uhusiano na WHO.

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Unahisi vipi kufuatia ongezeko ya idadi kubwa ya watu waliogua ...

      Hivi majuzi serikali imetia bidii katika kuwapima wananchi virusi vya Korona. Hatua hii imefuatia watu wengi kupatikana na ugonjwa huu. Je, nini kinaweza kuwa chanzo na ongezeko ya idadi ya watu walio na Korona?

      • Tarehe: 19/05/2020
      • Jibu: 1

      Wagonjwa wa Korona nchini Tanzania ni wagapi kijumla?

      Serikali ya Tanzania ilitangaza kwa haitahesabu idadi ya wagonjwa wa Korona pindi tu walifikisha idadi ya watu 509 na vifo 21. Je wagonjwa wa Korona nchini Tanzania wamefika wagapi Hadi leo?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais