Hivi majuzi serikali ya Kenya imeweza kiweka mokakati maalum katika kipambana na korona. Ilhali serikali imeweza kipima watu katika makaunti, na idadi ya watu walio na Korona inaongezeka maradufu. Toa maoni yako?
Shea
Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.
JacklineWambui
Watu kuto fuata sheria au kutotilia maanani mikakati iliyowekwa na serikali ili kuzuia Korona
Watu kuto fuata sheria au kutotilia maanani mikakati iliyowekwa na serikali ili kuzuia Korona
See lessERIC
Ugonjwa wa Korona umeenea kote duniani kutokana na watu kutotilia maanani sheria ambazo zimeekwa ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huu. Watu wengi hawatilii maanani njia mwafaka ambazo zimeekwa kuzuia kuenea kwa virusi vya Korona. Iwapo watu watatilia sheria zilizozilizotegwa kukuzuia kuenea kwa ugonjwaSoma Zaidi
Ugonjwa wa Korona umeenea kote duniani kutokana na watu kutotilia maanani sheria ambazo zimeekwa ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huu. Watu wengi hawatilii maanani njia mwafaka ambazo zimeekwa kuzuia kuenea kwa virusi vya Korona.
Iwapo watu watatilia sheria zilizozilizotegwa kukuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Korona, kuenea kwa ugonjwa wa Korona kutapungua.
See less