Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7587
Inashughulikiwa
Luyela
Luyela
aliuliza 21/04/20202020-04-21T02:02:34-03:00 2020-04-21T02:02:34-03:00kwa Kazi

Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?

Nchi nyingi za Africa zinakabiliwa na hili janga la upungufu wa Ajira hasa kwa vijana wanaomaliza masomo ya vyuo vikuu. Nini maoni yako? nini kifanyike kupunguza wimbi hili kubwa la upungufu wa ajira kwa nchi nyingi za Africa.

Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?
  • 2
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC Naweza
      2020-04-21T12:24:59-03:00Alijibu tarehe 21/04/2020 saa 12:24 um

      Ni kweli kuwa kupata ajira siku hizi limekuwa ajira kwa watu wengi wanaotoka kwenye vyuo vikuu. Idadi ya ajira ni kidogo kuliko idadi ya wanaotafuta ajira na hili limesababisha watu wengi kukosa au pia kufanya kazi tofauti na masomo waliosoma kwenye vyuo vikuu. Teknolojia ya kisasa pia imesababishaSoma zaidi

      Ni kweli kuwa kupata ajira siku hizi limekuwa ajira kwa watu wengi wanaotoka kwenye vyuo vikuu. Idadi ya ajira ni kidogo kuliko idadi ya wanaotafuta ajira na hili limesababisha watu wengi kukosa au pia kufanya kazi tofauti na masomo waliosoma kwenye vyuo vikuu.

      Teknolojia ya kisasa pia imesababisha ukosefu wa kazi kwani kazi mingi zilizokuwa zikitekelezwa na watu binafsi zinafanywa kupitia mashine.

      Wasomi wengi wameweza kuanzisha bihashara na kujiajiri ila kunao wamebaki kuzubaa hawana bee wala tee.

      ILI KUKABILIANA NA UKOSEFU WA AJIRA YAFUATAYO YANAFAA;

      1. Wasomi waelimishwe jinsi wanavyoweza kutumia masomo yao kutekeleza shughuli ambazo zitawaletea hela.
      2. Ni muhimu bihashara kufanywa somo la lazima kwa wasomi wote kwenye vyuo vikuu ili waweze elewa jinsi wanaweza fanya bihashara.
      3. Bihashara zinazo azishiwa na waliokosa kazi hazifai kutozwa kodi.
      4. Serikali inapaswa kuwapa wasio na kazi pesa za kuazisha bihashara.
      5. Umri wa kustaafu unapaswa kupunguzwa ili kuwawezesha wanaotoka vyuoni kupata kazi.
      6. Serikali inapaswa kutoa amri kampuni za nchi za kigeni zilizo nchini kuajiri wanafunzi wanaotoka kwenye vyuo vikuu.
      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-23T14:53:30-03:00Alijibu tarehe 23/04/2020 saa 2:53 um

      ukosefu wa ajira ni janga ambalo limekua tatizo katika nchini nyingi hasa hapa Afrika. Vijana wanahitimu kutoka vyuo vikuu kiasha wanakosa ajira. Serikali inapaswa kuweka mikakati thabiti ya kutoka nafasi nyingi kwa vijana. Kutoa mipango bora ya kuanzisha biashara na kampuni ambazo zitatoa ajira zaSoma zaidi

      ukosefu wa ajira ni janga ambalo limekua tatizo katika nchini nyingi hasa hapa Afrika. Vijana wanahitimu kutoka vyuo vikuu kiasha wanakosa ajira. Serikali inapaswa kuweka mikakati thabiti ya kutoka nafasi nyingi kwa vijana.

      Kutoa mipango bora ya kuanzisha biashara na kampuni ambazo zitatoa ajira za kutosha kwa wasio na kazi. Hizi ni baadhi ya njia serikali inafaa kutumia ilikusaidia vijana wapate kazi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-12T10:02:03-03:00Alijibu tarehe 12/06/2020 saa 10:02 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Nadhani shida kubwa inayofanya vijana wakose kazi ni ufisadi. Ufisadi ukiisha, ajira na nafasi za kazi nazo zitaongezeka.

      Nadhani shida kubwa inayofanya vijana wakose kazi ni ufisadi. Ufisadi ukiisha, ajira na nafasi za kazi nazo zitaongezeka.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 08/06/2020
      • Majibu: 0

      Una maoni gani kuhusu waafrika kutafuta kazi nchi za uarabuni?

      • Tarehe: 20/05/2020
      • Majibu: 2

      Uliwahi anzisha bihashara gani?

      • Tarehe: 07/05/2020
      • Majibu: 2

      Ni kazi gani unayoweza kufanya kwenye mtandao ikuletee hela?

      • Tarehe: 01/05/2020
      • Majibu: 2

      Ni biashara gani Bora Sana Afrika?

      • Tarehe: 23/04/2020
      • Majibu: 3

      Corona imesimamisha biashara nyingi online.

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?
      • Tarehe: 23/04/2020
      • Majibu: 4

      Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?

      • Tarehe: 16/04/2020
      • Majibu: 2

      Je ni sahihi kwa Liverpool kua mabingwa?

      • Tarehe: 13/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike ili kujikinga na maambukizi mapya

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais