Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Luyela
Luyela
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7334
Inashughulikiwa
Luyela
Luyela

Luyela

  • KIJANA SHUPAVU
  • 5 Maswali
  • 7 Majibu
  • 2 Majibu Bora
  • 67 Pointi
Ona Wasifu
Luyela
Uliulizwa: 13/04/20202020-04-13T10:10:25-03:00 2020-04-13T10:10:25-03:00Katika: Afya

Nini kifanyike ili kujikinga na maambukizi mapya

Kufatia ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya corona katika nchi za Africa. Nini kifanyike ili kujikinga na maambukizi mapya yanaendelea kwa kasi.

  • 0
  • 3
  • 395
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    3 Majibu

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-13T10:25:03-03:00Alijibu 10:25 mu

      Kuna hatua kadhaa zilizizo tolewa na ofisi kuu ya afya duniani ambazo kila mtu anafaa kuzifuata ili kujikinga na ugonjwa wa Korona. Sheria hizi ni kama vile; 1. Kunawa mikono 2. Kutofanya mikutano inayozidi watu kumi na watano. 3. Kutokaribiana na watu. 4. Kutumia sanitizer mara kwa mara 5. Kuenda hSoma zaidi

      Kuna hatua kadhaa zilizizo tolewa na ofisi kuu ya afya duniani ambazo kila mtu anafaa kuzifuata ili kujikinga na ugonjwa wa Korona.
      Sheria hizi ni kama vile;
      1. Kunawa mikono
      2. Kutofanya mikutano inayozidi watu kumi na watano.
      3. Kutokaribiana na watu.
      4. Kutumia sanitizer mara kwa mara
      5. Kuenda hospitalini unapopata dalili za ugonjwa wa Korona.
      6. Watu wanafaa kukaa ndani ya nyumba zao.
      Ni jukumu la serikali ya kila nchi kuhakikisha Sheria hizi zimetiliwa maanani na Raia wake.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-14T12:31:25-03:00Alijibu 12:31 um

      Ni vyema kila nchi kuweza kuzingatia sheria zilizowekwa na wizara ya afya duniani katika kuzia uambukizi wa Corona. Hivi basi mipango mwafaka ni bora hasa kabla ugonjwa huu haujasambaa katika maeneo mengi. Kuhakikisha unanawa mikono kila wakati, kuepukana na walio na magonjwa kama vile homa na mafuaSoma zaidi

      Ni vyema kila nchi kuweza kuzingatia sheria zilizowekwa na wizara ya afya duniani katika kuzia uambukizi wa Corona. Hivi basi mipango mwafaka ni bora hasa kabla ugonjwa huu haujasambaa katika maeneo mengi. Kuhakikisha unanawa mikono kila wakati, kuepukana na walio na magonjwa kama vile homa na mafua, kuvalia maski kila wakati hasa kwenye wati wengi, ni baadhi ya mambo tunayo takiwa kuzingatia ili kuepukana na uambukizi wa ugonjwa huu mpya iliochipuka hivi majuzi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. ToujoursKwako

      ToujoursKwako

      • J'en ai marre
      • 2 Maswali
      • 5 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 43 Pointi
      Ona Wasifu
      ToujoursKwako J'en ai marre
      2020-04-13T22:11:32-03:00Alijibu 10:11 um

      Si Tanzania imesimamisha ndege zote za kimataifa? Ndio hii ni hatua moja. Kenyan ishafanya hiyo siku kadhaa zilizopita

      Si Tanzania imesimamisha ndege zote za kimataifa? Ndio hii ni hatua moja. Kenyan ishafanya hiyo siku kadhaa zilizopita

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      Hasa wakati huu wa janga la corona tunahimizwa sana tule vyakula ambavyo vinaongeza kinga mwilini.

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      Mimi naamini ni Cancer

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      Sasa hivi rais wa marekani ametangaza kukatisha uhusiano na WHO.

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Unahisi vipi kufuatia ongezeko ya idadi kubwa ya watu waliogua ...

      Hivi majuzi serikali imetia bidii katika kuwapima wananchi virusi vya Korona. Hatua hii imefuatia watu wengi kupatikana na ugonjwa huu. Je, nini kinaweza kuwa chanzo na ongezeko ya idadi ya watu walio na Korona?

      • Tarehe: 19/05/2020
      • Jibu: 1

      Wagonjwa wa Korona nchini Tanzania ni wagapi kijumla?

      Serikali ya Tanzania ilitangaza kwa haitahesabu idadi ya wagonjwa wa Korona pindi tu walifikisha idadi ya watu 509 na vifo 21. Je wagonjwa wa Korona nchini Tanzania wamefika wagapi Hadi leo?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?
      • Tarehe: 23/04/2020
      • Majibu: 4

      Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?

      Katika miaka ya mwanzoni wa mwaka 2000 hadi kufika mwaka 2006 kulitokea viumbe wawili mafundi sana wa mpira, nao ni Ronaldinho Gaucho na Zinedine Zidane. Je kwa mtazamo wako, nani alikua mkali zaidi ya mwingine?

    • Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?
      • Tarehe: 21/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?

      Nchi nyingi za Africa zinakabiliwa na hili janga la upungufu wa Ajira hasa kwa vijana wanaomaliza masomo ya vyuo vikuu. Nini maoni yako? nini kifanyike kupunguza wimbi hili kubwa la upungufu wa ajira kwa nchi nyingi za Africa.

      • Tarehe: 16/04/2020
      • Majibu: 2

      Je ni sahihi kwa Liverpool kua mabingwa?

      Kutokana na sintofahamu hii ya Corona, kuna uwezekano mkubwa ligi kuu ya England ikahairishwa mpaka msimu ujao. Nini maoni yako, je ni vema tukaipa ubingwa wa msimu huu club ya Liverpool?

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

      Kwa kipindi hiki cha Corona, hali ya biashara sehemu nyingi imekua mbaya sana kulingani na sheria mbali mbali zilizowekwa ndani ya nchi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hali ya biashara itakuaje baada ya ugonjwa huu kuisha. Biashara gani zitakazo kua na nafasi

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais