Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7334
Inashughulikiwa
Luyela
Luyela
aliuliza 13/04/20202020-04-13T10:10:25-03:00 2020-04-13T10:10:25-03:00kwa Afya

Nini kifanyike ili kujikinga na maambukizi mapya

Kufatia ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya corona katika nchi za Africa. Nini kifanyike ili kujikinga na maambukizi mapya yanaendelea kwa kasi.

  • 0
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC Naweza
      2020-04-13T10:25:03-03:00Alijibu tarehe 13/04/2020 saa 10:25 mu

      Kuna hatua kadhaa zilizizo tolewa na ofisi kuu ya afya duniani ambazo kila mtu anafaa kuzifuata ili kujikinga na ugonjwa wa Korona. Sheria hizi ni kama vile; 1. Kunawa mikono 2. Kutofanya mikutano inayozidi watu kumi na watano. 3. Kutokaribiana na watu. 4. Kutumia sanitizer mara kwa mara 5. Kuenda hSoma zaidi

      Kuna hatua kadhaa zilizizo tolewa na ofisi kuu ya afya duniani ambazo kila mtu anafaa kuzifuata ili kujikinga na ugonjwa wa Korona.
      Sheria hizi ni kama vile;
      1. Kunawa mikono
      2. Kutofanya mikutano inayozidi watu kumi na watano.
      3. Kutokaribiana na watu.
      4. Kutumia sanitizer mara kwa mara
      5. Kuenda hospitalini unapopata dalili za ugonjwa wa Korona.
      6. Watu wanafaa kukaa ndani ya nyumba zao.
      Ni jukumu la serikali ya kila nchi kuhakikisha Sheria hizi zimetiliwa maanani na Raia wake.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ToujoursKwako J'en ai marre
      2020-04-13T22:11:32-03:00Alijibu tarehe 13/04/2020 saa 10:11 um

      Si Tanzania imesimamisha ndege zote za kimataifa? Ndio hii ni hatua moja. Kenyan ishafanya hiyo siku kadhaa zilizopita

      Si Tanzania imesimamisha ndege zote za kimataifa? Ndio hii ni hatua moja. Kenyan ishafanya hiyo siku kadhaa zilizopita

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-14T12:31:25-03:00Alijibu tarehe 14/04/2020 saa 12:31 um

      Ni vyema kila nchi kuweza kuzingatia sheria zilizowekwa na wizara ya afya duniani katika kuzia uambukizi wa Corona. Hivi basi mipango mwafaka ni bora hasa kabla ugonjwa huu haujasambaa katika maeneo mengi. Kuhakikisha unanawa mikono kila wakati, kuepukana na walio na magonjwa kama vile homa na mafuaSoma zaidi

      Ni vyema kila nchi kuweza kuzingatia sheria zilizowekwa na wizara ya afya duniani katika kuzia uambukizi wa Corona. Hivi basi mipango mwafaka ni bora hasa kabla ugonjwa huu haujasambaa katika maeneo mengi. Kuhakikisha unanawa mikono kila wakati, kuepukana na walio na magonjwa kama vile homa na mafua, kuvalia maski kila wakati hasa kwenye wati wengi, ni baadhi ya mambo tunayo takiwa kuzingatia ili kuepukana na uambukizi wa ugonjwa huu mpya iliochipuka hivi majuzi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 0

      Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi?

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?
      • Tarehe: 23/04/2020
      • Majibu: 4

      Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?

    • Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?
      • Tarehe: 21/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?

      • Tarehe: 16/04/2020
      • Majibu: 2

      Je ni sahihi kwa Liverpool kua mabingwa?

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais