Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7688
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 25/04/20202020-04-25T21:03:02-03:00 2020-04-25T21:03:02-03:00kwa Umataifa

Nini inafaa kufanywa ili kupunguza ufisadi Africa?

Ufisadi imekuwa shida la kila siku hapa Afrika, ni ajabu kuwa jawabu ya janga hili halijaweza kupatikana.
Ni bayana sayana kuwa ufisadi inarudisha nchi mingi za Afrika nyuma. Iwapo ufisadi haitashughulikiwa Afrika itabaki nyuma kimaendeleo na uchumi.
Je, unaona nini lafaa kufanyika ili kupuguza au kumaliza ufisadi Afrika?
Asante Sana.

  • 0
  • 4
  • 1
Jibu
Shea
  • Facebook

    4 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK Napenda lugha
      2020-07-18T12:06:13-03:00Alijibu tarehe 18/07/2020 saa 12:06 um

      Kila mtu ana jukumu la kumaliza ufisadi. Sio viongozi pekee lakini sisi wenyewe pia. Kwa mfano, usipomhonga afisa wa polisi unapopatikana na makosa basi hapo utakuwa umemwondolea lawama ya kuwa mfisadi.

      Kila mtu ana jukumu la kumaliza ufisadi. Sio viongozi pekee lakini sisi wenyewe pia. Kwa mfano, usipomhonga afisa wa polisi unapopatikana na makosa basi hapo utakuwa umemwondolea lawama ya kuwa mfisadi.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-26T13:37:15-03:00Alijibu tarehe 26/04/2020 saa 1:37 um

      Kila mmoja anafaa kuchangia katika kukabiliana na ufisadi hapa mahali popote duniani. Hasa nchi za Kiafrika zimeadhirika sana na ufisadi. Kenya ikiwa mojawapo ya nchini zilizokuwa na kiwango cha juu cha ufisadi. Serikali inapswa kuwa na sheria kali ambazo zitatoa athabu kwa yeyote atahusika na ufisaSoma zaidi

      Kila mmoja anafaa kuchangia katika kukabiliana na ufisadi hapa mahali popote duniani. Hasa nchi za Kiafrika zimeadhirika sana na ufisadi.

      Kenya ikiwa mojawapo ya nchini zilizokuwa na kiwango cha juu cha ufisadi. Serikali inapswa kuwa na sheria kali ambazo zitatoa athabu kwa yeyote atahusika na ufisadi.

      Wananchi wasihusishe na vitendo vya ufisadi na kufuata njia halali kila wakati.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-27T06:56:28-03:00Alijibu tarehe 27/04/2020 saa 6:56 mu

      Ufisadi upo kwa wingi.  Watu wenyewe wanaweza kubadilisha ufisadi kwa kupigia kura wagombea walio nje ya mfumo wa siasa.  Hasa Kenya - ukabila unakanganya vita dhidi ya ufisadi.

      Ufisadi upo kwa wingi.  Watu wenyewe wanaweza kubadilisha ufisadi kwa kupigia kura wagombea walio nje ya mfumo wa siasa.  Hasa Kenya – ukabila unakanganya vita dhidi ya ufisadi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. Oracle Mwanajamii
      2020-05-18T04:22:53-03:00Alijibu tarehe 18/05/2020 saa 4:22 mu

      Kujenga mwamko kwa wananchi ili waelewe namna dhana ya maendeleo inavyofanya kazi. Pia ni muhimu wananchi kufahamu namna ya kuwawajibisha viongozi wao.

      Kujenga mwamko kwa wananchi ili waelewe namna dhana ya maendeleo inavyofanya kazi. Pia ni muhimu wananchi kufahamu namna ya kuwawajibisha viongozi wao.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 29/07/2020
      • Majibu: 0

      Je, kuna athari gani kwa nchi za Afrika kutokana na ...

      • Tarehe: 19/06/2020
      • Jibu: 1

      BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi?

    • Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?
      • Tarehe: 06/06/2020
      • Majibu: 3

      Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni kwa vipi janga la virusi vya korona limeathiri ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais