Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7371
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 70 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
Uliulizwa: 14/04/20202020-04-14T12:37:32-03:00 2020-04-14T12:37:32-03:00Katika: Zote Zingine

Ni vyema Serikali kuruhusu waumini kufanya misa.

Serikali inapaswa kukubalia waumini kuweza kufanya mikutano ya dini. Serikali za nchi nyingi duniani, ambazo zimeathirika na Corona wameweza kukatiza mikutano yeyote ile inayo husika watu wengi. Hii ni kwa ajili ya kuzuia uenezi wa Corona. Je, ni vyema watu kukusanyika kwa ajili ya kufanya mikutano ya dini?

  • 1
  • 3
  • 434
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    3 Majibu

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 118 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-08-07T11:05:09-03:00Alijibu 11:05 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Mkutano ni mkutano ata ule wa kanisa ni mkutano. Ugonjwa hautambui haina ya mkutano na mikutano kama hii ndiyo inayochangia eneo la maambukizi ya Corona. Kwa hivyo ni vyema watu wakumbatie mfumo wa kidijitali wa kufuatilia mahubiri kwenye simu za rununu, redio ama televisheni. Pia watu wanaweza kwenSoma zaidi

      Mkutano ni mkutano ata ule wa kanisa ni mkutano. Ugonjwa hautambui haina ya mkutano na mikutano kama hii ndiyo inayochangia eneo la maambukizi ya Corona. Kwa hivyo ni vyema watu wakumbatie mfumo wa kidijitali wa kufuatilia mahubiri kwenye simu za rununu, redio ama televisheni.

      Pia watu wanaweza kwenda makanisani na misikitini iwapo watafuatilia masharti ya serikali na shirika la afya kama vile kuudhuria ibada watu wasiozidi mia moja, watu wazee na watoto kutohudhuria ibada, kuosha mikono kwa sabuni na maji au vitakasa mikono kabla ya ibada, kuweka umbali wa kilomita moja na nusu kati ya waumini na kuvaa barakoa katika maeneo ya ibada. Hivyo tutakuwa tumeweka tahadhari.

      Ata hivyo ningependa kuwakumbusha kuwa kumjua Mungu ni roho na wala sio mikusanyiko.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Nilote4life

      Nilote4life

      • Naamini kwa uwezo wa utu
      • 2 Maswali
      • 12 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 37 Pointi
      Ona Wasifu
      Nilote4life Naamini kwa uwezo wa utu
      2020-04-15T13:36:13-03:00Alijibu 1:36 um

      Watu wajigundue dini katika moyo zao.  Dini za kuunganisha waafrika ndio uzoefu wao na ukarimu wao.  Haya kama waafrika hawawezi kufanya mikutano kanisa basi tutaendelea nyumbani, VOIP, ama simu za mikononi.

      Watu wajigundue dini katika moyo zao.  Dini za kuunganisha waafrika ndio uzoefu wao na ukarimu wao.  Haya kama waafrika hawawezi kufanya mikutano kanisa basi tutaendelea nyumbani, VOIP, ama simu za mikononi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-14T15:55:18-03:00Alijibu 3:55 um

      Mikutano ya kidini inaweza kueneza ugonjwa wa Korona. Kwa hili Serikali za nchi site duniani zinafaa kukataa mikutano ya kanisa. Kutumia digitali ya kisasa mhubiri anaweza hubiri kutoka nyumbani na wafuasi wake wanaeeza kufuatilia ibanda kutoka makwao. Ni muhimu watu kuelewa kuwa iwapo utaomba au usSoma zaidi

      Mikutano ya kidini inaweza kueneza ugonjwa wa Korona. Kwa hili Serikali za nchi site duniani zinafaa kukataa mikutano ya kanisa. Kutumia digitali ya kisasa mhubiri anaweza hubiri kutoka nyumbani na wafuasi wake wanaeeza kufuatilia ibanda kutoka makwao. Ni muhimu watu kuelewa kuwa iwapo utaomba au usali na uamini Mwenyezi mungu atakusikia na kujibu maombi yako.

      Asante.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 19/06/2020
      • Jibu: 1

      BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi?

      Unaweza kunitajia nchi ambazo watu wake wanasikiliza BBC idhaa ya Kiswahili?. Na wanasikiliza kupitia vituo gani vya redio katika nchi zao, au wanatumia njia gani nyingine?

      • Tarehe: 03/06/2020
      • Jibu: 1

      Baada ya matukio mengi mwakani - una malengo gani?

      Naona Diamond ana malengo mazuri sana tunayoweza kufuatia. Je, kwako ni vipi?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais