Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7331
alijibu
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 75 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
aliuliza 13/04/20202020-04-13T06:41:15-03:00 2020-04-13T06:41:15-03:00kwa Safari

ni vyema kusafiri kutoka mjini kwende mashambani kwa wazazi?

Je, inapaswa watu waliokua wakiishi mjini kusafiri shambani kwa wazazi wao?

  • 1
  • 3
  • 303
  • 1
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Upendo

      Upendo

      • Upendo ni jina na imani wangu
      • 3 Maswali
      • 11 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 49 Pointi
      Ona Wasifu
      Bora
      Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-14T05:04:35-03:00Alijibu tarehe 14/04/2020 saa 5:04 mu

      Bila shaka ni vyema katika hali ya kawaida lakini ktk huu muda wa kutengamana naona inabidi kuchungu vizuri. Kama wazazi wanategemea usaidizi wako basi pata namna ya kuendeleza sapoti lakini kama wako wazee sana labda usiende kutokana na hatari utakayo waletea. Haya yatakuwa ngumu sana kwa maisha yaSoma zaidi

      Bila shaka ni vyema katika hali ya kawaida lakini ktk huu muda wa kutengamana naona inabidi kuchungu vizuri.

      Kama wazazi wanategemea usaidizi wako basi pata namna ya kuendeleza sapoti lakini kama wako wazee sana labda usiende kutokana na hatari utakayo waletea.

      Haya yatakuwa ngumu sana kwa maisha ya kawaida kwetu Afrika. Waafrika ni watu waliozoea kushirikiana sana na wazazi na wahanga. Namna ya kuendelea itakuwa ngumu. Namna ya kurejea utamaduni asilia itakuwa ngumu.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-18T14:05:56-03:00Alijibu tarehe 18/06/2020 saa 2:05 um

      Wakati huu wa janga la Corona haifai hata kidogo. Ukizingatia watu wengi wanaoishi mashinani ni watu wenye umri wa makamo ambao wako kwenye hatari zaidi kuambukizwa ugonjwa wa Corona. Ni bora watu wangoje corona iishe kwanza kabla kuanza kusafiri mashinani kuliko kwenda kuhatarisha maisha ya wazaziSoma zaidi

      Wakati huu wa janga la Corona haifai hata kidogo. Ukizingatia watu wengi wanaoishi mashinani ni watu wenye umri wa makamo ambao wako kwenye hatari zaidi kuambukizwa ugonjwa wa Corona. Ni bora watu wangoje corona iishe kwanza kabla kuanza kusafiri mashinani kuliko kwenda kuhatarisha maisha ya wazazi wao kwa kutoka Nairobi na Mombasa ambako ugonjwa umekita na kuelekea mashinani.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-14T16:08:41-03:00Alijibu tarehe 14/04/2020 saa 4:08 um

      Kutembelea wazazi inafaa lakini muda huu kuna ugonjwa wa Korona Jambo ili halifai kamwe. Huenda ukawa na virusi vya Korona ila tu hazijaenea kabisa. Virusi za Korona zinaweza kusambazwa hata kama bado hazionekani kwa mwili borake ukonazo. Wazazi wamezeeka na Mili ya haina kinga za kotosha kupigana nSoma zaidi

      Kutembelea wazazi inafaa lakini muda huu kuna ugonjwa wa Korona Jambo ili halifai kamwe.

      Huenda ukawa na virusi vya Korona ila tu hazijaenea kabisa. Virusi za Korona zinaweza kusambazwa hata kama bado hazionekani kwa mwili borake ukonazo.

      Wazazi wamezeeka na Mili ya haina kinga za kotosha kupigana na magonjwa. Kwa kuwatembelea unaeza kuwaambikiza ugonjwa huu.

      Kwa hiki hufai kutembelea wazazi wako wakati huu wa Korona.

      Asante.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Swali API test
      • Tarehe: 17/01/2021
      • Jibu: 1

      Swali API test

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, maishani mwako ungependa kutembelea nchi gani?

      Taja sababu ya kupendezwa na nchi hiyo, kiwango hicho

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 11/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, ni nchi gani ungependa kutembea Afrika?

      Nchi za Afrika zina sifa tofauti zinazozifanya kupendeza na pia kufanya watu wengi wapende kutembelea nchi hizo ili kujionea kama sifa hizi ni Kweli. Huku ukitoa sababu ni nchi gani ungependa kutembelea?

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

      Watu wengi wanaongea juu ya miradi hiyo kubwa sana. Tofauti ni zipi?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais