Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JilogishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya rununu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

ERIC
ERIC
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • The administrator approved your answer.17/01/2021 saa 6:32 um
      • Admin alijibu swali lako.15/01/2021 saa 3:23 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.14/01/2021 saa 6:17 um
      • Cloudy2 alipiga kura kwa swali lako.13/01/2021 saa 12:42 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.12/01/2021 saa 11:50 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7626
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC

ERIC

  • Naweza
  • 39 Maswali
  • 42 Majibu
  • 0 Majibu Bora
  • 86 Pointi
Ona Wasifu
ERIC
Asked: 21/04/20202020-04-21T15:22:12-03:00 2020-04-21T15:22:12-03:00 Sheria

Ni vyema kunyima watu kuzika jamaa wao?

Serikali ya Kenya ilitoa amri ya mazishi kuudhuriwa na watu wasizidi kumi na watano ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Korona.
Kila mtu hutamani kuwapa rafiki, ndungu au jamaa wake heshima ya mwisho.
Ni Kweli watu wengi huwa na rafiki na ndungu wanaozidi kumi na watano.
Kutokana na amri ya Serikali itabidi rafiki na ndungu wengine wasihudhurie mazishi.
Kwa maoni yako amri hili lafaa?
Asante Sana.

  • 1
  • 3
  • 369
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    3 Majibu

    • Imepigiwa kura
    • Majibu Mapya
    • Kongwe zaidi
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 117 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-27T05:41:00-03:00 27/06/2020 saa 5:41 mu
      Jibu hili lilihaririwa.

      Hii ni mbinu ya kuzuia mikusanyiko ya watu ambayo pia inaweza kuongeza maambukizi ya Corona. Kwa hivyo naona kuwa ni jambo la busara. Tamaduni zingine zimekadiriwa zaidi. 

      Hii ni mbinu ya kuzuia mikusanyiko ya watu ambayo pia inaweza kuongeza maambukizi ya Corona. Kwa hivyo naona kuwa ni jambo la busara. Tamaduni zingine zimekadiriwa zaidi. 

      See less
      • 1
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Cloudy2

      Cloudy2

      • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      • 8 Maswali
      • 30 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 92 Pointi
      Ona Wasifu
      Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-23T01:38:19-03:00 23/04/2020 saa 1:38 mu

      Si vyema - lakini kama kila kitu duniani inabidi kusawazisha vitu vizuri vinavyoshindana. Kwa hivyo swali letu labda ni hivi: tunachukua hatua mno dhidi utamaduni wetu kwa ajili ya corona?  Mimi nimeanza kushuku haitakuwa kibaya tulivyofikiria mwanzoni lakini wacha tuendelee na makini.  Haya ni seriSoma Zaidi

      Si vyema – lakini kama kila kitu duniani inabidi kusawazisha vitu vizuri vinavyoshindana.

      Kwa hivyo swali letu labda ni hivi: tunachukua hatua mno dhidi utamaduni wetu kwa ajili ya corona?  Mimi nimeanza kushuku haitakuwa kibaya tulivyofikiria mwanzoni lakini wacha tuendelee na makini.  Haya ni serious.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-22T12:12:11-03:00 22/04/2020 saa 12:12 um

      Si vyema ila kufuatia idadi ya watu wanaougua Corona kuongezeka ni sharti sheria izi zifuatiliwe. Serikali inafanya jinsi iwezavyo kuthibiti Corona, basi wanachi pia waungane mikono kwa kufuata sheria mpya za serikali.

      Si vyema ila kufuatia idadi ya watu wanaougua Corona kuongezeka ni sharti sheria izi zifuatiliwe. Serikali inafanya jinsi iwezavyo kuthibiti Corona, basi wanachi pia waungane mikono kwa kufuata sheria mpya za serikali.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    You must login to add an answer.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida. Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi? Je, kwa maoni yako

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Jibu: 1

      Hatua na serikali kuhakikisha kila mwananchi akona maski yake binafsi?

      Je,unafikiri kwamba serikali imeweza kusaidia wananchi katika kuwa na maski kila wakati. Ni hatua ipi ambayo serikali inapaswa kuchukua ili kuhakikisha kwamba kila mkenya ana maski yake?

      • Tarehe: 07/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Serikali ya Kenya kuweka Lockdown Eastleigh, je inafaa?

      Serikali imeweza kubaini njia tofauti katika kukabiliana na virusi vya Korona. Eastleaigh ikiwa mojawapo ya eneo zilizo kabiliwa na idadi kubwa ya watu walio na Korona. Je hatua hii inastahili au la?

      • Tarehe: 26/04/2020
      • Majibu: 3

      Ni hatua njema serikali ya Kenya imechukua kuongea muda wa ...

      Wakenya wengi walitarajia kwamba, ule muda uliowekwa na serikali ya siku ishirini na moja ya kafiu zikiweza kuisha, kafiu itaondelewa rasmi. Hii ni ndoto kwa wengi sasa ivi kwakuwa serikali ilionelea kuongeza muda wa kafiu na siku zingine ishirini na

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida. Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi? Je, kwa maoni yako

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

      Kenya na Tanzania ni nchi jirani ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila ugomvi. Juzi kumekuwa na tatizo fulani kuhusu mpaka wa nchi inzi mbili kutokana na ugonjwa hatari wa Korona. Rais wa Kenya aliamurisha kuwa raia wa Tanzania hawataruhusiwa kuingia

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais