Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7626
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 21/04/20202020-04-21T15:22:12-03:00 2020-04-21T15:22:12-03:00

Ni vyema kunyima watu kuzika jamaa wao?

Serikali ya Kenya ilitoa amri ya mazishi kuudhuriwa na watu wasizidi kumi na watano ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Korona.
Kila mtu hutamani kuwapa rafiki, ndungu au jamaa wake heshima ya mwisho.
Ni Kweli watu wengi huwa na rafiki na ndungu wanaozidi kumi na watano.
Kutokana na amri ya Serikali itabidi rafiki na ndungu wengine wasihudhurie mazishi.
Kwa maoni yako amri hili lafaa?
Asante Sana.

  • 1
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-27T05:41:00-03:00Alijibu tarehe 27/06/2020 saa 5:41 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Hii ni mbinu ya kuzuia mikusanyiko ya watu ambayo pia inaweza kuongeza maambukizi ya Corona. Kwa hivyo naona kuwa ni jambo la busara. Tamaduni zingine zimekadiriwa zaidi. 

      Hii ni mbinu ya kuzuia mikusanyiko ya watu ambayo pia inaweza kuongeza maambukizi ya Corona. Kwa hivyo naona kuwa ni jambo la busara. Tamaduni zingine zimekadiriwa zaidi. 

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-22T12:12:11-03:00Alijibu tarehe 22/04/2020 saa 12:12 um

      Si vyema ila kufuatia idadi ya watu wanaougua Corona kuongezeka ni sharti sheria izi zifuatiliwe. Serikali inafanya jinsi iwezavyo kuthibiti Corona, basi wanachi pia waungane mikono kwa kufuata sheria mpya za serikali.

      Si vyema ila kufuatia idadi ya watu wanaougua Corona kuongezeka ni sharti sheria izi zifuatiliwe. Serikali inafanya jinsi iwezavyo kuthibiti Corona, basi wanachi pia waungane mikono kwa kufuata sheria mpya za serikali.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-23T01:38:19-03:00Alijibu tarehe 23/04/2020 saa 1:38 mu

      Si vyema - lakini kama kila kitu duniani inabidi kusawazisha vitu vizuri vinavyoshindana. Kwa hivyo swali letu labda ni hivi: tunachukua hatua mno dhidi utamaduni wetu kwa ajili ya corona?  Mimi nimeanza kushuku haitakuwa kibaya tulivyofikiria mwanzoni lakini wacha tuendelee na makini.  Haya ni seriSoma zaidi

      Si vyema – lakini kama kila kitu duniani inabidi kusawazisha vitu vizuri vinavyoshindana.

      Kwa hivyo swali letu labda ni hivi: tunachukua hatua mno dhidi utamaduni wetu kwa ajili ya corona?  Mimi nimeanza kushuku haitakuwa kibaya tulivyofikiria mwanzoni lakini wacha tuendelee na makini.  Haya ni serious.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais