Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7394
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 15/04/20202020-04-15T18:02:52-03:00 2020-04-15T18:02:52-03:00kwa Mahusiano

Ni nini unatamani kufanya lakini huwezi kutokana na Sheria ziliotelewa za kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Korona?

Ugonjwa wa Korona umeweza kusimamishwa shughuli mingi sana.
Sasa hivi ndo tunaelewa kuna shughuli ambazo tulikuwa tunazifanya ili kujifurahisha au shughuli za kila siku.
Vitu tuliodhania kuwa kawaida si kawaida tena.
Je, ni shughuli gani ambayo unatamani kutekeleza?

  • 1
  • 3
  • 1
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-16T08:46:32-03:00Alijibu tarehe 16/04/2020 saa 8:46 mu

      Nataka kufanya tizi kwa gym lakini hapo si ni mahali pabaya kuliko pengine pote?  Haya kukwama ndani na mke basi...

      Nataka kufanya tizi kwa gym lakini hapo si ni mahali pabaya kuliko pengine pote?  Haya kukwama ndani na mke basi…

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-19T03:18:03-03:00Alijibu tarehe 19/04/2020 saa 3:18 mu

      Natamani sana kuwaona wazazi wangu, ila tu janga hiki ka Korona limenizuia. Hii ni kwa sababu ya lockdown katika maeneo tofauti nchini. Nitafurahi iwapo Korona itaweza kuisha ili nikawatembelee wazazi wangu nyumbani.

      Natamani sana kuwaona wazazi wangu, ila tu janga hiki ka Korona limenizuia. Hii ni kwa sababu ya lockdown katika maeneo tofauti nchini. Nitafurahi iwapo Korona itaweza kuisha ili nikawatembelee wazazi wangu nyumbani.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-07-01T01:50:07-03:00Alijibu tarehe 01/07/2020 saa 1:50 mu

      Natamani kurudia hali yangu ya kibiashara kama awali lakini kwa sasa hivi ombi langu kuu ni ugonjwa wa corona uweze kuisha kwanza.

      Natamani kurudia hali yangu ya kibiashara kama awali lakini kwa sasa hivi ombi langu kuu ni ugonjwa wa corona uweze kuisha kwanza.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mtu wa kabila gani huwezi kuolewa naye na ...

      • Tarehe: 12/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, unaweza kuoa au kuolewa na mtu ambaye si wa ...

      • Tarehe: 05/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, nijuaje kama mwanamume ni mtu mkweli katika uhusiano?

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais