Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7961
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 12/05/20202020-05-12T16:34:41-03:00 2020-05-12T16:34:41-03:00kwa Mahusiano

Ni nini haswa utakachofanya punde tu ugonjwa wa Korona ukifikia tamati?

Ugonjwa wa Korona ni ugonjwa hatari sana ambao unalazimisha watu kuishi kando na maisha waliyoyazoea. Kuna mambo mingi sana ambayo ungefanya awali lakini wakati huu huwezi kutekeleza.
He ni nini utakachofanya punde tu ugonjwa huu umefikia tamati?

  • 0
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-05-13T07:55:32-03:00Alijibu tarehe 13/05/2020 saa 7:55 mu

      Ni mambo mingi ambayo wakenya wamenuia kufanya pindi tu Korona inapoisha. Iwapo janga hili litaweza kuishi hivi karibuni, ningependa sana kuwatembelea jamaa zangu sehemu mbali mbali hapa nchini. Kando na hayo, biashara zitaweza kurudi kama awali na wakenya kusadika kujijenga kimaisha.

      Ni mambo mingi ambayo wakenya wamenuia kufanya pindi tu Korona inapoisha. Iwapo janga hili litaweza kuishi hivi karibuni, ningependa sana kuwatembelea jamaa zangu sehemu mbali mbali hapa nchini. Kando na hayo, biashara zitaweza kurudi kama awali na wakenya kusadika kujijenga kimaisha.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Oracle Mwanajamii
      2020-05-18T04:25:58-03:00Alijibu tarehe 18/05/2020 saa 4:25 mu

      Kitu cha kwanza kabisa ni kutoa taarifa kwenye hospitali ama kituo cha huduma za afya, na pia kujitenga ili kutoambukiza wengine.

      Kitu cha kwanza kabisa ni kutoa taarifa kwenye hospitali ama kituo cha huduma za afya, na pia kujitenga ili kutoambukiza wengine.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-07-01T01:26:42-03:00Alijibu tarehe 01/07/2020 saa 1:26 mu

      Mimi kitu cha kwanza nitakachofanya pindi tu janga la Corona litakapofika tamati, ni kurejelea biashara yangu. Biashara yangu inahusikana sana na mahoteli makubwa makubwa na kwa hivyo saa hii imehadhirika sana. Kwa hivyo tunaomba sana Mola atuondolee janga hili mapema.

      Mimi kitu cha kwanza nitakachofanya pindi tu janga la Corona litakapofika tamati, ni kurejelea biashara yangu. Biashara yangu inahusikana sana na mahoteli makubwa makubwa na kwa hivyo saa hii imehadhirika sana. Kwa hivyo tunaomba sana Mola atuondolee janga hili mapema.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mtu wa kabila gani huwezi kuolewa naye na ...

      • Tarehe: 12/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, unaweza kuoa au kuolewa na mtu ambaye si wa ...

      • Tarehe: 05/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, nijuaje kama mwanamume ni mtu mkweli katika uhusiano?

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais