Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

ERIC
ERIC
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7555
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC

ERIC

  • Naweza
  • 39 Maswali
  • 42 Majibu
  • 0 Majibu Bora
  • 86 Pointi
Ona Wasifu
ERIC
Uliulizwa: 20/04/20202020-04-20T14:21:58-03:00 2020-04-20T14:21:58-03:00Katika: Zote Zingine

Ni nini haswa inayozuia Afrika kuendelea?

Kwa miaka mingi Afrika imeweza kubaki nyuma kimaendeleo. Nchi Afrika pia zimeonekana kuitaji usaidizi kutoka Nchi zingine mara kwa mara. Ukiangalia Nchi za Afrika zinafanya Sana ukulima wenye mazao, Dhahabu, Kopa na vitu nyingi ambazo zinaleta raslimali.
Je, mbona Afrika haiendelei😭?

  • 2
  • 4
  • 390
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    4 Majibu

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 118 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-07-20T06:42:42-03:00Alijibu 6:42 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Sababu inayofanya nchi za Afrika zisiendelee ni ufisadi na uongozi duni. Afrika ni bara lenye utajiri mwingi mno lakini utajiri huo umegawa kwa watu wachache sana ilihali kiwango  kikubwa cha watu kinabaki maskini na kikihangaika. Pili, waafrika wanaamini sana kusoma na kuajiriwa kuliko kutumia akilSoma zaidi

      Sababu inayofanya nchi za Afrika zisiendelee ni ufisadi na uongozi duni. Afrika ni bara lenye utajiri mwingi mno lakini utajiri huo umegawa kwa watu wachache sana ilihali kiwango  kikubwa cha watu kinabaki maskini na kikihangaika.

      Pili, waafrika wanaamini sana kusoma na kuajiriwa kuliko kutumia akili zao na maarifa yao kuvumbua vitu kama wazungu wanavyofanya.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-22T12:17:15-03:00Alijibu 12:17 um
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Uongozi duni unachangia zaidi katika kuzia nchi za kiafrika kuendelea. Ufisadi wa viongozi kupitia wizi wa mali ya umma. Iwapo viongozi watawajibika kazini, basi nchini nyingi zitaendelea kiuchumi.

      Uongozi duni unachangia zaidi katika kuzia nchi za kiafrika kuendelea. Ufisadi wa viongozi kupitia wizi wa mali ya umma. Iwapo viongozi watawajibika kazini, basi nchini nyingi zitaendelea kiuchumi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Luyela

      Luyela

      • KIJANA SHUPAVU
      • 5 Maswali
      • 7 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 67 Pointi
      Ona Wasifu
      Luyela KIJANA SHUPAVU
      2020-04-21T01:57:06-03:00Alijibu 1:57 mu

      Kwanza kabisa ni viongozi wabovu wapenda rushwa kutoka hizi nchi za Africa ndo wanakwamisha maendeleo ya nchi. Pili mfumo mzima wa elimu pia sayansi na teknolojia kwa Africa vipo nyuma sana. Ivo basi inatulazimu kutegemea zaidi misaada kutoka nchi za mataifa yaliyoendelea.

      Kwanza kabisa ni viongozi wabovu wapenda rushwa kutoka hizi nchi za Africa ndo wanakwamisha maendeleo ya nchi. Pili mfumo mzima wa elimu pia sayansi na teknolojia kwa Africa vipo nyuma sana. Ivo basi inatulazimu kutegemea zaidi misaada kutoka nchi za mataifa yaliyoendelea.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. Nilote4life

      Nilote4life

      • Naamini kwa uwezo wa utu
      • 2 Maswali
      • 12 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 37 Pointi
      Ona Wasifu
      Nilote4life Naamini kwa uwezo wa utu
      2020-04-20T17:40:31-03:00Alijibu 5:40 um
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Naona waafrika wengi wanajiuliza hivi ndio ni suala kubwa inayobaki akilini.  Kuna majibu mengi yakiwemo changamoto za ukoloni, ufisadi, historia, ama jiografia.  Labda ni hizi zote.  Shida enyewe ni kujua hatua gani zinafaa.  Lakini kwa maoni yangu vitu viwili viko wazi sana; Waafrika wako tajiri mSoma zaidi

      Naona waafrika wengi wanajiuliza hivi ndio ni suala kubwa inayobaki akilini.  Kuna majibu mengi yakiwemo changamoto za ukoloni, ufisadi, historia, ama jiografia.  Labda ni hizi zote.  Shida enyewe ni kujua hatua gani zinafaa.  Lakini kwa maoni yangu vitu viwili viko wazi sana;

      1. Waafrika wako tajiri moyoni – Wafrika ni watu wema, watu wenye furaha, watu wanaofanya kazi vizuri.  Pia wanaleta mwangaza kwa sehemu ya maadili na utu duniani kwa mfano watu kama WE Dubois ama Ngugi wa Thiongo.
      2. Dunia inabadilika.  Walio kwa maaskini leo hawatakuwepo kesho.  Katika miaka ya 1950 wanauchumi walijionea kuwa Asia itakuwa kwa maaskini baadaye lakini Asia imefanikiwa sana.  Wakati wa wafrika utakuja.  Kwa bahati mbaya njia ilipotoshwa na watu wabaya kwa muda mrefu mno.
      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 19/06/2020
      • Jibu: 1

      BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi?

      Unaweza kunitajia nchi ambazo watu wake wanasikiliza BBC idhaa ya Kiswahili?. Na wanasikiliza kupitia vituo gani vya redio katika nchi zao, au wanatumia njia gani nyingine?

      • Tarehe: 03/06/2020
      • Jibu: 1

      Baada ya matukio mengi mwakani - una malengo gani?

      Naona Diamond ana malengo mazuri sana tunayoweza kufuatia. Je, kwako ni vipi?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida. Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi? Je, kwa maoni yako

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

      Kenya na Tanzania ni nchi jirani ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila ugomvi. Juzi kumekuwa na tatizo fulani kuhusu mpaka wa nchi inzi mbili kutokana na ugonjwa hatari wa Korona. Rais wa Kenya aliamurisha kuwa raia wa Tanzania hawataruhusiwa kuingia

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais