Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7555
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 20/04/20202020-04-20T14:21:58-03:00 2020-04-20T14:21:58-03:00kwa Umataifa

Ni nini haswa inayozuia Afrika kuendelea?

Kwa miaka mingi Afrika imeweza kubaki nyuma kimaendeleo. Nchi Afrika pia zimeonekana kuitaji usaidizi kutoka Nchi zingine mara kwa mara. Ukiangalia Nchi za Afrika zinafanya Sana ukulima wenye mazao, Dhahabu, Kopa na vitu nyingi ambazo zinaleta raslimali.
Je, mbona Afrika haiendelei😭?

  • 2
  • 4
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    4 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Nilote4life Naamini kwa uwezo wa utu
      2020-04-20T17:40:31-03:00Alijibu tarehe 20/04/2020 saa 5:40 um
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Naona waafrika wengi wanajiuliza hivi ndio ni suala kubwa inayobaki akilini.  Kuna majibu mengi yakiwemo changamoto za ukoloni, ufisadi, historia, ama jiografia.  Labda ni hizi zote.  Shida enyewe ni kujua hatua gani zinafaa.  Lakini kwa maoni yangu vitu viwili viko wazi sana; Waafrika wako tajiri mSoma zaidi

      Naona waafrika wengi wanajiuliza hivi ndio ni suala kubwa inayobaki akilini.  Kuna majibu mengi yakiwemo changamoto za ukoloni, ufisadi, historia, ama jiografia.  Labda ni hizi zote.  Shida enyewe ni kujua hatua gani zinafaa.  Lakini kwa maoni yangu vitu viwili viko wazi sana;

      1. Waafrika wako tajiri moyoni – Wafrika ni watu wema, watu wenye furaha, watu wanaofanya kazi vizuri.  Pia wanaleta mwangaza kwa sehemu ya maadili na utu duniani kwa mfano watu kama WE Dubois ama Ngugi wa Thiongo.
      2. Dunia inabadilika.  Walio kwa maaskini leo hawatakuwepo kesho.  Katika miaka ya 1950 wanauchumi walijionea kuwa Asia itakuwa kwa maaskini baadaye lakini Asia imefanikiwa sana.  Wakati wa wafrika utakuja.  Kwa bahati mbaya njia ilipotoshwa na watu wabaya kwa muda mrefu mno.
      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Luyela KIJANA SHUPAVU
      2020-04-21T01:57:06-03:00Alijibu tarehe 21/04/2020 saa 1:57 mu

      Kwanza kabisa ni viongozi wabovu wapenda rushwa kutoka hizi nchi za Africa ndo wanakwamisha maendeleo ya nchi. Pili mfumo mzima wa elimu pia sayansi na teknolojia kwa Africa vipo nyuma sana. Ivo basi inatulazimu kutegemea zaidi misaada kutoka nchi za mataifa yaliyoendelea.

      Kwanza kabisa ni viongozi wabovu wapenda rushwa kutoka hizi nchi za Africa ndo wanakwamisha maendeleo ya nchi. Pili mfumo mzima wa elimu pia sayansi na teknolojia kwa Africa vipo nyuma sana. Ivo basi inatulazimu kutegemea zaidi misaada kutoka nchi za mataifa yaliyoendelea.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-22T12:17:15-03:00Alijibu tarehe 22/04/2020 saa 12:17 um
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Uongozi duni unachangia zaidi katika kuzia nchi za kiafrika kuendelea. Ufisadi wa viongozi kupitia wizi wa mali ya umma. Iwapo viongozi watawajibika kazini, basi nchini nyingi zitaendelea kiuchumi.

      Uongozi duni unachangia zaidi katika kuzia nchi za kiafrika kuendelea. Ufisadi wa viongozi kupitia wizi wa mali ya umma. Iwapo viongozi watawajibika kazini, basi nchini nyingi zitaendelea kiuchumi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. CarolGK Napenda lugha
      2020-07-20T06:42:42-03:00Alijibu tarehe 20/07/2020 saa 6:42 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Sababu inayofanya nchi za Afrika zisiendelee ni ufisadi na uongozi duni. Afrika ni bara lenye utajiri mwingi mno lakini utajiri huo umegawa kwa watu wachache sana ilihali kiwango  kikubwa cha watu kinabaki maskini na kikihangaika. Pili, waafrika wanaamini sana kusoma na kuajiriwa kuliko kutumia akilSoma zaidi

      Sababu inayofanya nchi za Afrika zisiendelee ni ufisadi na uongozi duni. Afrika ni bara lenye utajiri mwingi mno lakini utajiri huo umegawa kwa watu wachache sana ilihali kiwango  kikubwa cha watu kinabaki maskini na kikihangaika.

      Pili, waafrika wanaamini sana kusoma na kuajiriwa kuliko kutumia akili zao na maarifa yao kuvumbua vitu kama wazungu wanavyofanya.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 29/07/2020
      • Majibu: 0

      Je, kuna athari gani kwa nchi za Afrika kutokana na ...

      • Tarehe: 19/06/2020
      • Jibu: 1

      BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi?

    • Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?
      • Tarehe: 06/06/2020
      • Majibu: 3

      Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni kwa vipi janga la virusi vya korona limeathiri ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais