Mara kwa mara kumekuwa na mjadala wa katika nchi zote duniani ni gani likichezwa inayoongoza kiuchumi?
China wamesemekana mara kwa mara kuwa ndo wanaongoza uchumi dunia yote.
Je, kwa maoni yako ni nchi gani inayoongoza kiuchumi?
Ni nchi gani inayoongoza kiuchumi?
Shea
Cloudy2
Inabidi kuangalia swali hili kwa mitazamo mbalimbali yafuatayo: Ukubwa wa Uchumi - kwa kipimo hicho ni Mmarekani. Uchumi wao ni kubwa kuliko nchi zote zingine. Ndio sababu nchi hiyo imekuwa ushawishi kubwa miaka hivi karibuni. Ukasi wa Uchumi - kwa kipimo hicho kawaida ni China ambayo inaongoza ncSoma zaidi
Inabidi kuangalia swali hili kwa mitazamo mbalimbali yafuatayo:
Siku moja nchi za Afrika zitakuwepo 😁😁😁
Angalia kidogoMamaYako
Ghana ilikuwa ya kwanza kwa upande wa GDP per capital mwaka moja kutokana na upataji wao wa oil 🇬🇭
Ghana ilikuwa ya kwanza kwa upande wa GDP per capital mwaka moja kutokana na upataji wao wa oil 🇬🇭
Angalia kidogoCarolGK
Nchi ya Amerika ndiyo inayoongoza kiuchumi lakini nchi ya uchina inaongoza kwa ugawi wa raslimali. Kuna tofauti
Nchi ya Amerika ndiyo inayoongoza kiuchumi lakini nchi ya uchina inaongoza kwa ugawi wa raslimali. Kuna tofauti
Angalia kidogoMkubwa
Ni china... Baada ya muda tutaona vile ushawishi wao unazidi kabisa.
Ni china… Baada ya muda tutaona vile ushawishi wao unazidi kabisa.
Angalia kidogo