Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

ERIC
ERIC
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7837
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC

ERIC

  • Naweza
  • 39 Maswali
  • 42 Majibu
  • 0 Majibu Bora
  • 86 Pointi
Ona Wasifu
ERIC
aliuliza 29/04/20202020-04-29T17:07:15-03:00 2020-04-29T17:07:15-03:00kwa Zote Zingine

Ni nchi gani inaogoza duniani kwa vita?

Nchi tofauti duniani zina vitengo tofauti vya Askari na pia vyombo za kuhakikisha usalama.
Je ni nchi gani henye Askari hodari zaidi na pia vifaa vya vita?

  • 2
  • 3
  • 344
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Mkubwa

      Mkubwa

      • Dunia inaisha Mungu atabaki
      • 8 Maswali
      • 15 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 79 Pointi
      Ona Wasifu
      Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
      2020-04-30T21:41:36-03:00Alijibu tarehe 30/04/2020 saa 9:41 um

      Mbinu wa kuongoza kivita unabadilika sana siku hizi kutokana na utawala ya karne hii.  Siku hizi kila mtu anaweza kutazama runinga ndio wajue mambo ya vita ni mabaya sana kama kuua mtu ama kurushia makombora makwao. Haya hii ni endeleo mzuri sana kwa dunia.  Sasa mbinu ya kivita ni kupitia uchumi weSoma zaidi

      Mbinu wa kuongoza kivita unabadilika sana siku hizi kutokana na utawala ya karne hii.  Siku hizi kila mtu anaweza kutazama runinga ndio wajue mambo ya vita ni mabaya sana kama kuua mtu ama kurushia makombora makwao.

      Haya hii ni endeleo mzuri sana kwa dunia.  Sasa mbinu ya kivita ni kupitia uchumi wenye ushawishi.  Labda baadaye itakuwa kupitia harakati haramu ya kompyuta yani hacking.

      Jibu la swali lako 

      • Kiongozi wa Kijeshi (kwa ujumla) ni Marekani – bado bajeti ya Marekani ni mara nyingi kuliko nchi yoyote ingine.  Kuna nchi zingine zilizo na wanajeshi zaidi lakini.
      • Kiongozi wa Idadi ya Wanajeshi ni China.  Hawa wana askari nyingi sana.  Wana watu wengi ndani ya nchi.
      • Kiongozi wa Kiuchumi ni Marekani (lakini ushawishi inashuka sana)
      • Kiongozi wa Kikompyuta ni China.  Hao wanaweza kuhack kitu chochote
      • Kiongozi wa Kijasusi ni Israel.  Ni nchi ndogo ambayo inapokea ufadhili kubwa na nchi ina maadui mengi wanaozunguka.  Basi hawa wanawekeza sana uwezo wa kijasusi.

      Pia inabidi kutaja Urusi ambayo inatumia ujanja kushawishi dunia sana.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-14T04:25:24-03:00Alijibu tarehe 14/06/2020 saa 4:25 mu

      Naamini nchi zinazoongoza kivita ni israeli na Uingereza lakini ni ngumu kugundua kwani nchi hizi hazina uchokozi

      Naamini nchi zinazoongoza kivita ni israeli na Uingereza lakini ni ngumu kugundua kwani nchi hizi hazina uchokozi

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 75 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-30T03:19:12-03:00Alijibu tarehe 30/04/2020 saa 3:19 mu

      Kilingana na maoni yangu. Naonelea nchi ya Russia ndo walio wakali kivita. Ilhali wakati huu wa karne ya ishirini na moja, nchi zingine ka China na Amerika vimeweza kukuwa kifetha. Hii imefuatia hizi nchi kuzozana na hata kusemekana kwamba kuna silaha vya virusi ambavyo vimeundwa. Mfano kama Korona,Soma zaidi

      Kilingana na maoni yangu. Naonelea nchi ya Russia ndo walio wakali kivita. Ilhali wakati huu wa karne ya ishirini na moja, nchi zingine ka China na Amerika vimeweza kukuwa kifetha. Hii imefuatia hizi nchi kuzozana na hata kusemekana kwamba kuna silaha vya virusi ambavyo vimeundwa. Mfano kama Korona, Kunao wanaosema virusi vya Korona ni chombo cha vita katika dunia.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 19/06/2020
      • Jibu: 1

      BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi?

      Unaweza kunitajia nchi ambazo watu wake wanasikiliza BBC idhaa ya Kiswahili?. Na wanasikiliza kupitia vituo gani vya redio katika nchi zao, au wanatumia njia gani nyingine?

      • Tarehe: 03/06/2020
      • Jibu: 1

      Baada ya matukio mengi mwakani - una malengo gani?

      Naona Diamond ana malengo mazuri sana tunayoweza kufuatia. Je, kwako ni vipi?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida. Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi? Je, kwa maoni yako

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

      Kenya na Tanzania ni nchi jirani ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila ugomvi. Juzi kumekuwa na tatizo fulani kuhusu mpaka wa nchi inzi mbili kutokana na ugonjwa hatari wa Korona. Rais wa Kenya aliamurisha kuwa raia wa Tanzania hawataruhusiwa kuingia

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais