Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7837
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 29/04/20202020-04-29T17:07:15-03:00 2020-04-29T17:07:15-03:00kwa Umataifa

Ni nchi gani inaogoza duniani kwa vita?

Nchi tofauti duniani zina vitengo tofauti vya Askari na pia vyombo za kuhakikisha usalama.
Je ni nchi gani henye Askari hodari zaidi na pia vifaa vya vita?

  • 2
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
      2020-04-30T21:41:36-03:00Alijibu tarehe 30/04/2020 saa 9:41 um

      Mbinu wa kuongoza kivita unabadilika sana siku hizi kutokana na utawala ya karne hii.  Siku hizi kila mtu anaweza kutazama runinga ndio wajue mambo ya vita ni mabaya sana kama kuua mtu ama kurushia makombora makwao. Haya hii ni endeleo mzuri sana kwa dunia.  Sasa mbinu ya kivita ni kupitia uchumi weSoma zaidi

      Mbinu wa kuongoza kivita unabadilika sana siku hizi kutokana na utawala ya karne hii.  Siku hizi kila mtu anaweza kutazama runinga ndio wajue mambo ya vita ni mabaya sana kama kuua mtu ama kurushia makombora makwao.

      Haya hii ni endeleo mzuri sana kwa dunia.  Sasa mbinu ya kivita ni kupitia uchumi wenye ushawishi.  Labda baadaye itakuwa kupitia harakati haramu ya kompyuta yani hacking.

      Jibu la swali lako 

      • Kiongozi wa Kijeshi (kwa ujumla) ni Marekani – bado bajeti ya Marekani ni mara nyingi kuliko nchi yoyote ingine.  Kuna nchi zingine zilizo na wanajeshi zaidi lakini.
      • Kiongozi wa Idadi ya Wanajeshi ni China.  Hawa wana askari nyingi sana.  Wana watu wengi ndani ya nchi.
      • Kiongozi wa Kiuchumi ni Marekani (lakini ushawishi inashuka sana)
      • Kiongozi wa Kikompyuta ni China.  Hao wanaweza kuhack kitu chochote
      • Kiongozi wa Kijasusi ni Israel.  Ni nchi ndogo ambayo inapokea ufadhili kubwa na nchi ina maadui mengi wanaozunguka.  Basi hawa wanawekeza sana uwezo wa kijasusi.

      Pia inabidi kutaja Urusi ambayo inatumia ujanja kushawishi dunia sana.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-30T03:19:12-03:00Alijibu tarehe 30/04/2020 saa 3:19 mu

      Kilingana na maoni yangu. Naonelea nchi ya Russia ndo walio wakali kivita. Ilhali wakati huu wa karne ya ishirini na moja, nchi zingine ka China na Amerika vimeweza kukuwa kifetha. Hii imefuatia hizi nchi kuzozana na hata kusemekana kwamba kuna silaha vya virusi ambavyo vimeundwa. Mfano kama Korona,Soma zaidi

      Kilingana na maoni yangu. Naonelea nchi ya Russia ndo walio wakali kivita. Ilhali wakati huu wa karne ya ishirini na moja, nchi zingine ka China na Amerika vimeweza kukuwa kifetha. Hii imefuatia hizi nchi kuzozana na hata kusemekana kwamba kuna silaha vya virusi ambavyo vimeundwa. Mfano kama Korona, Kunao wanaosema virusi vya Korona ni chombo cha vita katika dunia.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-14T04:25:24-03:00Alijibu tarehe 14/06/2020 saa 4:25 mu

      Naamini nchi zinazoongoza kivita ni israeli na Uingereza lakini ni ngumu kugundua kwani nchi hizi hazina uchokozi

      Naamini nchi zinazoongoza kivita ni israeli na Uingereza lakini ni ngumu kugundua kwani nchi hizi hazina uchokozi

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 29/07/2020
      • Majibu: 0

      Je, kuna athari gani kwa nchi za Afrika kutokana na ...

      • Tarehe: 19/06/2020
      • Jibu: 1

      BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi?

    • Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?
      • Tarehe: 06/06/2020
      • Majibu: 3

      Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni kwa vipi janga la virusi vya korona limeathiri ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais