Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7974
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 75 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
aliuliza 14/05/20202020-05-14T08:54:18-03:00 2020-05-14T08:54:18-03:00kwa Michezo

Ni Mechi gani ungependa kutizani pindi Korona ikwishapo?

Kufuatia ongezeko ya watu waliougua virusi vyo Korona, mechi nyingi hasa za kandanda ziliweza kusimamishwa. Iwapo janga na Korona litaisha hivi karibuni, ni mechi gani ungependa kutazama?

  • 0
  • 2
  • 290
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-19T10:45:47-03:00Alijibu tarehe 19/06/2020 saa 10:45 mu

      Natamani kuona mechi zote za Chelsea kwani nawashabikia sana.

      Natamani kuona mechi zote za Chelsea kwani nawashabikia sana.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-05-18T17:46:45-03:00Alijibu tarehe 18/05/2020 saa 5:46 um

      Mechi ya Bayern Munich na Cheasea  no mojawapo wa mechi ambazo natamani kuzitazama. Iwapo ugonjwa wa Korona itaisha leo nleo nataman Sana kuona mechi hiyo.

      Mechi ya Bayern Munich na Cheasea  no mojawapo wa mechi ambazo natamani kuzitazama. Iwapo ugonjwa wa Korona itaisha leo nleo nataman Sana kuona mechi hiyo.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Jibu: 1

      Sehemu gani naweza pata matokeo na ratiba za soka?

      Nataka kujua tovuti au app bora zaidi kwa ajili ya kufuatilia ratiba na matokeo ya michezo mbalimbali ya mpira wa miguu duniani.

      • Tarehe: 13/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, kati ya Cristiano Ronaldo na Messi nani ndo mchezaji ...

      Kwa maoni yangu mimi ni Ronaldo

    • Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?
      • Tarehe: 23/04/2020
      • Majibu: 4

      Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?

      Katika miaka ya mwanzoni wa mwaka 2000 hadi kufika mwaka 2006 kulitokea viumbe wawili mafundi sana wa mpira, nao ni Ronaldinho Gaucho na Zinedine Zidane. Je kwa mtazamo wako, nani alikua mkali zaidi ya mwingine?

      • Tarehe: 16/04/2020
      • Majibu: 2

      Je ni sahihi kwa Liverpool kua mabingwa?

      Kutokana na sintofahamu hii ya Corona, kuna uwezekano mkubwa ligi kuu ya England ikahairishwa mpaka msimu ujao. Nini maoni yako, je ni vema tukaipa ubingwa wa msimu huu club ya Liverpool?

      • Tarehe: 13/04/2020
      • Majibu: 2

      Una hamu ya kuona mechi gani?

      Mechi zote duniani zilisimamishwa ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Korona. Kuna mechi kadhaa ambazo mashabiki wa Moira walikuwa na matumaini kubwa sana ya kuziona. Je ungependa kuona mechi gani likichezwa na kwanini?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais