Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7159
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 75 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
aliuliza 11/04/20202020-04-11T13:56:40-03:00 2020-04-11T13:56:40-03:00kwa Safari

Ni maeneo gani ulitarajia kusafiri?

Je ni eneo gani ambalo ulitarajia kutembea lakini virusi vya Corona zikazuilia usiweze kusafiri?

  • 1
  • 4
  • 322
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    4 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-18T14:12:01-03:00Alijibu tarehe 18/06/2020 saa 2:12 um

      Sikuwa nimepanga kwenda kokote 🤣 lakini natamani kwenda nchi za ng'ambo sana.

      Sikuwa nimepanga kwenda kokote 🤣 lakini natamani kwenda nchi za ng’ambo sana.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-11T17:13:14-03:00Alijibu tarehe 11/04/2020 saa 5:13 um

      Nilikuwa natarajia kusafiri Uchina kuendea bidhaa za bihashara . Naamini siku moja Korona pia litakufa na niweze kuendelea na shughuli za kawaida.

      Nilikuwa natarajia kusafiri Uchina kuendea bidhaa za bihashara . Naamini siku moja Korona pia litakufa na niweze kuendelea na shughuli za kawaida.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Cloudy2

      Cloudy2

      • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      • 8 Maswali
      • 30 Majibu
      • 3 Majibu Bora
      • 97 Pointi
      Ona Wasifu
      Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-11T16:48:30-03:00Alijibu tarehe 11/04/2020 saa 4:48 um

      Marekani siku ifikapo hakuna maambukizi. Naona usafiri utakuwa unapunguka kwa muda hata baada ya maathari ya moja kwa moja yaani dunia imezoea kutosafiri. Sijui kama maana ya hii ni kuwa bei zitakuwa juu ama chini. Wacha tuone nikaamua hapo mpango wa usafiri.

      Marekani siku ifikapo hakuna maambukizi. Naona usafiri utakuwa unapunguka kwa muda hata baada ya maathari ya moja kwa moja yaani dunia imezoea kutosafiri. Sijui kama maana ya hii ni kuwa bei zitakuwa juu ama chini. Wacha tuone nikaamua hapo mpango wa usafiri.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. Upendo

      Upendo

      • Upendo ni jina na imani wangu
      • 3 Maswali
      • 11 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 49 Pointi
      Ona Wasifu
      Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-11T16:12:25-03:00Alijibu tarehe 11/04/2020 saa 4:12 um

      Pemba - kisiwa kilicho tengwa wakati huo watu wanahofia Korona. Pengine visiwa viko hatarini zaidi. Haya wacha nisiende popote 😅

      Pemba – kisiwa kilicho tengwa wakati huo watu wanahofia Korona. Pengine visiwa viko hatarini zaidi. Haya wacha nisiende popote 😅

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Swali API test
      • Tarehe: 17/01/2021
      • Jibu: 1

      Swali API test

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, maishani mwako ungependa kutembelea nchi gani?

      Taja sababu ya kupendezwa na nchi hiyo, kiwango hicho

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 11/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, ni nchi gani ungependa kutembea Afrika?

      Nchi za Afrika zina sifa tofauti zinazozifanya kupendeza na pia kufanya watu wengi wapende kutembelea nchi hizo ili kujionea kama sifa hizi ni Kweli. Huku ukitoa sababu ni nchi gani ungependa kutembelea?

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

      Watu wengi wanaongea juu ya miradi hiyo kubwa sana. Tofauti ni zipi?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais