Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7159
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 11/04/20202020-04-11T13:56:40-03:00 2020-04-11T13:56:40-03:00kwa Safari

Ni maeneo gani ulitarajia kusafiri?

Je ni eneo gani ambalo ulitarajia kutembea lakini virusi vya Corona zikazuilia usiweze kusafiri?

  • 1
  • 4
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    4 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-11T16:12:25-03:00Alijibu tarehe 11/04/2020 saa 4:12 um

      Pemba - kisiwa kilicho tengwa wakati huo watu wanahofia Korona. Pengine visiwa viko hatarini zaidi. Haya wacha nisiende popote 😅

      Pemba – kisiwa kilicho tengwa wakati huo watu wanahofia Korona. Pengine visiwa viko hatarini zaidi. Haya wacha nisiende popote 😅

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-11T16:48:30-03:00Alijibu tarehe 11/04/2020 saa 4:48 um

      Marekani siku ifikapo hakuna maambukizi. Naona usafiri utakuwa unapunguka kwa muda hata baada ya maathari ya moja kwa moja yaani dunia imezoea kutosafiri. Sijui kama maana ya hii ni kuwa bei zitakuwa juu ama chini. Wacha tuone nikaamua hapo mpango wa usafiri.

      Marekani siku ifikapo hakuna maambukizi. Naona usafiri utakuwa unapunguka kwa muda hata baada ya maathari ya moja kwa moja yaani dunia imezoea kutosafiri. Sijui kama maana ya hii ni kuwa bei zitakuwa juu ama chini. Wacha tuone nikaamua hapo mpango wa usafiri.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. ERIC Naweza
      2020-04-11T17:13:14-03:00Alijibu tarehe 11/04/2020 saa 5:13 um

      Nilikuwa natarajia kusafiri Uchina kuendea bidhaa za bihashara . Naamini siku moja Korona pia litakufa na niweze kuendelea na shughuli za kawaida.

      Nilikuwa natarajia kusafiri Uchina kuendea bidhaa za bihashara . Naamini siku moja Korona pia litakufa na niweze kuendelea na shughuli za kawaida.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-18T14:12:01-03:00Alijibu tarehe 18/06/2020 saa 2:12 um

      Sikuwa nimepanga kwenda kokote 🤣 lakini natamani kwenda nchi za ng'ambo sana.

      Sikuwa nimepanga kwenda kokote 🤣 lakini natamani kwenda nchi za ng’ambo sana.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 3

      Je, maishani mwako ungependa kutembelea nchi gani?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 11/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, ni nchi gani ungependa kutembea Afrika?

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

      • Tarehe: 13/04/2020
      • Majibu: 3

      ni vyema kusafiri kutoka mjini kwende mashambani kwa wazazi?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais