Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7160
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 11/04/20202020-04-11T17:22:35-03:00 2020-04-11T17:22:35-03:00kwa Afya

Ni Kweli bado dawa ya Korona halijapatikana?

Nashangaa Sana kuona vyombo za habari zikitangaza idadi ya wagonjwa wa Korona waliopona na bado wanasema dawa halijapatikana.
Je wanaopona ugonjwa wa Korona wanapewa dawa gani?
Mbona wagonjwa wote wasipewe Hilo dawa ili waweze kupona?

  • 0
  • 4
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    4 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Mzungu Lugha ndio daraja
      2020-04-12T17:33:58-03:00Alijibu tarehe 12/04/2020 saa 5:33 um
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Maradhi hiyo ni virusi. Kuna dawa zifuatazo zilizo zungumzuka sana Chanjo ya kujikinga (vaccine) - bado hakuna. Itapatikana kwa watu wengi mwaka ujao. Matibabu ya kutibu dalili - Hizo zipo lakini utafiti unaendelea ili kugundua zipi nzuri. Tiba ya kuponya haraka - Hakuna tiba ya kutoa virusi kighaflSoma zaidi

      Maradhi hiyo ni virusi. Kuna dawa zifuatazo zilizo zungumzuka sana

      1. Chanjo ya kujikinga (vaccine) – bado hakuna. Itapatikana kwa watu wengi mwaka ujao.
      2. Matibabu ya kutibu dalili – Hizo zipo lakini utafiti unaendelea ili kugundua zipi nzuri.
      3. Tiba ya kuponya haraka – Hakuna tiba ya kutoa virusi kighafla.
      4. Matibabu ya kupunguza mwendo wa virusi (ARVs) – Zipo lakini hizi zitumie mwanzoni wa ugonjwa. Kawaida watu hawana dalili mwanzoni.

      Kwa hivyo sasa dunia inaendelea nayo ile numba 2. Bado hakuna ukubali juu ya dawa gani inatibu dalili vizuri, lakini dunia yote wanafanya utafiti wao wakitoa hela nyingi kwa hivyo majibu yatafika.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
      • Jibu 1
      • Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
        2020-04-13T16:00:46-03:00Alijibu kwa tarehe 13/04/2020 saa 4:00 um

        Lakini swali lingine ni kama waafrika watapata nafasi ya kuchukua hii dawa... Maanake waafrika watakuwa mwishoni mwa foleni kwa bahati mbaya. Ama ni vipi?

        Lakini swali lingine ni kama waafrika watapata nafasi ya kuchukua hii dawa… Maanake waafrika watakuwa mwishoni mwa foleni kwa bahati mbaya. Ama ni vipi?

        Angalia kidogo
        • 0
        • Shiriki
          Shea
          • Facebook
          • Twitter
          • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-13T06:43:28-03:00Alijibu tarehe 13/04/2020 saa 6:43 mu

      waziri wa afya nchini kenya alitoa habari chanjo ya kuzuia Corona itazibduliwa baada ya miezi kumi na nane.

      waziri wa afya nchini kenya alitoa habari chanjo ya kuzuia Corona itazibduliwa baada ya miezi kumi na nane.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Luyela KIJANA SHUPAVU
      2020-04-13T10:12:20-03:00Alijibu tarehe 13/04/2020 saa 10:12 mu

      Mpaka sasa hakuna dawa iliyothibitishwa kutibu Corona, ivyo basi tunashauri kufata taratibu za kujikinga kama inavyoelezwa na vyombo vinavyoshugulika na mambo ya afya.

      Mpaka sasa hakuna dawa iliyothibitishwa kutibu Corona, ivyo basi tunashauri kufata taratibu za kujikinga kama inavyoelezwa na vyombo vinavyoshugulika na mambo ya afya.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 0

      Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi?

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais