Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7015
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 75 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
aliuliza 06/04/20202020-04-06T06:28:22-03:00 2020-04-06T06:28:22-03:00kwa Kazi

Ni aina gani ya biashara unaweza kuendeleza ya kunufaisha?

Ni aina gani ya biashara unaweza kuendeleza ya kunufaisha?

biashara
  • 0
  • 3
  • 345
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-23T09:08:21-03:00Alijibu tarehe 23/06/2020 saa 9:08 mu

      Haswa wakati huu wa corona, nitakuambia biashara ambazo utazianza na lazima zitavuma na zikuletee faida. Hizi ni kama vile: 1) Kutengeneza barakoa na kuziuza. 2) Kutengeneza sabuni na kuiuza. Hii ni kama sabuni ya maji na pia ile ya kipande. 3) Kuuza bidhaa mitandaoni. 4) Kuuza maoni ya YouTube. 5)Soma zaidi

      Haswa wakati huu wa corona, nitakuambia biashara ambazo utazianza na lazima zitavuma na zikuletee faida. Hizi ni kama vile:

      1) Kutengeneza barakoa na kuziuza.

      2) Kutengeneza sabuni na kuiuza. Hii ni kama sabuni ya maji na pia ile ya kipande.

      3) Kuuza bidhaa mitandaoni.

      4) Kuuza maoni ya YouTube.

      5) Kununua na kuuza hisa.

      Ni hayo tu kwa sasa. Ukiyazingatia utafaidika. Asante.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-06T14:23:33-03:00Alijibu tarehe 06/04/2020 saa 2:23 um

      Mimi ni mwanabihashara na huwa na wasihi watu wanataka kujiunga na bihashara kufanya bihashara inayohusisha mambo wanaopenda kuyafanya kila siku. Tafuta jinsi unaweza kutengeneza pesa kwa kufanya mambo unayopenda kufanya kila siku.

      Mimi ni mwanabihashara na huwa na wasihi watu wanataka kujiunga na bihashara kufanya bihashara inayohusisha mambo wanaopenda kuyafanya kila siku. Tafuta jinsi unaweza kutengeneza pesa kwa kufanya mambo unayopenda kufanya kila siku.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 75 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-06T06:31:38-03:00Alijibu tarehe 06/04/2020 saa 6:31 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      1. Biashara ya kimtandao. Unaweza nunua na kuuza bidha kupitia mtandao. 2. Unaweza pia kuwa mwandishi wa aina mbali mbali ya vitabu. Uandishi wa vitabu na pia kwenye mtandao kupitia kufanya utafiti. Hivi unaweza kupata mapato bora ukiwa kwako nyumbani na jamii yako.

      1. Biashara ya kimtandao. Unaweza nunua na kuuza bidha kupitia mtandao.
      2. Unaweza pia kuwa mwandishi wa aina mbali mbali ya vitabu. Uandishi wa vitabu na pia kwenye mtandao kupitia kufanya utafiti. Hivi unaweza kupata mapato bora ukiwa kwako nyumbani na jamii yako.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 08/06/2020
      • Majibu: 0

      Una maoni gani kuhusu waafrika kutafuta kazi nchi za uarabuni?

      Kumbuka wengi wanateswa na kuuliwa huko

      • Tarehe: 07/05/2020
      • Majibu: 2

      Ni kazi gani unayoweza kufanya kwenye mtandao ikuletee hela?

      Wakati huu dunia zima imeadhirika sana ugonjwa wa Korona watu wengi wameachishwa kazi. Watu wako ndani ya nyumba zao na bado wana mahitaji si haba. Kuna kazi kocho kocho ambazo zinaezafanywa kwenye mitandao. Je ni kazi gani mtu anaweza kufanya

      • Tarehe: 23/04/2020
      • Majibu: 3

      Corona imesimamisha biashara nyingi online.

      Unaonelea ni aina gani ya biashara unaeza endeleza kupitia mtandao wakati huu wa lockdown? Toa maona yako na sababu mbona.

    • Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?
      • Tarehe: 21/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?

      Nchi nyingi za Africa zinakabiliwa na hili janga la upungufu wa Ajira hasa kwa vijana wanaomaliza masomo ya vyuo vikuu. Nini maoni yako? nini kifanyike kupunguza wimbi hili kubwa la upungufu wa ajira kwa nchi nyingi za Africa.

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki. Tunategemea utalii na exports. Sekta gani zingine zitaathirika?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais