Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

Mkubwa
Mkubwa
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6753
Inashughulikiwa
Mkubwa
Mkubwa

Mkubwa

  • Dunia inaisha Mungu atabaki
  • 8 Maswali
  • 15 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 79 Pointi
Ona Wasifu
Mkubwa
aliuliza 29/03/20202020-03-29T23:02:01-03:00 2020-03-29T23:02:01-03:00kwa Afya

Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana na ugonjwa wa Corona?

Leo tunakaribia mwezi wa aprili na mimi najiuliza nchi gani itafanikiwa zaidi kupambana na Corona? Leo nilisikia Rwanda chakula kitapelekewa wananchi wao. Tanzania ilianza mapema kutoa marafuku. Nchi zingine ikoje?

Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana na ugonjwa wa Corona?
coronaeast africaugonjwa
  • 1
  • 2
  • 478
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-03T17:27:21-03:00Alijibu tarehe 03/04/2020 saa 5:27 um

      Hakuna nchi yeyote Latina Africa mashariki ambalo Lina uwezo wa kupambana na ugonjwa wa Korona. Nchi site za Afrika Mashariki bado hazijaimarika kiuchumi na kwa hivyo haziwezi pambana na janga la Korona bila usaidizi.

      Hakuna nchi yeyote Latina Africa mashariki ambalo Lina uwezo wa kupambana na ugonjwa wa Korona. Nchi site za Afrika Mashariki bado hazijaimarika kiuchumi na kwa hivyo haziwezi pambana na janga la Korona bila usaidizi.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-08-07T11:24:20-03:00Alijibu tarehe 07/08/2020 saa 11:24 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Nadhani nchi zitakazo ibuka mshindi kwa kupambana na virusi vya Corona Afrika mashariki ni Uganda na Rwanda. Hii ni sababu ya vikwazo vikali walivyoweka kuzuia maambukizi ya Corona. Pia wamesaidia wananchi wao kupata chakula na bidhaa zingine muhimu, wakati huu mgumu.  

      Nadhani nchi zitakazo ibuka mshindi kwa kupambana na virusi vya Corona Afrika mashariki ni Uganda na Rwanda.

      Hii ni sababu ya vikwazo vikali walivyoweka kuzuia maambukizi ya Corona. Pia wamesaidia wananchi wao kupata chakula na bidhaa zingine muhimu, wakati huu mgumu.

       

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki. Tunategemea utalii na exports. Sekta gani zingine zitaathirika?

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

      Kwa kipindi hiki cha Corona, hali ya biashara sehemu nyingi imekua mbaya sana kulingani na sheria mbali mbali zilizowekwa ndani ya nchi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hali ya biashara itakuaje baada ya ugonjwa huu kuisha. Biashara gani zitakazo kua na nafasi

    • Unaogopa ebola ama corona zaidi?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Majibu: 5

      Unaogopa ebola ama corona zaidi?

      Sasa dunia pote panachukua hatua kupigana na virusi. Lakini huko congo na pengine Afrika tayari tunashughulikia maradhi kama ebola. Si waafrika wa Afrique de l'est wamezoea? Masaibu ya ebola imekuwapo Beni kwa muda. Sasa Corona inabisha

    • Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 3

      Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? ...

      Tayari nimeanza kuwa na shida ya kubaki nyumbani. Nina faida ya kufanya kazi nyumbani lakini tayari magambano yanazidi na mke. Pia sijui muda gani kazi itabaki katika mazingira haya ya kutojua chochote. Naogopa kuwa uchumi utazorota muda

      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 4

      Je, mtu anaweza kupata corona kupitia ngono?

      Naona watu bado wana mahitaji yao ya kimwili, hasa katika muda huu wa kubaki nyumbani siku yote. Swali hili ni muhimu tujue namna tuendelee na usalama. Majibu ya serious tu naomba.

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?
      • Tarehe: 06/06/2020
      • Majibu: 3

      Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo ...

      Athari ya maandamano Marekani ni kubwa duniani. Naona watu wa Afrika Mashariki wana shauri za kivyake. Ni vipi?

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      Sasa kuna habari nyingi toka marekani juu ya ubaguzi dhidi weusi. Ningependa kuuliza kama mtu yeyote ana stori ya kubaguliwa Afrika Mashariki?

      • Tarehe: 28/04/2020
      • Majibu: 2

      Hawa wa GSU walitumia nguvu vibaya Likoni Mombasa wakitekeleza sheria ...

      • Tarehe: 20/04/2020
      • Majibu: 3

      Walibora, shujaa wa Kiswahili, aliuawa Kenya?

      Inaonekana Walibora aliuawa? Nini ilitokea? Mbona mtu angalitaka kumuua mtaalam kama huyo? Mbona yeye hakuokolewa?

    • Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?
      • Tarehe: 09/04/2020
      • Jibu: 1

      Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?

      Nashangaa vile viongozi kadhaa duniani wana laumu mkuu wa afya duniani Tedros Adhanon? Alifanya kazi vizuri si ndio? Yeye anawakilisha juhudi ya juu dhidi janga.

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais