Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6753
Inashughulikiwa
Mkubwa
Mkubwa
aliuliza 29/03/20202020-03-29T23:02:01-03:00 2020-03-29T23:02:01-03:00kwa Afya

Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana na ugonjwa wa Corona?

Leo tunakaribia mwezi wa aprili na mimi najiuliza nchi gani itafanikiwa zaidi kupambana na Corona? Leo nilisikia Rwanda chakula kitapelekewa wananchi wao. Tanzania ilianza mapema kutoa marafuku. Nchi zingine ikoje?

Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana na ugonjwa wa Corona?
coronaeast africaugonjwa
  • 1
  • 2
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC Naweza
      2020-04-03T17:27:21-03:00Alijibu tarehe 03/04/2020 saa 5:27 um

      Hakuna nchi yeyote Latina Africa mashariki ambalo Lina uwezo wa kupambana na ugonjwa wa Korona. Nchi site za Afrika Mashariki bado hazijaimarika kiuchumi na kwa hivyo haziwezi pambana na janga la Korona bila usaidizi.

      Hakuna nchi yeyote Latina Africa mashariki ambalo Lina uwezo wa kupambana na ugonjwa wa Korona. Nchi site za Afrika Mashariki bado hazijaimarika kiuchumi na kwa hivyo haziwezi pambana na janga la Korona bila usaidizi.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK Napenda lugha
      2020-08-07T11:24:20-03:00Alijibu tarehe 07/08/2020 saa 11:24 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Nadhani nchi zitakazo ibuka mshindi kwa kupambana na virusi vya Corona Afrika mashariki ni Uganda na Rwanda. Hii ni sababu ya vikwazo vikali walivyoweka kuzuia maambukizi ya Corona. Pia wamesaidia wananchi wao kupata chakula na bidhaa zingine muhimu, wakati huu mgumu.  

      Nadhani nchi zitakazo ibuka mshindi kwa kupambana na virusi vya Corona Afrika mashariki ni Uganda na Rwanda.

      Hii ni sababu ya vikwazo vikali walivyoweka kuzuia maambukizi ya Corona. Pia wamesaidia wananchi wao kupata chakula na bidhaa zingine muhimu, wakati huu mgumu.

       

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

    • Unaogopa ebola ama corona zaidi?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Majibu: 5

      Unaogopa ebola ama corona zaidi?

    • Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 3

      Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? ...

      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 4

      Je, mtu anaweza kupata corona kupitia ngono?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?
      • Tarehe: 06/06/2020
      • Majibu: 3

      Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo ...

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      • Tarehe: 28/04/2020
      • Majibu: 2

      Hawa wa GSU walitumia nguvu vibaya Likoni Mombasa wakitekeleza sheria ...

      • Tarehe: 20/04/2020
      • Majibu: 3

      Walibora, shujaa wa Kiswahili, aliuawa Kenya?

    • Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?
      • Tarehe: 09/04/2020
      • Jibu: 1

      Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais