Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6785
alijibu
Cloudy2
Kura
Cloudy2
aliuliza 31/03/20202020-03-31T08:03:19-03:00 2020-03-31T08:03:19-03:00kwa Kenya

Nchi gani kati ya Kenya na Tanzania itaibuka mshindi kwa upande wa uchumi kwenye miaka ya mbele?

Matokeo ya Kura

Tafadhali ingia kupiga kura na uone matokeo.

Shiriki kwenye kura ya maoni, Chagua Jibu lako.

Sasa watu wanajua Kenya iko mbele si ndio. Hata watanzania wanasema Nairobi ndio kama imeingia majuu.

Lakini hali inaweza kubadilika. Sanasana katika huu muda ambao Magafuli anashindana na wenzake vikali.

mfano ni ujanja wake wa kujipatia hiyo mkataba wa kuunganisha Rwanda SGR badala ya Kenya. Mambo kama haya, pamoja na vita yake dhidi ya ufisadi, yanaweza kubadilisha uhusiano kati Kenya na Tanzania. Maoni yako?

eackenyamagafulitanzaniauchumi
  • 2
  • 2
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Bora
      Nilote4life Naamini kwa uwezo wa utu
      2020-04-04T14:59:49-03:00Alijibu tarehe 04/04/2020 saa 2:59 um

      Tanzania. Kenya ina shida ya ukabila. Mpaka sasa Kenya imefanya vizuri ndio wapate nafasi nyingi ya kiuchumi lakini siku hizi miradi wao wa kiuchumi inazorota. Wacha tuone - baada ya miaka 10 Tanzania itapiku Kenya.

      Tanzania. Kenya ina shida ya ukabila. Mpaka sasa Kenya imefanya vizuri ndio wapate nafasi nyingi ya kiuchumi lakini siku hizi miradi wao wa kiuchumi inazorota. Wacha tuone – baada ya miaka 10 Tanzania itapiku Kenya.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
      • Jibu 1
      • Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
        2020-04-09T08:56:57-03:00Alijibu kwa tarehe 09/04/2020 saa 8:56 mu

        Wakenya wana ujanja... Unakumbuka ile siku airport yao ilichoma? Wiki baadaye washajenga airport ingine. Sasa uchumi haufanyi vizuri lakini iwapo njia wakenya wataipata.

        Wakenya wana ujanja… Unakumbuka ile siku airport yao ilichoma? Wiki baadaye washajenga airport ingine. Sasa uchumi haufanyi vizuri lakini iwapo njia wakenya wataipata.

        Angalia kidogo
        • 0
        • Shiriki
          Shea
          • Facebook
          • Twitter
          • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

    • Hongera kwa tovuti. Mimi nauliza – Kiswahili ni lugha rasmi katika nchi ngapi?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Jibu: 1

      Hongera kwa tovuti. Mimi nauliza - Kiswahili ni lugha rasmi ...

      • Tarehe: 29/03/2020
      • Majibu: 5

      Rayvanny anaunga mkono na serikali ya Tanzania katika ngoma yake ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Ndii hii ni zulia?
      • Tarehe: 12/09/2021
      • Jibu: 1

      Ndii hii ni zulia?

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

    • Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?
      • Tarehe: 05/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais