Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7681
Inashughulikiwa
Luyela
Luyela
aliuliza 23/04/20202020-04-23T15:28:36-03:00 2020-04-23T15:28:36-03:00kwa Michezo

Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?

Katika miaka ya mwanzoni wa mwaka 2000 hadi kufika mwaka 2006 kulitokea viumbe wawili mafundi sana wa mpira, nao ni Ronaldinho Gaucho na Zinedine Zidane. Je kwa mtazamo wako, nani alikua mkali zaidi ya mwingine?

Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?
  • 1
  • 4
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    4 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC Naweza
      2020-04-23T16:57:33-03:00Alijibu tarehe 23/04/2020 saa 4:57 um

      Ronaldinho na Zinedine walikuwa wachezaji wakali Sana kwa kipindi cha miaka sita 2000-2006. Shabiki wote wa soka walibishana Sana kuhusu wachezaji hawa wawili. Nani kweli alikuwa mnoma? Mashujaa hawa walikuwa hodari Sana kwa kucheza soka, wote walikuwa Bora na mchezo wao ulipendeza Sana. Kwa maoni ySoma zaidi

      Ronaldinho na Zinedine walikuwa wachezaji wakali Sana kwa kipindi cha miaka sita 2000-2006.

      Shabiki wote wa soka walibishana Sana kuhusu wachezaji hawa wawili. Nani kweli alikuwa mnoma?

      Mashujaa hawa walikuwa hodari Sana kwa kucheza soka, wote walikuwa Bora na mchezo wao ulipendeza Sana.

      Kwa maoni yangu Zinedine alikuwa hodari lakini Ronaldinho alikuwa hodari zaidi.

      Asante Sana.

      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-24T16:46:05-03:00Alijibu tarehe 24/04/2020 saa 4:46 um

      Naonelea Zinedine Zidane ndiye mchezaji wa kandanda alibobea sana wakati huo. Mchezaji huyu alichkua tuzo zaidi katika kandanda na kupata umaarufu duniani. Huu ndio mtazamo wangu ila mi sio shabiki sugu wa kandanda.

      Naonelea Zinedine Zidane ndiye mchezaji wa kandanda alibobea sana wakati huo. Mchezaji huyu alichkua tuzo zaidi katika kandanda na kupata umaarufu duniani. Huu ndio mtazamo wangu ila mi sio shabiki sugu wa kandanda.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. MamaYako Sio mama mboga
      2020-04-25T05:19:00-03:00Alijibu tarehe 25/04/2020 saa 5:19 mu

      ❤️ Ronaldhino Gauchane ❤️

      ❤️ Ronaldhino Gauchane ❤️

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-19T11:04:42-03:00Alijibu tarehe 19/06/2020 saa 11:04 mu

      Mimi nitakwenda na Ronaldhino kwani huyo Zinedine hata simjui.

      Mimi nitakwenda na Ronaldhino kwani huyo Zinedine hata simjui.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Jibu: 1

      Sehemu gani naweza pata matokeo na ratiba za soka?

      • Tarehe: 13/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, kati ya Cristiano Ronaldo na Messi nani ndo mchezaji ...

      • Tarehe: 14/05/2020
      • Majibu: 2

      Ni Mechi gani ungependa kutizani pindi Korona ikwishapo?

      • Tarehe: 16/04/2020
      • Majibu: 2

      Je ni sahihi kwa Liverpool kua mabingwa?

      • Tarehe: 13/04/2020
      • Majibu: 2

      Una hamu ya kuona mechi gani?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?
      • Tarehe: 21/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?

      • Tarehe: 16/04/2020
      • Majibu: 2

      Je ni sahihi kwa Liverpool kua mabingwa?

      • Tarehe: 13/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike ili kujikinga na maambukizi mapya

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais