Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7479
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 18/04/20202020-04-18T16:10:38-03:00 2020-04-18T16:10:38-03:00

Masomo ya nyumbani yanafaa?

Shule katika bara la Afrika zimefugwa kutokana na ugonjwa wa Korona.
Kuna njia imbuka za kusomesha wanafunzi kutoka nyumbani kupitia vyombo za habari na mitandao ya kisasa.
Kwa kawaida sehemu mingi Afrika zinakubwa na umasikini si haba.
Asilimia kubwa ni wasioweza kupata vyombo msingi za kuwawezesha kupata masomo haya.
Je, masomo haya yanasaidia kweli?

  • 2
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Nilote4life Naamini kwa uwezo wa utu
      2020-04-19T09:33:29-03:00Alijibu tarehe 19/04/2020 saa 9:33 mu

      Afadhali vyombo vya habari ama redio ama mitandao kuliko bila si ndio?  Naona kujifunza kwingi kinatokea kwa kutumia mbinu ulizotaja... Lakini kwa upande wa kijamii watoto wanazorota ubongo 😅

      Afadhali vyombo vya habari ama redio ama mitandao kuliko bila si ndio?  Naona kujifunza kwingi kinatokea kwa kutumia mbinu ulizotaja… Lakini kwa upande wa kijamii watoto wanazorota ubongo 😅

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-20T13:38:16-03:00Alijibu tarehe 20/04/2020 saa 1:38 um

      Masomo ya nyumbani ni bora sana iwapo kila mwananchi ataweza kuifikia kwa urahisi. Lakini swali ambalo kila mmoja anafaa kujibu hasa waziri mkuu wa elemu ni iwapo kila mwanafuzi nchini Kenya wanavyombo kwa kuwawezesha kutumia tuvuti katika masomo. Ila sehemu nyingi bado wakenya wamekumbwa na umaskinSoma zaidi

      Masomo ya nyumbani ni bora sana iwapo kila mwananchi ataweza kuifikia kwa urahisi. Lakini swali ambalo kila mmoja anafaa kujibu hasa waziri mkuu wa elemu ni iwapo kila mwanafuzi nchini Kenya wanavyombo kwa kuwawezesha kutumia tuvuti katika masomo. Ila sehemu nyingi bado wakenya wamekumbwa na umaskini inakua ngumu kuweza kununua vyombo hivi vya kutumia na inteneti. Serikali ikisaidia wananchi wapate vyombo hivi bure, basi mfumo huo wa kusomea kupitia tuvuti itakua ya manufaa zaidi kwa wizara ya elimu nchini Kenya.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-15T04:37:54-03:00Alijibu tarehe 15/06/2020 saa 4:37 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Inafaa waafrika waache kulia lia kila wakati na waanze kukumbatia njia mpya za kufanya mambo. Kwa mfano, kusoma kupitia mitandao. Tusipofanya hivyo tutakuwa nyuma kwa maendeleo daima.

      Inafaa waafrika waache kulia lia kila wakati na waanze kukumbatia njia mpya za kufanya mambo. Kwa mfano, kusoma kupitia mitandao. Tusipofanya hivyo tutakuwa nyuma kwa maendeleo daima.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais