Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7641
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 75 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
aliuliza 22/04/20202020-04-22T11:59:38-03:00 2020-04-22T11:59:38-03:00kwa Mahusiano

Mambo gani yanayo weza kusababisha mtu awe na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa yake?

Hivi majuzi kumekuwa na visa vingi vya watu kupatina na bibi ai bwana ya watu. Je, ni baadhi ya mambo yapi ambayo unaolea inaweza changia mtu kuwa na mpango wa kando?

  • 1
  • 5
  • 466
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    5 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-22T13:32:12-03:00Alijibu tarehe 22/04/2020 saa 1:32 um

      Ndoa zimekuwa na changamoto mingi sana. Walio kwenye ndoa wanatamani kutoka ila wenye hawajaoa wanatamani kugunga ndoa. Mojawapo wa changamoto hizi ni wapezi kutoaminiana na pia kusaliti ndo kwa kwenda nje ya ndoa. Tendo hili linaweza Sababishwa na sababu zifuatazo; 1. Mpezi kutotosheleza mpeziye kiSoma zaidi

      Ndoa zimekuwa na changamoto mingi sana. Walio kwenye ndoa wanatamani kutoka ila wenye hawajaoa wanatamani kugunga ndoa.

      Mojawapo wa changamoto hizi ni wapezi kutoaminiana na pia kusaliti ndo kwa kwenda nje ya ndoa.

      Tendo hili linaweza Sababishwa na sababu zifuatazo;

      1. Mpezi kutotosheleza mpeziye kingono- kama mpezi amtoshelezi mweziye kingono, mweziye anaweza tafuta atakaye mtosheleza.

      2. Wapezi kutoheshimiana- Iwapo mmeoana na hamheshimiani inawezekana mmoja wenyu atoke nje ya ndoa atakapoheshimiwa.

      3. Tabia mpezio kuanya- iwapo mpezio ni mhanyaji unaweza amua kuanya pia ili kulipisha.

      4. Hali ya umasikini- kama mmekubwa na umasikini unaweza shirikiana na mtu atakaye kupea pesa.

      5. Ulevi- walevi chakari ni nadra kupata wakati wa mapezi na pia unaweza jipata umeshiriki mapenzi nje ya ndoa kutokana na ulevi wako.

       

      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-07-01T01:36:36-03:00Alijibu tarehe 01/07/2020 saa 1:36 mu

      Tamaa tu ndo inayofanya watu kutoka nje ya ndoa zao na hasa wanaume na kutomjali mpenzi wako. Baadhi ya wanawake nao hutoka nje ya ndoa kulipiza kisasi na kwa ajili ya kusikia wametengana kihisia na mumewe.

      Tamaa tu ndo inayofanya watu kutoka nje ya ndoa zao na hasa wanaume na kutomjali mpenzi wako. Baadhi ya wanawake nao hutoka nje ya ndoa kulipiza kisasi na kwa ajili ya kusikia wametengana kihisia na mumewe.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Luyela

      Luyela

      • KIJANA SHUPAVU
      • 5 Maswali
      • 7 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 67 Pointi
      Ona Wasifu
      Luyela KIJANA SHUPAVU
      2020-04-23T15:01:35-03:00Alijibu tarehe 23/04/2020 saa 3:01 um

      Ni tamaa tu na kuto mthamini mpenzi wako, hakuna kingine.

      Ni tamaa tu na kuto mthamini mpenzi wako, hakuna kingine.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. Cloudy2

      Cloudy2

      • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      • 8 Maswali
      • 30 Majibu
      • 3 Majibu Bora
      • 97 Pointi
      Ona Wasifu
      Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-23T01:33:19-03:00Alijibu tarehe 23/04/2020 saa 1:33 mu

      Sisi ni wanyama kwa asili zetu.  Kila mtu ana nia ya kingono.  Mambo haya yatakuwepo daima lakini tofauti kubwa kati waliodanganya na waliobaki ni uhusiano wa kihisia.  Hakuna mtu ambaye anaweza kutosheka kupitia mahitaji ya mwili.  Tuangazie mahitaji ya hisia.  Hiyo ndio asili ya uhusiano mzuri.  KSoma zaidi

      Sisi ni wanyama kwa asili zetu.  Kila mtu ana nia ya kingono.  Mambo haya yatakuwepo daima lakini tofauti kubwa kati waliodanganya na waliobaki ni uhusiano wa kihisia.  Hakuna mtu ambaye anaweza kutosheka kupitia mahitaji ya mwili.  Tuangazie mahitaji ya hisia.  Hiyo ndio asili ya uhusiano mzuri.  Kwa hivyo haya ni jibu kwa swali lako:

      Inayosababisha watu wawe na mahusiano nje ya ndoa ni muda mrefu wa kutengana kihisia kati watu wawili.  Kuna sababu zingine lakini naona ni hiyo hasa kwa visa vyingi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    5. Upendo

      Upendo

      • Upendo ni jina na imani wangu
      • 3 Maswali
      • 11 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 49 Pointi
      Ona Wasifu
      Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-22T20:16:51-03:00Alijibu tarehe 22/04/2020 saa 8:16 um

      Kutojali utu wa mtu mwengine

      Kutojali utu wa mtu mwengine

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mtu wa kabila gani huwezi kuolewa naye na ...

      Hili swali ni la Wakenya pekee

      • Tarehe: 12/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, unaweza kuoa au kuolewa na mtu ambaye si wa ...

      Kwa mfano, iwapo wewe ni mkristu, unaweza oa au olewa na muislamu ama mhindi? Vile vile, iwapo wewe ni muislamu unaweza kubali kuoa au kuolewa na mhindi ama mkristu?

      • Tarehe: 05/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, nijuaje kama mwanamume ni mtu mkweli katika uhusiano?

      Wanaume wanadanganya sana katika uhusiano kuliko wanawake. Tabia gani mwanzoni zinaashiria mtu ni mbaya ama mdanganyifu?

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      Sasa kuna habari nyingi toka marekani juu ya ubaguzi dhidi weusi. Ningependa kuuliza kama mtu yeyote ana stori ya kubaguliwa Afrika Mashariki?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais