Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JilogishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya rununu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Admin alijibu swali lako.15/01/2021 saa 3:23 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.14/01/2021 saa 6:17 um
      • Cloudy2 alipiga kura kwa swali lako.13/01/2021 saa 12:42 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.12/01/2021 saa 11:50 um
      • Cloudy2 alifuata swali lako. ( lishafutwa )12/01/2021 saa 9:23 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7641
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 70 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
Asked: 22/04/20202020-04-22T11:59:38-03:00 2020-04-22T11:59:38-03:00 Mahusiano

Mambo gani yanayo weza kusababisha mtu awe na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa yake?

Hivi majuzi kumekuwa na visa vingi vya watu kupatina na bibi ai bwana ya watu. Je, ni baadhi ya mambo yapi ambayo unaolea inaweza changia mtu kuwa na mpango wa kando?

  • 1
  • 5
  • 466
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    5 Majibu

    • Imepigiwa kura
    • Majibu Mapya
    • Kongwe zaidi
    1. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-22T13:32:12-03:00 22/04/2020 saa 1:32 um

      Ndoa zimekuwa na changamoto mingi sana. Walio kwenye ndoa wanatamani kutoka ila wenye hawajaoa wanatamani kugunga ndoa. Mojawapo wa changamoto hizi ni wapezi kutoaminiana na pia kusaliti ndo kwa kwenda nje ya ndoa. Tendo hili linaweza Sababishwa na sababu zifuatazo; 1. Mpezi kutotosheleza mpeziye kiSoma Zaidi

      Ndoa zimekuwa na changamoto mingi sana. Walio kwenye ndoa wanatamani kutoka ila wenye hawajaoa wanatamani kugunga ndoa.

      Mojawapo wa changamoto hizi ni wapezi kutoaminiana na pia kusaliti ndo kwa kwenda nje ya ndoa.

      Tendo hili linaweza Sababishwa na sababu zifuatazo;

      1. Mpezi kutotosheleza mpeziye kingono- kama mpezi amtoshelezi mweziye kingono, mweziye anaweza tafuta atakaye mtosheleza.

      2. Wapezi kutoheshimiana- Iwapo mmeoana na hamheshimiani inawezekana mmoja wenyu atoke nje ya ndoa atakapoheshimiwa.

      3. Tabia mpezio kuanya- iwapo mpezio ni mhanyaji unaweza amua kuanya pia ili kulipisha.

      4. Hali ya umasikini- kama mmekubwa na umasikini unaweza shirikiana na mtu atakaye kupea pesa.

      5. Ulevi- walevi chakari ni nadra kupata wakati wa mapezi na pia unaweza jipata umeshiriki mapenzi nje ya ndoa kutokana na ulevi wako.

       

      See less
      • 2
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 117 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-07-01T01:36:36-03:00 01/07/2020 saa 1:36 mu

      Tamaa tu ndo inayofanya watu kutoka nje ya ndoa zao na hasa wanaume na kutomjali mpenzi wako. Baadhi ya wanawake nao hutoka nje ya ndoa kulipiza kisasi na kwa ajili ya kusikia wametengana kihisia na mumewe.

      Tamaa tu ndo inayofanya watu kutoka nje ya ndoa zao na hasa wanaume na kutomjali mpenzi wako. Baadhi ya wanawake nao hutoka nje ya ndoa kulipiza kisasi na kwa ajili ya kusikia wametengana kihisia na mumewe.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Luyela

      Luyela

      • KIJANA SHUPAVU
      • 5 Maswali
      • 7 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 67 Pointi
      Ona Wasifu
      Luyela KIJANA SHUPAVU
      2020-04-23T15:01:35-03:00 23/04/2020 saa 3:01 um

      Ni tamaa tu na kuto mthamini mpenzi wako, hakuna kingine.

      Ni tamaa tu na kuto mthamini mpenzi wako, hakuna kingine.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. Cloudy2

      Cloudy2

      • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      • 8 Maswali
      • 29 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 92 Pointi
      Ona Wasifu
      Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-23T01:33:19-03:00 23/04/2020 saa 1:33 mu

      Sisi ni wanyama kwa asili zetu.  Kila mtu ana nia ya kingono.  Mambo haya yatakuwepo daima lakini tofauti kubwa kati waliodanganya na waliobaki ni uhusiano wa kihisia.  Hakuna mtu ambaye anaweza kutosheka kupitia mahitaji ya mwili.  Tuangazie mahitaji ya hisia.  Hiyo ndio asili ya uhusiano mzuri.  KSoma Zaidi

      Sisi ni wanyama kwa asili zetu.  Kila mtu ana nia ya kingono.  Mambo haya yatakuwepo daima lakini tofauti kubwa kati waliodanganya na waliobaki ni uhusiano wa kihisia.  Hakuna mtu ambaye anaweza kutosheka kupitia mahitaji ya mwili.  Tuangazie mahitaji ya hisia.  Hiyo ndio asili ya uhusiano mzuri.  Kwa hivyo haya ni jibu kwa swali lako:

      Inayosababisha watu wawe na mahusiano nje ya ndoa ni muda mrefu wa kutengana kihisia kati watu wawili.  Kuna sababu zingine lakini naona ni hiyo hasa kwa visa vyingi.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    5. Upendo

      Upendo

      • Upendo ni jina na imani wangu
      • 3 Maswali
      • 11 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 49 Pointi
      Ona Wasifu
      Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-22T20:16:51-03:00 22/04/2020 saa 8:16 um

      Kutojali utu wa mtu mwengine

      Kutojali utu wa mtu mwengine

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    You must login to add an answer.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mtu wa kabila gani huwezi kuolewa naye na ...

      Hili swali ni la Wakenya pekee

      • Tarehe: 12/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, unaweza kuoa au kuolewa na mtu ambaye si wa ...

      Kwa mfano, iwapo wewe ni mkristu, unaweza oa au olewa na muislamu ama mhindi? Vile vile, iwapo wewe ni muislamu unaweza kubali kuoa au kuolewa na mhindi ama mkristu?

      • Tarehe: 05/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, nijuaje kama mwanamume ni mtu mkweli katika uhusiano?

      Wanaume wanadanganya sana katika uhusiano kuliko wanawake. Tabia gani mwanzoni zinaashiria mtu ni mbaya ama mdanganyifu?

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      Sasa kuna habari nyingi toka marekani juu ya ubaguzi dhidi weusi. Ningependa kuuliza kama mtu yeyote ana stori ya kubaguliwa Afrika Mashariki?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais