Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7042
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 07/04/20202020-04-07T14:26:58-03:00 2020-04-07T14:26:58-03:00kwa Afya

Kuzuiwa kutembea na serikali inapaswa kuhalilishwa hapa nchini Kenya?

Kuzuiwa kutembea na serikali itasaidia kuzuia uenezi wa virusi vya Corona?

lockdown nchini kenya.
  • 0
  • 5
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    5 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK Napenda lugha
      2020-08-07T11:13:12-03:00Alijibu tarehe 07/08/2020 saa 11:13 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Kuzuiwa kutembea huru nchini ilifaa zaidi. Ukiangalia sasa hivi maambukizi na vifo vya Corona vimekuwa vingi zaidi vile watu wamekubaliwa tena kutembea huru. Wakati kulikuwa na vizuizi vya kutembea, maambukizi ya Corona na ata vifo havikuwa vingi sana kama sasa hivi.

      Kuzuiwa kutembea huru nchini ilifaa zaidi. Ukiangalia sasa hivi maambukizi na vifo vya Corona vimekuwa vingi zaidi vile watu wamekubaliwa tena kutembea huru.

      Wakati kulikuwa na vizuizi vya kutembea, maambukizi ya Corona na ata vifo havikuwa vingi sana kama sasa hivi.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-07T14:30:10-03:00Alijibu tarehe 07/04/2020 saa 2:30 um

      1. Ni wazi jinsi virusi vya Corona vimeathiri nchi zingine kama vile China na Amerika. Hivyo ni vyema serikali kuihalalisha kuzuiwa kwa wananchi kutembea huru nchini. 2. Hii inaweza kuwa njia mojawapo bora ya kuzuia Corona. Watu wanapo katazwa kutokea makwao hii inaweza kupunguza kusambaa kwa virusiSoma zaidi

      1. Ni wazi jinsi virusi vya Corona vimeathiri nchi zingine kama vile China na Amerika. Hivyo ni vyema serikali kuihalalisha kuzuiwa kwa wananchi kutembea huru nchini.

      2. Hii inaweza kuwa njia mojawapo bora ya kuzuia Corona. Watu wanapo katazwa kutokea makwao hii inaweza kupunguza kusambaa kwa virusi vya Corona.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
      • Jibu 1
      • Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
        2020-04-08T03:09:56-03:00Alijibu kwa tarehe 08/04/2020 saa 3:09 mu

        China ina uwezo wa kufanya haya yote. Sioni suluhisho hiyo inafaa Afrika. Labda uko na haki. Tofauti kubwa ni vile waafrika wengi wanategemea kazi wao wa kila siku za jua kali.

        China ina uwezo wa kufanya haya yote. Sioni suluhisho hiyo inafaa Afrika. Labda uko na haki. Tofauti kubwa ni vile waafrika wengi wanategemea kazi wao wa kila siku za jua kali.

        Angalia kidogo
        • 0
        • Shiriki
          Shea
          • Facebook
          • Twitter
          • WhatsApp
    3. Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-08T03:16:35-03:00Alijibu tarehe 08/04/2020 saa 3:16 mu

      Itasaidia - lakini swali muhimu ni kwa gharama gani tunataka kupunguza ukasi wa virusi. Bado sina hakika zote hizo zinafaa kabisa. Lakini bora tuwe na umakini kukabili janga la dharura kama hili. Inabidi tukumbuke wale wanaoweza kukwama na njaa.

      Itasaidia – lakini swali muhimu ni kwa gharama gani tunataka kupunguza ukasi wa virusi. Bado sina hakika zote hizo zinafaa kabisa. Lakini bora tuwe na umakini kukabili janga la dharura kama hili. Inabidi tukumbuke wale wanaoweza kukwama na njaa.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. ERIC Naweza
      2020-04-08T10:56:45-03:00Alijibu tarehe 08/04/2020 saa 10:56 mu

      Raia wa Kenya wanafaa kuzuiwa kutembea iwapo inchi itawapa raia chakula. Kuwaambia raia wakae kwa nyumba bila kuwapa chakula, haifai kamwe.

      Raia wa Kenya wanafaa kuzuiwa kutembea iwapo inchi itawapa raia chakula. Kuwaambia raia wakae kwa nyumba bila kuwapa chakula, haifai kamwe.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 0

      Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi?

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais