Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Admin alifuata swali lako.19/01/2021 saa 12:08 mu
      • Admin alipigia kura swali lako19/01/2021 saa 12:07 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.19/01/2021 saa 12:07 mu
      • MamaYako alipiga kura kwa swali lako.18/01/2021 saa 11:59 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7852
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 70 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
Uliulizwa: 03/05/20202020-05-03T07:18:43-03:00 2020-05-03T07:18:43-03:00Katika: Mahusiano

Kuoa bibi zaidi ya mmoja ni bora ama ni makosa?

Je, ni vyema kuoa bibi zaidi ya mmoja? toa maoni yako

  • 2
  • 3
  • 431
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    Majibu3

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. Cloudy2

      Cloudy2

      • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      • 8 Maswali
      • 30 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 92 Pointi
      Ona Wasifu
      Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-05-03T23:11:07-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Mimi naona hana matatizo kama inasaidia.  Watu wawe na haki ya kufanya wanavyotaka.  Katika mila za Afrika na nchi nyingi zingine duniani kuna uwezo wa kuoa wake kadhaa (wakati mwingine yapo majamii yaliokubali wanawake waolewe mume kadhaa). Tuendelee kwa namna taratibu kuelekea hali ambapo siku mojSoma zaidi

      Mimi naona hana matatizo kama inasaidia.  Watu wawe na haki ya kufanya wanavyotaka.  Katika mila za Afrika na nchi nyingi zingine duniani kuna uwezo wa kuoa wake kadhaa (wakati mwingine yapo majamii yaliokubali wanawake waolewe mume kadhaa).

      Tuendelee kwa namna taratibu kuelekea hali ambapo siku moja kila mtu atakuwa na mtu moja pekee siku za usoni.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 118 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-12T09:56:13-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Ukitaka kumuoa bibi ya pili. Mpe talaka yule wa kwanza. Haina haja kuoa wake wawili

      Ukitaka kumuoa bibi ya pili. Mpe talaka yule wa kwanza. Haina haja kuoa wake wawili

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Mkubwa

      Mkubwa

      • Dunia inaisha Mungu atabaki
      • 8 Maswali
      • 15 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 74 Pointi
      Ona Wasifu
      Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
      2020-05-09T14:53:04-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      kosa - mungu alitaka tuwe na mtu moja ndio hatuwezi kupenda zaidi ya watu mmoja.  Lakini neema yake anafahamu haja ya kuoa zaidi ya mara moja.  Tukiwa na machaguo basi bora mtu moja.

      kosa – mungu alitaka tuwe na mtu moja ndio hatuwezi kupenda zaidi ya watu mmoja.  Lakini neema yake anafahamu haja ya kuoa zaidi ya mara moja.  Tukiwa na machaguo basi bora mtu moja.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mtu wa kabila gani huwezi kuolewa naye na ...

      Hili swali ni la Wakenya pekee

      • Tarehe: 12/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, unaweza kuoa au kuolewa na mtu ambaye si wa ...

      Kwa mfano, iwapo wewe ni mkristu, unaweza oa au olewa na muislamu ama mhindi? Vile vile, iwapo wewe ni muislamu unaweza kubali kuoa au kuolewa na mhindi ama mkristu?

      • Tarehe: 05/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, nijuaje kama mwanamume ni mtu mkweli katika uhusiano?

      Wanaume wanadanganya sana katika uhusiano kuliko wanawake. Tabia gani mwanzoni zinaashiria mtu ni mbaya ama mdanganyifu?

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      Sasa kuna habari nyingi toka marekani juu ya ubaguzi dhidi weusi. Ningependa kuuliza kama mtu yeyote ana stori ya kubaguliwa Afrika Mashariki?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais