Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6884
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 03/04/20202020-04-03T17:31:52-03:00 2020-04-03T17:31:52-03:00kwa Afya

Korona kweli ni ugonjwa wa kawaida?

Nimesikia fununu eti Korona si ugonjwa wa kawaida ila umetegenezewa kwa labu ya nchi moja duniani? Kwa maoni yako Korona ni ugonjwa wa kawaida kweli?

  • 1
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-03T20:14:17-03:00Alijibu tarehe 03/04/2020 saa 8:14 um
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Ugonjwa sio kawaida kwa namna ilivyo hatari kuliko maradhi mengine. Ingawa inabidi kutaja kwamba wengi walitarajia maradhi moja kama hizo ziliweza kuibuka duniani. Watalaam walisema hayo zamani akiwemo Bill Gates. Wengine wanashangaa eti hii ni ya nchi fulani? Labda. Lakini naona hakuna la msingi saSoma zaidi

      Ugonjwa sio kawaida kwa namna ilivyo hatari kuliko maradhi mengine. Ingawa inabidi kutaja kwamba wengi walitarajia maradhi moja kama hizo ziliweza kuibuka duniani. Watalaam walisema hayo zamani akiwemo Bill Gates.
      Wengine wanashangaa eti hii ni ya nchi fulani? Labda. Lakini naona hakuna la msingi sana kwa fikra hizo. Ni ngumu kujua ukweli bila shaka, hasa juu ya fununu nyingi zinazoendesha na nchi zinazokabiliana sana kama China na Marekani. Ndio hizo nchi mbili zinalaumiana.
      Kitu kimoja ni wazi – nchi za Afrika hazikujihusisha jambo hili la Corona.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Nilote4life Naamini kwa uwezo wa utu
      2020-04-04T15:16:26-03:00Alijibu tarehe 04/04/2020 saa 3:16 um

      Sio ya kawaida lakini pia sio ya labu

      Sio ya kawaida lakini pia sio ya labu

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-13T08:40:59-03:00Alijibu tarehe 13/06/2020 saa 8:40 mu

      Virusi vingi havikuangi vya kawaida. Naamini Corona ilitengenezwa mahabarani japo hawakutarajia madhara yake yatakuwa makubwa hivi. Hii imedhibitishwa na jinsi uchina hawajakuwa wakweli na hili swala zima la Corona. Aliyetengeneza gonjwa hili anafaa atafutwe na achukuliwe hatua kali za kisheria

      Virusi vingi havikuangi vya kawaida. Naamini Corona ilitengenezwa mahabarani japo hawakutarajia madhara yake yatakuwa makubwa hivi. Hii imedhibitishwa na jinsi uchina hawajakuwa wakweli na hili swala zima la Corona. Aliyetengeneza gonjwa hili anafaa atafutwe na achukuliwe hatua kali za kisheria

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 0

      Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi?

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais