Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

MamaYako
MamaYako
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Admin alifuata swali lako.19/01/2021 saa 12:08 mu
      • Admin alipigia kura swali lako19/01/2021 saa 12:07 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.19/01/2021 saa 12:07 mu
      • MamaYako alipiga kura kwa swali lako.18/01/2021 saa 11:59 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6819
Inashughulikiwa
MamaYako
MamaYako

MamaYako

  • Sio mama mboga
  • 4 Maswali
  • 17 Majibu
  • 2 Majibu Bora
  • 76 Pointi
Ona Wasifu
MamaYako
Uliulizwa: 02/04/20202020-04-02T02:26:38-03:00 2020-04-02T02:26:38-03:00Katika: Afya

Kanisa ina jukumu gani wakati huo gumu wa kutokea janga la Corona?

Inaonekana watu wana mafeelings mbalimbali kwa kanisa siku hizi. Serikali inasema tusiwe na mikusanyiko ya watu ikiwemo kanisa. Lakini ni muhimu sana watu wawe pamoja na mungu wakati wa changamoto. Watu wanawezaje kuwa mja mungu wakiomba wakati huo? Viongozi wana jukumu gani? Mungu atusaidie!

Kanisa ina jukumu gani wakati huo gumu wa kutokea janga la Corona?
jangakanisakuombamungu
  • 2
  • 2
  • 378
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    Majibu2

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. Mzungu

      Mzungu

      • Lugha ndio daraja
      • 1 Swali
      • 9 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 43 Pointi
      Ona Wasifu
      Mzungu Lugha ndio daraja
      2020-04-05T16:41:16-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Wajibu ya kanisa wakati huo ni ya kutoa sapoti ya kiroho. Saa zote tuna mahitaji hayo hasa muda hii ya Corona

      Wajibu ya kanisa wakati huo ni ya kutoa sapoti ya kiroho. Saa zote tuna mahitaji hayo hasa muda hii ya Corona

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-02T11:32:00-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Jinsi nijuavyo kanisa ni roho ila si jengo. So iwapo utamuomba na kumuamini mungu uwe kanisani au nyumbani, mungu atasikia na kuyajibu maombi yako.

      Jinsi nijuavyo kanisa ni roho ila si jengo. So iwapo utamuomba na kumuamini mungu uwe kanisani au nyumbani, mungu atasikia na kuyajibu maombi yako.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?
      • Tarehe: 31/03/2020
      • Majibu: 2

      Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?

      Sasa inaonekana hata Burundi iko na visa vya maambukizi ya corona. Ndio walikuwa wanasema labda neema ya mungu ililinda nchi yake. Hongera kwake kwa kuepusha corona mpaka sasa. Nchi ya burundi iko kwa hali maskini zaidi ya

    • Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 3

      Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? ...

      Tayari nimeanza kuwa na shida ya kubaki nyumbani. Nina faida ya kufanya kazi nyumbani lakini tayari magambano yanazidi na mke. Pia sijui muda gani kazi itabaki katika mazingira haya ya kutojua chochote. Naogopa kuwa uchumi utazorota muda

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 27/12/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni wanasiasa wa Tanzania wangapi walidai Asylum baada ya ...

      • Tarehe: 30/04/2020
      • Majibu: 3

      Unasemaje "habari yako" kwa kifaransa?

      Watu wanasalimu namna gani kwa kifaransa nchini Kongo? Nauliza namna ilio kawaida kati marafiki na sio ile sahihi sana.

    • Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?
      • Tarehe: 31/03/2020
      • Majibu: 2

      Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?

      Sasa inaonekana hata Burundi iko na visa vya maambukizi ya corona. Ndio walikuwa wanasema labda neema ya mungu ililinda nchi yake. Hongera kwake kwa kuepusha corona mpaka sasa. Nchi ya burundi iko kwa hali maskini zaidi ya

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais