Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka

Muda wa kushinda umekwisha
Bado unaweza kutoa jibu!

Nishindaje?
Nyumbani / Maswali / Swali 8007
alijibu
Joylee
Joylee
aliuliza 28/05/20202020-05-28T05:58:52-03:00 2020-05-28T05:58:52-03:00kwa Mahusiano, Matuzo

Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda ambalo inachangia katika kutokea kwa visa kama hivi?

  • 0
  • 2
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Zamani
    • Mapya
    1. Oracle Mwanajamii
      2020-05-29T03:49:37-03:00Alijibu tarehe 29/05/2020 saa 3:49 mu

      Si kila mwanaume amelegea, ni baadhi tu. Na kwa kadiri idadi ya watu inavyoongezeka uwiano wa wanaume wanaolegea pia huongezeka. Vile vile, jambo hili linaweza kuwa ni tatizo la muda mfupi kutokana na msongo wa mawazo au sababu nyingine zinazoweza kupatiwa matibabu hospitalini au tatizo kupotea lenySoma zaidi

      Si kila mwanaume amelegea, ni baadhi tu. Na kwa kadiri idadi ya watu inavyoongezeka uwiano wa wanaume wanaolegea pia huongezeka. Vile vile, jambo hili linaweza kuwa ni tatizo la muda mfupi kutokana na msongo wa mawazo au sababu nyingine zinazoweza kupatiwa matibabu hospitalini au tatizo kupotea lenyewe bila ya matibabu. Ni muhimu kuepuka kufanya mahitimisho ya jumla – SI WANAUME WOTE WALIOLEGEA, NI WACHACHE TU!

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Bora
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-08T02:10:17-03:00Alijibu tarehe 08/06/2020 saa 2:10 mu

      Ndio. Wanaume wa kisasa wamelegea kwa majukumu. Wengi wao wanataka wasaidiwe na wanawake wao ama ata walishwe na hao hao wanawake wao. Na ilihali wanajidai eti wao ndio kichwa cha familia. Nini itadhihirisha kuwa wao ni vichwa ilihali ni wanaume kama mabinti?

      Ndio. Wanaume wa kisasa wamelegea kwa majukumu. Wengi wao wanataka wasaidiwe na wanawake wao ama ata walishwe na hao hao wanawake wao. Na ilihali wanajidai eti wao ndio kichwa cha familia. Nini itadhihirisha kuwa wao ni vichwa ilihali ni wanaume kama mabinti?

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 22/11/2020
      • Jibu: 1

      Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za Watanzania katika ...

      • Tarehe: 19/06/2020
      • Jibu: 1

      BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 0

      Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 2

      Je, unapenda muziki wa aina gani?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 3

      Je, maishani mwako ungependa kutembelea nchi gani?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, Rais Magufuli anafaa kuiga mfano wa rais Uhuru wa ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais