Je, kwa nini twasema “kusini mwa” ama “kaskazini mwa” ilhali hatuongei kuhusu undani wa kitu kama vile chumbani mwa ama tumbona mwa na kadhalika?
Shea
Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.
Tamko mwa si kimiliki lakini kwa ni kimiliki. Kwa hivyo kumiliki kile chumba tunasema chumbani kwa ama chumbani kwake.
Tamko mwa si kimiliki lakini kwa ni kimiliki. Kwa hivyo kumiliki kile chumba tunasema chumbani kwa ama chumbani kwake.
Angalia kidogo