Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7017
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 06/04/20202020-04-06T06:57:07-03:00 2020-04-06T06:57:07-03:00kwa Muziki

Je Serikali inapaswa kuwaruhusu wanamuziki kufanya mikutano yao ya kibiashara …

Je Serikali inapaswa kuwaruhusu wanamuziki kufanya mikutano yao ya kibiashara na umma?

wanamuziki
  • 0
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-06T07:03:34-03:00Alijibu tarehe 06/04/2020 saa 7:03 mu

      1. Kwanza kwa ajili ya Corona, si vyema kwa manufaa yetu sisi wananchi. Hii inaweza kusababisha uenezaji wa virusi vya Corona. 2. Wanamuziki ni vyema wawe na njia bunifu za kuendeleza kazi yao hasaa wakati nchi inakabiliana na Corona. Mfano kama vile, kuchapisha miziki yao kwenye Youtube au kwenye mSoma zaidi

      1. Kwanza kwa ajili ya Corona, si vyema kwa manufaa yetu sisi wananchi. Hii inaweza kusababisha uenezaji wa virusi vya Corona.
      2. Wanamuziki ni vyema wawe na njia bunifu za kuendeleza kazi yao hasaa wakati nchi inakabiliana na Corona. Mfano kama vile, kuchapisha miziki yao kwenye Youtube au kwenye mitandao ya kijamii.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-24T05:51:37-03:00Alijibu tarehe 24/06/2020 saa 5:51 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Serikali haifai kuruhusu wanamziki kufanya mikutano ya kibiashara na umma kwani ni hatari sana haswa wakati huu wa janga la corona. Siku hizi kuna majukwaa mengi mkondoni ambayo unaweza kufanya mikutano mkondoni. Hivyo, wanafaa wafuate mtindo huo kuliko kuhatarisha maisha ya umma.

      Serikali haifai kuruhusu wanamziki kufanya mikutano ya kibiashara na umma kwani ni hatari sana haswa wakati huu wa janga la corona. Siku hizi kuna majukwaa mengi mkondoni ambayo unaweza kufanya mikutano mkondoni. Hivyo, wanafaa wafuate mtindo huo kuliko kuhatarisha maisha ya umma.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. ERIC Naweza
      2020-04-06T14:26:16-03:00Alijibu tarehe 06/04/2020 saa 2:26 um

      Si tendo la busara haswa wakati huu dunia linapambana na janga la Korona. Mikutano inaweza ineza ugonjwa huu.

      Si tendo la busara haswa wakati huu dunia linapambana na janga la Korona. Mikutano inaweza ineza ugonjwa huu.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 14/05/2021
      • Majibu: 0

      Jina la baba yake na zuchu msanii wa kizazi kipya ...

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 2

      Je, unapenda muziki wa aina gani?

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mwanamuziki yupi bora zaidi nchini Kenya?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      • Tarehe: 30/04/2020
      • Majibu: 2

      Kanyewest amekuwa Billionaire?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais