Wanaume wanadanganya sana katika uhusiano kuliko wanawake. Tabia gani mwanzoni zinaashiria mtu ni mbaya ama mdanganyifu?
Shea
Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.
Muda wa kushinda umekwisha
Bado unaweza kutoa jibu!
Jinsi anavyohusiana na simu yake. Kama anaitumia kwa kuficha kuficha au kwa njia isiyoeleweka basi jua hapo kuna jambo na huyo hawezi kuwa mkweli
Jinsi anavyohusiana na simu yake. Kama anaitumia kwa kuficha kuficha au kwa njia isiyoeleweka basi jua hapo kuna jambo na huyo hawezi kuwa mkweli
Angalia kidogo