Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia 8 Maswali 29 Majibu 2 Majibu Bora 92 Pointi Ona Wasifu Cloudy2 Asked: 30/05/20202020-05-30T19:43:38-03:00 2020-05-30T19:43:38-03:00 Afya, Matuzo Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa Raisi Donald Trump? Sasa hivi rais wa marekani ametangaza kukatisha uhusiano na WHO. https://www.bbc.com/swahili/habari-52860161 Shea Picha za 3 Majibu Imepigiwa kura Kongwe zaidi Majibu Mapya OlooOchieng' 2 Maswali 3 Majibu 1 Jibu Bora 35 Pointi Ona Wasifu Bora OlooOchieng' 2020-06-02T16:04:52-03:00 02/06/2020 saa 4:04 um Nafikiri kwamba Rais Trump atarejesha ufadhili baada ya matakwa yake kutimizwa maanake mara nyingi yeye hutumia vitisho badala ya ushawishi. Nafikiri kwamba Rais Trump atarejesha ufadhili baada ya matakwa yake kutimizwa maanake mara nyingi yeye hutumia vitisho badala ya ushawishi. See less 2 Shea Shea Picha za Twitter WhatsApp CarolGK Napenda lugha 13 Maswali 100 Majibu 8 Majibu Bora 117 Pointi Ona Wasifu CarolGK Napenda lugha 2020-06-10T06:42:10-03:00 10/06/2020 saa 6:42 mu Itakuwa ngumu sana Itakuwa ngumu sana See less 0 Shea Shea Picha za Twitter WhatsApp MamaYako Sio mama mboga 4 Maswali 17 Majibu 2 Majibu Bora 72 Pointi Ona Wasifu MamaYako Sio mama mboga 2020-05-30T19:45:10-03:00 30/05/2020 saa 7:45 um Jibu hili lilihaririwa. Hao watu wa WHO hawatakuwa na shida. Marekani hataki jukumu la kuongoza tena. Hao watu wa WHO hawatakuwa na shida. Marekani hataki jukumu la kuongoza tena. See less 0 Shea Shea Picha za Twitter WhatsApp MaoniGhairi kujibuYou must login to add a new comment.FacebookGoogleTwitterama tumia Barua Pepe ama Jina la Mtumiaji* Nywila* Nikumbuke mara zijazo Umesahau nywila? FacebookGoogleTwitter
OlooOchieng'
Nafikiri kwamba Rais Trump atarejesha ufadhili baada ya matakwa yake kutimizwa maanake mara nyingi yeye hutumia vitisho badala ya ushawishi.
Nafikiri kwamba Rais Trump atarejesha ufadhili baada ya matakwa yake kutimizwa maanake mara nyingi yeye hutumia vitisho badala ya ushawishi.
See lessCarolGK
Itakuwa ngumu sana
Itakuwa ngumu sana
See lessMamaYako
Hao watu wa WHO hawatakuwa na shida. Marekani hataki jukumu la kuongoza tena.
Hao watu wa WHO hawatakuwa na shida. Marekani hataki jukumu la kuongoza tena.
See less