Cloudy2 aliuliza 30/05/20202020-05-30T19:43:38-03:00 2020-05-30T19:43:38-03:00kwa Afya, Matuzo Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa Raisi Donald Trump? Sasa hivi rais wa marekani ametangaza kukatisha uhusiano na WHO. Shea Facebook 3 Majibu Kura Zamani Mapya Bora OlooOchieng' 2020-06-02T16:04:52-03:00Alijibu tarehe 02/06/2020 saa 4:04 um Nafikiri kwamba Rais Trump atarejesha ufadhili baada ya matakwa yake kutimizwa maanake mara nyingi yeye hutumia vitisho badala ya ushawishi. Nafikiri kwamba Rais Trump atarejesha ufadhili baada ya matakwa yake kutimizwa maanake mara nyingi yeye hutumia vitisho badala ya ushawishi. Angalia kidogo 2 Shiriki Shea Facebook Twitter WhatsApp MamaYako Sio mama mboga 2020-05-30T19:45:10-03:00Alijibu tarehe 30/05/2020 saa 7:45 um Jibu hili lilibadilishwa. Hao watu wa WHO hawatakuwa na shida. Marekani hataki jukumu la kuongoza tena. Hao watu wa WHO hawatakuwa na shida. Marekani hataki jukumu la kuongoza tena. Angalia kidogo 0 Shiriki Shea Facebook Twitter WhatsApp CarolGK Napenda lugha 2020-06-10T06:42:10-03:00Alijibu tarehe 10/06/2020 saa 6:42 mu Itakuwa ngumu sana Itakuwa ngumu sana Angalia kidogo 0 Shiriki Shea Facebook Twitter WhatsApp Lazima uingie ili kuongeza jibu.FacebookGoogleTwitterama tumia Barua Pepe ama Jina la Mtumiaji* Nywila* Nikumbuke mara zijazo Umesahau nywila?
Nafikiri kwamba Rais Trump atarejesha ufadhili baada ya matakwa yake kutimizwa maanake mara nyingi yeye hutumia vitisho badala ya ushawishi.
Nafikiri kwamba Rais Trump atarejesha ufadhili baada ya matakwa yake kutimizwa maanake mara nyingi yeye hutumia vitisho badala ya ushawishi.
Angalia kidogoHao watu wa WHO hawatakuwa na shida. Marekani hataki jukumu la kuongoza tena.
Hao watu wa WHO hawatakuwa na shida. Marekani hataki jukumu la kuongoza tena.
Angalia kidogoItakuwa ngumu sana
Itakuwa ngumu sana
Angalia kidogo