Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JilogishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya rununu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Luyela
Luyela
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Admin alijibu swali lako.15/01/2021 saa 3:23 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.14/01/2021 saa 6:17 um
      • Cloudy2 alipiga kura kwa swali lako.13/01/2021 saa 12:42 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.12/01/2021 saa 11:50 um
      • Cloudy2 alifuata swali lako. ( lishafutwa )12/01/2021 saa 9:23 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7399
Inashughulikiwa
Luyela
Luyela

Luyela

  • KIJANA SHUPAVU
  • 5 Maswali
  • 7 Majibu
  • 2 Majibu Bora
  • 67 Pointi
Ona Wasifu
Luyela
Asked: 16/04/20202020-04-16T04:08:33-03:00 2020-04-16T04:08:33-03:00 Michezo

Je ni sahihi kwa Liverpool kua mabingwa?

Kutokana na sintofahamu hii ya Corona, kuna uwezekano mkubwa ligi kuu ya England ikahairishwa mpaka msimu ujao. Nini maoni yako, je ni vema tukaipa ubingwa wa msimu huu club ya Liverpool?

  • 1
  • 2
  • 326
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    2 Majibu

    • Imepigiwa kura
    • Majibu Mapya
    • Kongwe zaidi
    1. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-16T09:22:49-03:00 16/04/2020 saa 9:22 mu

      Ni Kweli ligi kuu ya England inaweza kuhahirishwa kutokana na ugonjwa wa Korona. Kutokana na michezo iliyochezwa kabla ugonjwa wa Korona hujaenea duniani, ni bayana Liverpool ndo washindi watarajiwa. Iwapo mchezo hii itapelekwa mwaka ujao timu ya Liverpool wanafaa kupewa ligi.

      Ni Kweli ligi kuu ya England inaweza kuhahirishwa kutokana na ugonjwa wa Korona.

      Kutokana na michezo iliyochezwa kabla ugonjwa wa Korona hujaenea duniani, ni bayana Liverpool ndo washindi watarajiwa.

      Iwapo mchezo hii itapelekwa mwaka ujao timu ya Liverpool wanafaa kupewa ligi.

      See less
      • 1
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 117 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-19T11:07:11-03:00 19/06/2020 saa 11:07 mu

      Liverpool wanafaa sana kuwa mabingwa. Walicheza mchezo mzuri sana msimu huu.

      Liverpool wanafaa sana kuwa mabingwa. Walicheza mchezo mzuri sana msimu huu.

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    You must login to add an answer.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Jibu: 1

      Sehemu gani naweza pata matokeo na ratiba za soka?

      Nataka kujua tovuti au app bora zaidi kwa ajili ya kufuatilia ratiba na matokeo ya michezo mbalimbali ya mpira wa miguu duniani.

      • Tarehe: 13/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, kati ya Cristiano Ronaldo na Messi nani ndo mchezaji ...

      Kwa maoni yangu mimi ni Ronaldo

      • Tarehe: 14/05/2020
      • Majibu: 2

      Ni Mechi gani ungependa kutizani pindi Korona ikwishapo?

      Kufuatia ongezeko ya watu waliougua virusi vyo Korona, mechi nyingi hasa za kandanda ziliweza kusimamishwa. Iwapo janga na Korona litaisha hivi karibuni, ni mechi gani ungependa kutazama?

    • Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?
      • Tarehe: 23/04/2020
      • Majibu: 4

      Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?

      Katika miaka ya mwanzoni wa mwaka 2000 hadi kufika mwaka 2006 kulitokea viumbe wawili mafundi sana wa mpira, nao ni Ronaldinho Gaucho na Zinedine Zidane. Je kwa mtazamo wako, nani alikua mkali zaidi ya mwingine?

      • Tarehe: 13/04/2020
      • Majibu: 2

      Una hamu ya kuona mechi gani?

      Mechi zote duniani zilisimamishwa ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Korona. Kuna mechi kadhaa ambazo mashabiki wa Moira walikuwa na matumaini kubwa sana ya kuziona. Je ungependa kuona mechi gani likichezwa na kwanini?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?
      • Tarehe: 23/04/2020
      • Majibu: 4

      Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?

      Katika miaka ya mwanzoni wa mwaka 2000 hadi kufika mwaka 2006 kulitokea viumbe wawili mafundi sana wa mpira, nao ni Ronaldinho Gaucho na Zinedine Zidane. Je kwa mtazamo wako, nani alikua mkali zaidi ya mwingine?

    • Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?
      • Tarehe: 21/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?

      Nchi nyingi za Africa zinakabiliwa na hili janga la upungufu wa Ajira hasa kwa vijana wanaomaliza masomo ya vyuo vikuu. Nini maoni yako? nini kifanyike kupunguza wimbi hili kubwa la upungufu wa ajira kwa nchi nyingi za Africa.

      • Tarehe: 13/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike ili kujikinga na maambukizi mapya

      Kufatia ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya corona katika nchi za Africa. Nini kifanyike ili kujikinga na maambukizi mapya yanaendelea kwa kasi.

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

      Kwa kipindi hiki cha Corona, hali ya biashara sehemu nyingi imekua mbaya sana kulingani na sheria mbali mbali zilizowekwa ndani ya nchi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hali ya biashara itakuaje baada ya ugonjwa huu kuisha. Biashara gani zitakazo kua na nafasi

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais